Wednesday 25 March 2015

Re: [wanabidii] PICHA : ZITTO KABWE AJIUNGA NA ACT TANZANIA

Jamani, tusiwe kama mwanamume mkorofi anayepiga na kufukuza mke wake lakini huyu mke akiolewa na mwanamume mwingine inakuwa taabu. Hii nadharia kwamba ACT imeanzishwa kwa lengo la 'divide' and 'rule' inabaki kuwa nadharia. Tulioanzisha ACT ni wahanga wa demokrasia katika vyama vya upinzani vilivyoanzishwa mara baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa. Tumepigania demokrasia ndani ya vyama tulivyokuwemo tulishindwa na hatimaye tukafukuzwa kama mbwa na kuitwa majina yote. Tulikuwa na hiari kadhaa: kukaa kimya tuwe wananchi tusio wanachama chochote, tujiunge na chama kingine au kuanzisha chama kingine. Tumechagua hiari ya tatu, kosa letu ni nini? Ni kujidanganya kudhani kwamba tutaitoa CCM madarakani kwa kuminya demokrasia na kuhakikisha kwamba vinabaki vyama hivyohivyo. Uhalisia wa mambo ni kwamba hatuna uwezo wa kuzuia wananchi kuanzisha vyama katika zama hizi za demokrasia. Wananchi sio wajinga watatupima kwa yale tuyasemayo na tuyatendayo na wao wataamua. 

Vyama vilivyopo katika ulingo wa siasa nchini Kenya sio vilivyokuwepo mwaka 1992 wakati mfumo wa vyama vingi unaanza huko. Hali ni hiyohiyo nchini Zambia, Malawi, Nigeria, Ghana, n.k. Hii dhana kwamba chama fulani hapa Tanzania ndicho kilichoshushwa kuja kuleta ukombozi wakati viongozi wa chama hicho wanataka kutengeneza chama kingine dola kama ilivyo kwa CCM ni dhana potofu, kwa maoni yangu. Ni dhana potofu zaidi kudhani kwamba kila apinganaye na hiki chama teule ametumwa na CCM!!

Kitila


 



2015-03-23 13:50 GMT+03:00 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Urguably, this is purely a strategic divide and rule project! Ni tabu sana mtu akipata fedha nyingi na madaraka makubwa akiwa na umri mdogo. Tuendako, kwa tamaa hizi za vijana kupata madaraka na fedha nyingi kupitia shughuli za kisiasa, mabadiliko na maendeleo ya kweli nchini  yatachelewa sana kuwafikia wananchi wengi. Ufukara utaendelea kuota mizizi miongoni mwa wengi.  Tusubiri tuone utekelezaji wake wa project.
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Mon, 3/23/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] PICHA : ZITTO KABWE AJIUNGA NA ACT TANZANIA
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, March 23, 2015, 7:26 AM

 Demokrasia
 ya kweli nyumbani ndiyo demokrasia
 gani?em
 Sent from my
 iPhone
 On Mar 23,
 2015, at 2:16 AM, "'leonard magwayega' via
 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

 F.
 Kitigwa, hizo ni dua za kuku tu hazimfikii Mwewe. Mfa maji
 haachi kutapatapa maana ukikosa demokrasia ya kweli nyumbani
 kwako licha ya mke kukukimbia tegemea pia watoto
 watakukimbia na mwisho utabaki peke yako katika nyumba yako
 ili ujiongoze mwenyewe.Si hutaki sauti za watoto wako na
 mkeo? Kama Chadema imekosa demokrasia kiasi cha kuzuia
 wanachama kutoa changamoto dhidi yake mahakamani unategemea
 nini kwa wanachama weledi? Nakuhakikishia huo ni mwanzo tu,
 bado gharika inakuja kama siyo tsunami. Unaweza kudanganya
 watu wachache tu tena kwa muda kidogo lakini huwezi
 kudanganya watu wote kwa muda wote. CHADEMA  inafuata nyayo
 za CCM, kudanganya watu eti inahubiri demokrasia kumbe
 hakuna demokrasia ndani yake na wala hakuna ushindani sawa
 katika fursa za uongozi. Kuna clusters za uongozi eti mtu
 fulani yeye ni lazima tu agombee uenyekiti miaka yote,
 mwingine lazima awe yeye tu kwenye ukatibu, na uenyekiti ni
 mtu na baba mkwe wake au kabila la huko juu tu. Akitokea
 Kaburu wa huko au Wangwe wa kule ahh, hao ni wasaliti wa
 chama.KILA
 KITABU NA ZAMA ZAKE BWANA KITIGWA.Leonard
 Elias Magwayega.




      On Monday, March 23,
 2015 7:13 AM, F Kitigwa <kitigwa@gmail.com>
 wrote:


  gm,
 This was a planned events

 Nia na lengo ni kukidhoofisha chama
 kimoja tu CHADEMA,
 Fuatilia wanachama
 wao wengi watatoka CHADEMA, zaidi ya hapo hawana nguvu tena,
 na hii yote ni baada ya kuona uchaguzi wa mwaka huu
 utawaendelea vibaya, CCM kwa siri sana wakaamua kumnunua
 huyu kijana ili angalau awasaidie kukidhoofisha Chadema,
 Mwisho wa mambo haya ni uchaguzi wa mwaka
 huu, angalia namna ambayo atapewa shavu na serikali, kuanzia
 ulinzi, mikutano na pesa ya kufanyia kampeni huku  mikutano
 ya UKAWA ikipingwa na serikali na kupigwa mabomu

 Ila sikutegemea kama
 hata huyu atakuwa mnafiki kiasi hicho, asubiri anguko lake
 kama ilivyokuwa kwa Mrema NCCR and then TLP


 On Sun, Mar 22, 2015 at
 9:31 AM, gm <gm26may@gmail.com>
 wrote:
 bado najiuliza ina maana
 asingefukuzwa Chadema asingejiunga na ACT au ilikuwa ni
 perfect timing? Maana tetesi za yeye na ACT
 zilianza mda mrefu sana

 Sent from Samsung
 Mobile


 --------
 Original message --------
 From: Emma Kaaya
 <emmakaaya@gmail.com>

 Date:
 To: wanabidii@googlegroups.com

 Subject: [wanabidii] PICHA : ZITTO KABWE
 AJIUNGA NA ACT TANZANIA


 ZITTO KABWE
 AJIUNGA NA ACT TANZANIA






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment