Wadau
Tafadhali mwenye historia ya ujenzi wa bomba la gas atuwekee hapa
Sambamba na hilo naomba maswali yafuatayo yazingatiwe
Tenda ya Bomba la gesi ya Mtwara
1. Ilitangazwa lini
2. Consultant alikuwa nani?
3. Estimates zake zinasemaje?
4. Tenda ilitangazwa na idara zipi za serikali?
5. Kampuni ngapi ziliomba hiyo tenda?
6. Majina ya hizo kampuni zilizoomba yako wapi?
7. Evaluation team ya hiyo tender ilihusisha akina nani?
8. Pre qualification stage zilipita kampuni ngapi?
9. Zilizoshindwa zilitolewa kwa vigezo vipi?
10. Technical specs za huu mradi ni zipi?
11. Financial specs za huu mradi mbona siri kubwa?
12. Je kampuni ngapi za wana Mtwara zilihusishwa hata kwenye sub contracting?
13. Je, Mtwara Development Agency WALIHUSISHWAJE KWENYE HUU MPANGO?
14. Hizi TUHUMA za watu kula pesa China ni kweli?
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group, send email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment