Wednesday 25 March 2015

Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO

Muone hata aibu kishabikia mafisadi ma kuona watanzania ni mambumbu!  yaa mmefikia kuchonga wachungaji feki, mashehe feki? Mungu atawaumbua kweupe. Time will tell.
Ernest




Sent from Samsung mobile

'lesian mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
elisa ana chuki binafsi tu na EDO
Tuleteee wa kwako elisa humu unaandika  point za kudandia tu na zisizo na punde ya ukweli kulazimisha watu wamchukie EDO sasa kwa taarifa yako watu wameng"amua janja zenu za kumpaka tope mpiganaji na mkomozi wetu aliesalia...richmond richmond wewe un ajua abc za richmond....ukiambia usimame mahali useme utadhubutu, acha zako mzeeee? Lowasa hashawishi watu bali watu wanmshawishi kwakua wamemkumbuka na wana imani nae fullstop


From: 'shedrack maximilian' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, March 25, 2015 7:03 AM
Subject: Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO

Kila mwenye uwezo na sifa ajitokeze au ashawishiwe .Hata wewe Elisa tumia nafasi hiyo kumshawishi unayefikiri anafaa!!!


--------------------------------------------
On Wed, 25/3/15, 'eid omari' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, 25 March, 2015, 9:12

Safi Elisa kwa mtazamo
wako, i like that........................



Omary Iddy,DAGROFORESTRY RESEARCH TANZANIA
FORESTY RESEARCH INSTITUTE(TAFORI)P.O BOX
1257,SHINYANGATANZANIA.Tel:+255 28 276 3249MOBILE:+255 713
728 672FAX:+255 28 276 2198EMAIL:eidomari@yahoo.com

--------------------------------------------
On Wed, 3/25/15, 'Reuben Mwandumbya'
via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re:
[wanabidii] RICHMOND ITATUCHAGULIA RAIS TUSIPOKUWA MACHO
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, March 25, 2015, 7:49 AM
 
  Elisa
  &
Chamani;You have
  said it all.Thanks Reuben

   
 
 
      On Tuesday, March
  24, 2015 6:38 PM, amour chamani <abachamani@gmail.com>
  wrote:
     
 
  Unapata tabu ya
  bure.
 

Bagamoyo iwe na Mashehe 80 bado tu hujaelewa?
 
 

Walewale.
  On Mar 24, 2015 11:35 PM,
  "'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
  TUSIPOANGALIA RICHMOND
  ITATUCHAGULIA RAIS
 
  Ambaye hakijui kisa cha mtoto mdogo kumuumbua
mfalme kuwa
  anatembea uchi mbele ya watu
wazima waliokuwa wanaogopa
  kumsema
'vibaya' mfalme anisamehe maana sitakieleza.
  Lakini ningependa kusema mimi katika utoto
wangu nawaonyesha
  watu wazima habari za
mfalme anayetembea uchi mbele zetu.

Nadhibitisha kuwa mimi ni mtoto mdogo sana nilizaliwa saa
9
  usiku wa kuamkia 5 September 1952 katika
zahanati ya
  Kashasha. I am a young boy of
63 years now.
 
 
 
  Mfalme mwenyewe ni watu hawa
wazima walioitikia kwa
  kupotosha wito wa
Rais wetu Dr. Jakaya Kikwete kuwa

Inawezekana kumpata rais kwa kumshawishi mmoja wetu
ambaye
  hata kama hataki lakini kama anaweza
kunamshawishi.
 
 
 
  Watanzania wote tunajua kuwa
wapo wanachama wa CCM ambao
  wanatumikia
adhabu ya kuangaliwa mwenendo wao baada ya

kuonekana wanapiga kampeni ya kugombea uRais kabla ya
  wakati. Waliofungiwa kufanya hivyo ni pamoja
na waziri Mkuu
  aliyejiuzuru kwa Kashfa
Mpendwa wetu Edward Lowasa, Benard
  Membe,
January Makamba, Wasira na kadhalika.
 
 
 
  Moja kati
ya matendo waliyokuwa wanafanya ni kujipitisha
  kwenye makanisa na misikiti kujidai wanatoa
michango. Watu
  wenye akili wakatafsiri
matendo hayo kuwa ni rushwa ya
  kutaka
waungwe mkono wakati wa kugombea urais
 
  Tamko la rais kuwa tunaweza kumshawishi mmoja
wetu ambaye
  japo hajajitokeza na labda
hataki kujitokeza bila shaka
  yoyote kwa mtu
mwenye akili za kawaida (kila mtu ana akili

lakini si kila mtu anzo za kawaida) anajua kuwa rais
  aliowasema sio wale waliokwisha kujitokeza na
kuonyesha nia
  ya kuutaka urais mpaka
kufikia hatua ya kufungiwa kuutaka
  urais.
Haiingii akilini.
 
  Kitu
cha ajabu na cha kushangaza watu wazima, viongozi wa
  dini eti wameenda kumshawishi mwenzetu Edward
Lowasa,
  'kumuomba' 'akubali'
kugombea urais. Haiingii
  akilini katika
maeneo mengi.
 
  Tuanzia
hapa:
 
  i       Yapo
maazimio ya Bunge kuhusu
  kashfa ya Richmond
ambayo nadhani hayajatekelezwa na
  serikali.
Kama yakitekelezwa huwezi kujua kama hayawezi
  kudhibitisha uchafu wa wahusika akilwemo
Lowasa wetu.
 
  ii     
Kashfa muhimu na kubwa ni kuwa
  capacity
charges zilizotamkwa ndani ya ripoti ya tume ya
  bunge ina mgao wa wahusika na haijulikani kama
EL hayumo
 
  iii   
 Katika michango ambayo EL alikuwa
  akitoa
makanisani misikitini na kwingineko inadhaniwa kuwa
  huenda sehemu yake inatokana na mgao huo.
 
  iv      Kulionekana
dalili kuwa kuna mambo
  tume ya Bunge chini
ya Dr. Mwakyembe ilibakiza mambo fulani

ambayo ingeyatoa kuna watu wangepata shida. Tunakumbuka
  aliposema aliwahi kufuatwa na mke wa mtu
fulani kumsihi
  afiche ukweli wa ripoti. EL
hakuacha kutajwa katika hilo.
 
  V       Na kadhalika.
 
 
 
  Taifa letu
lina matatizo makubwa sana. Mengine ni nyufa
  alizozieleza Mwalimu Nyerere mwaka 1995. Sasa
zimemeguka na
  kuwa kubwa zaidi. Rushwa sasa
imezidi na kupata jina
  advanced tunaiita
UFISADI.
 
  Kila mwenye
akili timamu yuko anaumiza kichwa akitaka kujua
  tufanyeje ili tupate kiongozi bora na tumjueje
ambaye si
  fisadi. Kila mwenye akili
sawasawa anajua kuwa aliyekwisha
  tajwa kwa
hilo hafai hata akitaka kutumia njia zake kuupata
  urais.
 
 
 
 
 
 
 
   Sasa
katika mazingira hayo:
 

1.      Viongozi wetu ambao walikuwa

wakipokea michango hiyo haramu wajisafisheje mtu akisema
  walinunuliwa na kuandaliwa kwa wakati kama
huu?
 
  2.      Viongozi
wetu hao wana upeo kiasi
  gani kukubali
kutumiwa kihuni namna hii? Kweli walilenga

kwenda kumshawishi Lowasa agombee kwa sababu wameona
amekaa
  kimya yaani hafurukuti kugombea?
Yaani viongozi wetu
  walidhani
hawatajulikana kuwa lazima wamehongwa kufanya kazi
  hiyo?
 
  3. 
    Wanaweza kusimama na kujitetea mbele

ya waumini wao kuwa walifikiri Lowasa hatajitokeza
kugombea
  ndiyo maana waliamua kumshawishi
na kumchangia fedha?
  Wameona wamejitokeza
wangapi mpaka wakahofu kuwa huenda

asijitokeze?
 
  4.     
Wanataka Lowasa aje alisaidie taifa
  hili
kufanya nini? Wanaona taifa halina nini? Wengine
  tunaona taifa ni tajiri, Lina raslimali, lina
watu wapole
  waelekevu. Shida linakosa
kiongozi wa kuukabili ulafi na

kujilimbikiza mali ili mali iliyopo itumike vizuri. Kweli
  mtu mwenye kashfa ya namna iliyo kwenye ripoti
ya Tume ya
  Bunge anaweza kupendekezwa na
viongozi wa dini? Hii balaa.
  Viongozi hao
ambao ni waombezi wa Taifa hili kweli wana

dhamira njema?
 
  Siwaelewi.
Viongozi hawa wamejua jinsi ambavyo Lowasa

ameleta mgogoro katika viongozi wa kimila wa kimasai? Na
  kuwa mgogoro huo ni uimla wa kutaka
kuwabambikizia
  wanaMonduli mtu anayetaka
amrithi ubunge yeye atakapo kuwa
  rais?
Ndiye wanayetaka aongoze taifa hili?
 
 
 
  Lowasa
anaweza kuwa rais lakini nafikiri viongozi wa dini
  wasingependa kuwa sehemu ya waliomsaidia.
Lowasa amesemwa
  sana. Kwa hiyo anaweza kuwa
rais na akawa mzuri sana hivyo
  kutukomesha
tunaomsema. Lakini akiwa mbaya kuna

atakayeshangaa?
 
 
 
  Rais Kikwete alipoupata
urais wakati watu wakitabiri nani
  atakuwa
waziri Mkuu wapo waliomtaja Lowasa. Wako waliosema
  haiwezekani akawa Lowasa. Sababu zilikuwa kwa
sababu ni
  rafiki wa JK basi (JK) atashindwa
kumdhibiti. Waliosema
  anaweza kuwa Lowasa
walisema atajitahidi kutomudhalilisha

rafiki yake? Nini kilitokea? Unawezaje kumwamini Lowasa?
  Mimi nawashangaa viongozi wa dini . si
viongozi wa siasa wa
  chama chake. Hayo
tumeyazoea. Mitandao ilikotufikisha ni wao

hakuna zaidi. Siwashangai wanafunzi. Wao ndivyo
wameelekezwa
  na wanamtandao na ni haki yao.
Wanakomea hapo. Siwashangai
  vijana wa
bodaboda. Hao tumewazoea. Tunawakuta wakishajaziwa
  mafuta ya pikipiki zao basi. Nini zaidi.
Lakini viongozi wa
  dini???? Nitaendelea
kuwashangaa.
 
 
 
  Elisa Muhingo
 
 
 
 
 
 
 
 
 
   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
    
 
 
 
   Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
 


   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
   kudhibitisha ukishatuma
 
 
 
    
 
 
 
   Disclaimer:
 
 
 
   Everyone
posting to this Forum bears the sole

responsibility
 
   for any
legal consequences of his or her postings, and
  hence
 

 statements and facts must be presented responsibly.
  Your
 

 continued membership signifies that you agree to
  this
 

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 


 
   ---


 
 
   You
received this message because you are subscribed
  to the
 

 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 
 
   To unsubscribe from this group and stop
receiving
  emails
 
   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 
 
   For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
 
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 
  You
received this message because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
  from it,
send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 

You received this message because you are subscribed to
the
  Google Groups "Wanabidii"
group.
 
  To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
       
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
 

---
 
  You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


  To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment