Friday 7 October 2016

Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza CUF

Ha,ha,ha! Nihoji tu lakini usininukulu. Lakini point  bado ni ile ile kuwa katika demokrasia mtawala hana mamlaka ya kuamulia mtawaliwa ni lini aandamane.
Hapa Marekani petitioning the government ni fundamental right, sijui huko kwenu. Nilikuwa nasoma  mahali kuwa maandamano ya 1963 ya civil rights yalimhangaisha sana rais Kennedy.
Alijaribu kuwaita akina Martin Luther King jr. wasitishe au kuahirisha akihofia serikali yake itaonekanaje, lakini mwishowe maandamano yalifanyika vizuri na kuandika ukurasa muruwa
katika historia ya Marekani.
em

2016-10-07 15:28 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ha haha ha! Siku ukitelemka uwanja wa ndege itabidi nikuhoji neno moja uliloandika humu.
Lakini nadhani hakandamizi upinzani bali anaondoa machizi barabarani. Machizi wanaodhani kupinga ni kupinga hata moja ongeza moja ni mbili wapinge?
majuzi walienda ujerumani wakaulizwa ni jambo gani hasa mnaipinga serikali hii mnaloona wananchi wanapata shida mpaka mnataka kuandamana likakosa. Wakashauriwa kutafuta namna ya kuendesha siasa kuliko kuwa machizi wanaopinga kila kilichochema.
Dhana ya Katiba mpya haijafa. Lakini kilichokufa ni UKAWA uenyewe.
Emma unajua mwili ni mikono, migii, kichwa etc. Kikitoka kimoja n si mwili.
UKAWA ni CUF CDM etc. Kinapotoka kimoja si UKAWA tena
--------------------------------------------
On Fri, 10/7/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza CUF
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Friday, October 7, 2016, 9:20 PM

 Wazo la
 UKAWA halijafa. Tumemaliza uchaguzi na yule chizi mliyempa
 rungu ameanza na harakati za kusambaratisha upinzani.
 Tunashughulikia hilo kwanza.Hatuwezi kwenda kila mahali
 kila siku tukipaaza sauti katiba mpya katiba
 mpya.em
 2016-10-07 13:29 GMT-04:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Kuna
 mahala nilipita majuzi na kukuta maandishi VIATU BORA.
 Siamini kama kweli maduka ya bora yanaishi kwa sababu ya
 maandishi. UKAWA iliumbwa kuisemea katiba ya wananchi.
 haiwezi kusemwa inaishoi wakati viongoi wake
 wakig'ang'ana kutaka kuruhusiwa kuzurura. Ndiyo
 maana ya kifo chake. Uhai wake unaweza kuuelezea ili
 ijulikane haijafa. La sivyo imebaki kwa maandishi ukutani
 tu.

 ------------------------------ --------------

 On Fri, 10/7/16, Emmanuel
 Muganda <emuganda@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni
 kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa
 kuimeza CUF

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Friday, October 7, 2016, 5:46 PM



  Elisa,Uliiua wewe UKAWA? Mbona sisi wafuasi

  wake tunaona bado ipo? Ndio maana
 mmemkazania Lipumba arudi

  kuwa mwenyekiti ili CUF iwe kama NCCR chini ya Mrema,

  eeh?em

  2016-10-06 17:34 GMT-04:00

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  UKAWA ipi

  inaongelewa na Heri? Mbona iikufa zamani? Ni lini
 umesikia

  habari za Katiba Mpya ya wananchi ikiongelewa? Hata
 wakati

  wa kampeni za uchaguzi mwaka jana haikuwa agenda. Toka

  tumemaliza uchaguzi haiongelewi. Nani anasema UKAWA
 inaishi?

  Kama ilikufa zamani nani anashughulika nayo kuiua????



  ------------------------------ --------------



  On Thu, 10/6/16,

  'herirashid' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:







   Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni

  kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao
 wa

  kuimeza CUF



   To: wanabidii@googlegroups.com



   Date: Thursday, October 6, 2016, 7:59 PM







   Nlimsikiliza Mtatiro alipokuwa akihojiwa Cloud fm,



   nlimwelewa kabisa. Tusipindishe maneno kuna kitu
 nyuma

  ya



   pazia. Prof Lipumba na taasisi ya usajili wa vyama
 vya

  siasa



   kuna juhudi za majusudi kabisa kuua UKAWA. Kama

  hukupata



   fursa ya kumsikiliza Mtatiro tafuta mtapata kwa
 undani



   zaidi.



















   Sent from



   Samsung Mobile







   -------- Original message --------



   From: 'Lesian' via Wanabidii



   <wanabidii@googlegroups.com>



   Date:



   04/10/2016  21:08  (GMT+03:00)



   To:



   wanabidii@googlegroups.com



   Subject: Re:



   [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza Prof.



   Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza CUF







   Bro muganda



   Wanaopika hizi news ni wale wale wasioitakia



   mema CDM but kwa kweli chama kinasonga mbele kwa kasi

  ya



   ajabu, vita ni ya yakutaka kuiua CUF na

  kuisambarartisha



   UKAWA



   Prof atengewe pesa a nn wkt



   ashakwishaa







   Emmanuel



   Muganda <emuganda@gmail.com>

  wrote:







   Sounds like



   habari hii ni ya kupikwa. Who is



   Tazama?em



   2016-10-04 13:22 GMT-04:00



   'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



   CHAMA



   cha demokrasia na maendeleo (chadema), kimeelezwa

  kutenga



   mamilioni ya shilling kwa lengo mahususi la kummaliza



   kisiasa mwenyekiti



    wa Cuf, Profesa Ibrahim Lipumba.















   Habari za uhakika kutoka vyanzo kadhaa vya taarifa
 hivi



   zinabainisha



   wazi chadema kutenga mamilioni hayo kwa lengo la



   kuhahikisha, pamoja na



   mambo mengine Profesa halejei katika uongozi wa juu
 wa



   Cuf.















   Kwa mujibu wa taarifa hizo, hofu kuu ya chadema kwa

  profesa



   Lipumba



   iwapo ikatokea akarejea kwenye nafasi yake ya
 mwenyekiti,

  ni



   kuvurugika



   kwa mpango wao kabambe wa wa kuimeza CUF, ambao
 ulianza



   kuratibiwa kwa



   mafanikio na aliyekuwa mgombea urais wao katika
 uchaguzi

  wa



   mwaka wa



   jana, Edward Lowassa.















   Mpango huo mpya wa kuimeza Cuf, chadema yenye nguvu
 ya



   kisiasa kwa



   upande wa Tanzania Bara na ilikuwa na mpango wa

  kuunganisha



   nguvu za



   kisiasa za chama hicho kwa upande wa Zanzibar ili



   ikiwezekana, kufikia



   mwaka 2020 vyama hivyo viwe vimeungana na kuwa chama



   kimoja.















   Mpango huo mpya ulilenga kuunganisha umaarufu wa

  wanasiasa



   kisiasa wa



   wanasiasa wawili pande mbili za muungano, Edward
 Lowassa

  na



   Maalim Seif



   Sharif Hamad, ili kukiwezesha chadema kukamata dola 

  katika



   pande zote



   mbili za muungano 2020.















   Hata hivyo hatua ya sasa kurejea profesa Lipumba
 kutaka



   kurejea kwenye



   uongozi wa CUF na kwa sababu ya kulindwa nakatiba ya

  chama



   hicho, huku



   pia msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis

  Mutungi,



   akionekana



   kubariki hatua hiyo, imezidi kuuchanganya uongozi wa
 juu

  wa



   chadema,



   hali iliyowalazimu kutenga mamilioni ya shilling
 katika



   kuhakikisha kuwa



    suala hilo haliwezekani.















   Mbali na kutenga fedha hizo zinazodaiwa kutoka kwa
 wale



   wanaoitwa



   marafiki wa Lowassa ili kummaliza kisiasa profesa

  Lipumba,



   uongozi wa



   chadema unadaiwa kujipanga kutumia kila aina ya
 silaha,



   ikiwemo vyombo



   vya habari na baadhi ya wasomi nchi kumdhalilisha

  Profesa



   Lipumba ili



   aonekana hafai machoni mwa jamii ya kitanzania.















   Hata hivyo, pamoja na mikakati hiyo ya chadema

  kummaliza



   kisiasa Profesa



    Lipumba, kambi ya mwanasiasa huyo, ambayo tayari

  inakalia



   ofisi ya kuu



   ya Buguruni, Dar es Salam, imeapa kupambana hadi

  mwisho,



   huku ikiweka



   bayana "daima haki itashinda".















   Kwa mujibu wa kambi ya Profesa Lipumba mgogoro wa
 sasa

  ni



   baina ya kundi



    la waasi nan a wavunjaji wa katiba wakiongozwa na

  katibu



   mkuu Maalim



   Seif Sharif Hamadi na kundi la watetezi, walinzi na

  walinzi



   wa katiba ya



    chama hicho wakiongozwa na Profesa Lipumba.















   Kutokana na hali hiyo kundi la Profesa Lipumba
 linasema

  wazi



   kwamba hata



    kama uongozi wa chadema utaamua kukusanya mamilioni
 ya



   shilingi kwa



   ajili kwa ajili ya kufadhili kundi la la waasi

  linaloongozwa



   na Maarif



   Seif Sharifu Hamadi, ni wazi fedha hizo zitateketea
 bure

  kwa



   maelezo



   kuwa hakuna mahala popote duniani ambako dhulma



   ikashinda.















   Afisa mmoja wa Cuf, aliyeko kambi ya Profesa Lipumba,

  Abdul



   Kambaya,



   amekiri kufahamu mpango huo wa chadema kutenga
 mamilioni

  ya



   shilingi kwa



    ajili ya kummaliza mwenyekiti wao, ikiwa ni pamoja



   kuhakikisha harejei



   tena kwenye uongozi wa juu wa chama hicho.















   "Tunafahamu sana kundi la maarim Seif linaendeshwa
 na



   chadema na wao



   ndio wanaoamua cha kufanya. Tunafahamu chadema

  wametenga



   fedha nyingi



   sana kwa ajili ya kuhahikisha profesa Lipumba harejei

  kwenye



   uongozi wa



   juu wa Cuf, lakini niwahakikishie daima haki
 itashinda



   dhulma tu"



   anasema Kambaya na kuongeza















   "sisi tupo ofisini, wao wapo msituni. Hii ni vita
 kati

  ya



   watetezi wa



   katiba, hivyo basi kamwe hawaezi kushinda vita hii,
 na

  ndio



   maana



   Profesa Lipumba anaendelea na  majukumu yakle ya

  kukisuka



   upya chama



   chetu, huku wao wakihangaika huko nje, wakidhani

  Chadema



   itawasaidia.















   Chanzo Tazama



                                       
  

   















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@



   googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha



   ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



   googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/



   optout.



























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.



















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha

  ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment