Thursday 27 October 2016

[wanabidii] Re: [TPN] China Rise fall and rise again

Wanazuoni,

Ni kweli huna nasikilizia watu wakiwemo wasomi wanavyolinganisha nchi za
Africa na Asia zilivyokuwa zinafanana miaka ya 60 kwa kipato na pengine
kupata uhuru na sasa jinsi tulivyoachwa.

Ukiingia ndani kidogo tu utakuta nchi za Afrika zilikuwa nyuma sana
kimaendeleo ya kiutamaduni, kisiasa, kiutawala, kielimu, nk na watu wake
walikuwa masikini mno.... uchumi uliokuwa unagawiwa ulikuwa wa wazungu
wachache na wahindi. Kulikuwa hakuna lugha, taifa, utamaduni wenye sura ya
kitaifa, mfumo wa utawala wa kitaifa, mfumo wa kielimu uliacha ule wa
mzungu, nk. Mataifa tunayojilinganisha nayo yalishakenga utamaduni wa
kitaifa kiasi cha kuwa la lugha iliyoandikwa, utawala wa asili wa kitaifa,
mila na desturi za kitaifa, kwa mamia hadi maelfu ya miaka

Hivyo tumeanza nyuma sana ukilinganisha na wenzetu

Tusipotambua mambo kama haya ya msingi na kuyajenga tunaishia kusema
Mwafrika kalongwa!



On Thu, October 27, 2016 01:14, Andrew R. Kwayu wrote:
% kwa wale wanaofikiri kwamba China imeanza jana, someni hapa. pia ona
% ni kwa nini ushirikiano na china ni bora zaidi kuliko magharibi.
%
http://www.globalresearch.ca/china-rise-fall-and-re-emergence-as-a-global-power/29644
% ____________________________
% Andrew R. Kwayu,
% Head of ICT,
% MALF, Department of Agriculture
% Kilimo Complex,
% 1 Kilimo Road
% P.O. Box 9192,
% 15471 DAR ES SALAAM.
% Phone: +255 22 2861533
% www.kilimo.go.tz/[1] www.agriculture.go.tz[2]
%
%
% Links:
% ------
% [1] http://www.kilimo.go.tz/
% [2] http://www.agriculture.go.tz
%
%
% ----
%
% --
% You received this message because you are subscribed to the Google
Groups "Wanataaluma wa Tanzania" group.
% To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
an email to wanataaluma+unsubscribe@googlegroups.com.
% For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
%


--
"Give your energy to things that give you energy.",

"Learn enough to begin and then learn as you go."


Dr. Donath R.Olomi
Chief Executive Officer
Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
Baraka Plaza 3rd Floor, Mikocheni, Old Bagamoyo Road
P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
www.imedtz.org
Mobile +255-754-296660

Publications available on the Internet

http://www.repoa.or.tz/documents/RR_12-2.pdf

http://www.businessenvironment.org/dyn/be/docs/31/BETanzania02.pdf

http://www.tanzaniagateway.org/docs/EnhancingSMEcontributiontoempandpovertyreduction.pdf

http://econpapers.repec.org/article/wsijecxxx/v_3a17_3ay_3a2009_3ai_3a01_3ap_3a103-125.htm

http://www.fek.umu.se/forskning/pub/Business.Studies/babsonpaperversion.pdf

http://www.sbaer.uca.edu/research/icsb/2011/763.pdf

http://fusionmx.babson.edu/entrep/fer/babson2001/I/I-R/I-R/i-r.htm

http://www.theigc.org/sites/default/files/EnterpriseMapofTanzania.pdf

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment