<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba.</strong></em></span></p>
<span style="color: #000000;"><em><strong> Kama kawaida yetu inapofika mwishoni mwa juma yaani Ijumaa huwa inakuwa ni siku ya furaha na kubadilishana mawazo, kupunguza stress za kazini.....paleee Thai Village Masaki.Kwenye Jukwaa Bendi yako matata na inayotikisa Tanzania na Jiji la Dar Skylight Band wanakuwa wanakupa burudani ya nguvu na iliyoenda shule.Karibu leo kuanzia saa 3 kamili usiku upate zile Afropop, Zouk, Lingala,Sebene, Reggae, Naija Flava na zingine kibao!</strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Aneth Kushaba AK 47 akizipiga vocal za kutoshaaaa ili kuwapa burudani wapenzi wa Skylight Band ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Bella Kombo akitia madaha yake na swagga kibao ndani ya Thai Village.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Digna Mbepera (Mtoto Mzuri) akiimba kwa hisia kali kuwapa ladha wapenzi wa Skylight band ndani ya Thai Village</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Anaitwa Hashimu Donode mkali wao akizipiga zile vocal kaliiii na tamuuu kuwapa raha mashabiki wake ndani ya Thai Village</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Wanamwita tamu ya warembo au Sukari ya warembo si mwingine ni Sam Mapenzi akizipiga zile Vocal lainiii za taratibu kuwapa raha mashabiki wake ndani ya Thai Village</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Le Meneja Her Self Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Skylight Divas kuporomosha burudani ya nguvuuuu ndani ya Thai Village,Usikose raha hizi leo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Muziki ni hisia na hapa ndicho anachokifanya Aneth Kushaba hebu mtazame anavyoimba kwa hisia kali na Vitendo ili kuwapa raha mashabiki wake huku akipewa sapoti kwa mbaliiii na Digna Mbepera(katikati) na Bela Kombo wa mwisho kushoto.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Majembeeee(vijana wa kazi)wakilishambulia Jukwaa vilivyo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mikono kichwaniii,ahhh ahhhh majembe ya Skylight wakishambulia jukwaa kwa nguvuuuu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Joniko Flower baba ya congo akiongoza kushambulia huku akipewa sapoti na Sony Masamba(katikati) pamoja na Sam Mapenzi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mtia ladhaa mahiri wa Skylight akiwa anasahangaa kupata Ukodak kutoka kwa mpiga picha wetu,Huku mpiga drums Idrisa akichunguliaaa kwa mbaliiiii</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Huyu jamaa ni muhimu sanaaa ndani ya Sklight Band anaitwa Daudi Tumba,akizipiga Tumba zake lazima ufurahie</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Sam mapenzi (wa kwanza kulia) akiimba kwa upoleeeee kabisaaaa huku akipewa sapoti na Aneth Kushaba(katikati)na Digna Mbepera wa kwanza kushoto.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Yani weweee unanipaaa raahaaa sana ukiwa unaimbaaaa ni shabiki huyu akionyesha mapenzi ya kutoshaaaa kwa Hashimu Donode baada ya kukunwa na uimbaji wake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Joniko Flower baba ya Congo akiongoza Vijana wake kushambulia jukwaaaa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Sony masamba(katikati) akikamuaaaa sebeneee sebeneeee kwa nguvuu zoteeee</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Kama kawaida Skylight Band inavyowapenda mashabiki wake huwa kila Ijumaa shabiki anayesheherekea siku yake ya kuzaliwa hupewa nafasi ya kuimbiwa special Song na kusheherekea na mashabiki wake,Hahahaha si unaona mwenyeweeee hapoooo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Hapo sasa ni viuno, mabega, mikono inahusika kuweza kuyarudi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Nyomiiiii la mashabikiiii wakifurahia muziki mzuriiiii.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Kama una furahaaa mikonooo juuuu juuuuuuu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Kikuku huyoooooo.....ana maringooo huyoooo...kwioooo kwiooooo..... Iyo inaitwaga kikukuu ni staili yenye rahaaaaa na utamu unapochezeshwa na Skylight Band.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Hiyo staili inaitwaaa sugua suguaaa achaaa ni hatariiiiiiiiii</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mratibu wa Skylight Band Rubeya akishow Love na Mashabiki ndani ya Thai Village</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Sam Mapenzi akipata Ukodak na Shabiki wake</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Hashimu Donode akipata Ukodak na Mashabiki wake</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Skylight band Divas wakifurahia kuapata Ukodak mbele ya kamera yetu</strong></em></span></p>
KAWAIDA
Pichani Kutoka kushoto ni Bella Kombo akiongoza mashambulizi ya jukwaa akipewa sapoti na Digna Mbepera(katikati) na kwa mbaliiiii ni Aneth kushaba.
Kama kawaida yetu inapofika mwishoni mwa juma yaani Ijumaa huwa inakuwa ni siku ya furaha na kubadilishana mawazo, kupunguza stress za kazini.....paleee Thai Village Masaki.Kwenye Jukwaa Bendi yako matata na inayotikisa Tanzania na Jiji la Dar Skylight Band wanakuwa wanakupa burudani ya nguvu na iliyoenda shule.Karibu leo kuanzia saa 3 kamili usiku upate zile Afropop, Zouk, Lingala,Sebene, Reggae, Naija Flava na zingine kibao!
Aneth Kushaba AK 47 akizipiga vocal za kutoshaaaa ili kuwapa burudani wapenzi wa Skylight Band ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.
Bella Kombo akitia madaha yake na swagga kibao ndani ya Thai Village.
Digna Mbepera (Mtoto Mzuri) akiimba kwa hisia kali kuwapa ladha wapenzi wa Skylight band ndani ya Thai Village
Anaitwa Hashimu Donode mkali wao akizipiga zile vocal kaliiii na tamuuu kuwapa raha mashabiki wake ndani ya Thai Village
Wanamwita tamu ya warembo au Sukari ya warembo si mwingine ni Sam Mapenzi akizipiga zile Vocal lainiii za taratibu kuwapa raha mashabiki wake ndani ya Thai Village
Le Meneja Her Self Aneth Kushaba AK 47 akiongoza Skylight Divas kuporomosha burudani ya nguvuuuu ndani ya Thai Village,Usikose raha hizi leo.
Muziki ni hisia na hapa ndicho anachokifanya Aneth Kushaba hebu mtazame anavyoimba kwa hisia kali na Vitendo ili kuwapa raha mashabiki wake huku akipewa sapoti kwa mbaliiii na Digna Mbepera(katikati) na Bela Kombo wa mwisho kushoto.
Majembeeee(vijana wa kazi)wakilishambulia Jukwaa vilivyo
Mikono kichwaniii,ahhh ahhhh majembe ya Skylight wakishambulia jukwaa kwa nguvuuuu
Joniko Flower baba ya congo akiongoza kushambulia huku akipewa sapoti na Sony Masamba(katikati) pamoja na Sam Mapenzi.
Mtia ladhaa mahiri wa Skylight akiwa anasahangaa kupata Ukodak kutoka kwa mpiga picha wetu,Huku mpiga drums Idrisa akichunguliaaa kwa mbaliiiii
Huyu jamaa ni muhimu sanaaa ndani ya Sklight Band anaitwa Daudi Tumba,akizipiga Tumba zake lazima ufurahie
Sam mapenzi (wa kwanza kulia) akiimba kwa upoleeeee kabisaaaa huku akipewa sapoti na Aneth Kushaba(katikati)na Digna Mbepera wa kwanza kushoto.
Yani weweee unanipaaa raahaaa sana ukiwa unaimbaaaa ni shabiki huyu akionyesha mapenzi ya kutoshaaaa kwa Hashimu Donode baada ya kukunwa na uimbaji wake.
Joniko Flower baba ya Congo akiongoza Vijana wake kushambulia jukwaaaa
Sony masamba(katikati) akikamuaaaa sebeneee sebeneeee kwa nguvuu zoteeee
Kama kawaida Skylight Band inavyowapenda mashabiki wake huwa kila Ijumaa shabiki anayesheherekea siku yake ya kuzaliwa hupewa nafasi ya kuimbiwa special Song na kusheherekea na mashabiki wake,Hahahaha si unaona mwenyeweeee hapoooo
Hapo sasa ni viuno, mabega, mikono inahusika kuweza kuyarudi.

Nyomiiiii la mashabikiiii wakifurahia muziki mzuriiiii.

Kama una furahaaa mikonooo juuuu juuuuuuu.

Kikuku huyoooooo.....ana maringooo huyoooo...kwioooo kwiooooo..... Iyo inaitwaga kikukuu ni staili yenye rahaaaaa na utamu unapochezeshwa na Skylight Band.

Hiyo staili inaitwaaa sugua suguaaa achaaa ni hatariiiiiiiiii
Mratibu wa Skylight Band Rubeya akishow Love na Mashabiki ndani ya Thai Village
Sam Mapenzi akipata Ukodak na Shabiki wake
Hashimu Donode akipata Ukodak na Mashabiki wake
Skylight band Divas wakifurahia kuapata Ukodak mbele ya kamera yetu
--
Zainul A. Mzige,Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
.
.
0 comments:
Post a Comment