Wednesday 26 October 2016

Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?

Muhingo

Nimefanya utafiti.  Nitakushirikisha pa kupata report yangu

On Oct 26, 2016 9:56 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Pamoja na hayo yote lakini ni muhimu pia kuweka wazi kuwa mila za Buhaya hakuna inayoona mapacha kama laana au balaa. Na kwa kweli nimetembesa karibu nchi zote za Africa Mashariki sikumbuki kusikia hilo. Mapacha mara nyingi wametumika kuondoa migogoro katika familia kama ilikuwepo..
Mnajua wadau kuna notion ya kudhaalilisha mila zetu. Tunaapokea mila za hovyo kutoka nje na haziguswi kwa visingizio mbalimbali. Inapofika zetu tunazidhalilisha. Ni muhimu jambo hili kuwa wazi katika mjadala huu-HAKUNA MILA YA BUHAYA INAYOWAONA MAPACHA KAMA BALAA WALA MIKOSI. Anayejua tofauti afafanue tujue.
Muhingo
--------------------------------------------
On Wed, 10/26/16, 'Sylvanus Kessy' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, October 26, 2016, 4:00 PM

 Nipo mkoa wa Mtwara. Nimeshuhudia wanawake
 wakikimbiwa na waume sababu ya kuzaa
 mapacha. 
 Darasa zito linatakiwa katika jamii kuondokana na
 mwono huu. Naunga mkono Bwana Dominick kuwa Mapacha ni
 baraka ya pekee kwa familia. Mbona si hivyo kwa wote.
 Mapacha ni neema. Na wakilelewa vizuri wanaleta mapinduri
 makubwa katika familia. Nimeshughudia
 hayo. 


   From: 'Dominick
 Rukokelwa' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
  To:
 "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>;
 "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Sent: Wednesday,
 October 26, 2016 1:00 AM
  Subject: Re:
 [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?


 Hakika
 watoto mapacha hawana ubaya wowote na hawana uhusiano wowote
 na mabalaa au majanga. MUNGU anapokupa watoto mapacha anajua
 ndani yako kuna uwezo mkubwa wa kuwatunza. Ukiona unataabika
 kuwatunza ujue kuna mahali umezembea ila ndani yako upo
 uwezo usiotumika(dormant power). Mapacha ni baraka ndani ya
 baraka. Ukiona baraka unapata baraka. Ukiona laana na mikosi
 unapata laana na mikosi. Hata mtoto mmoja ukitaka awe mkosi
 anakuwa. Kwa maana MUNGU aliviumba vitu vyote ili vipate
 kuwako na nguvu za uzazi zilizomo ulimwenguni ni za kuleta
 siha wala hakuna ndani yake sumu yoyote ya uharibifu.
 Senaili
 from Yahoo Mail on Android
    On
 Tue, Oct 25, 2016 at 12:58, 'ELISA MUHINGO' via
 Wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:   Kamala wacha kabisa
 kujidanganya na kudanganya watu.
 Mimi
 nilizaliwa saa nane usiku wa kuamkia 5 September 1952.
 Nimezaliwa Bukoba na kukulia Bukoba mpaka shule zilipoanza
 kunitoa. katika familia yetu kumezaliwa mapacha.. Haya
 unayoyasema kiasi cha kuomba msaada wa kuzuia mapacha
 kunyanyapaliwa ni jambo jipya kulisikia. Ni Buhaya gani hiyo
 ambayo unaileta hapa? Una umri gani ambao huenda hayo
 yalikuwepo kabla yangu. Nimezaliwa kiziba na kutembea maeneo
 mengi ya Buhaya. Nina maana na Karagwe ambayo siku hizo
 ilikuwa sehemu ya wilaya ya Bukoba.
 Unahitaji kufanya kazi kudhibitisha maneno yako
 au omba mssamaha haraka
 --------------------------------------------
 On Tue, 10/25/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
 wrote:

  Subject:
 [wanabidii] Fwd: Mapacha n Laana, mikosi?

 To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Tuesday, October 25, 2016, 5:41 AM

  ---------- Forwarded
  message ----------
  From:
 "J L Kamala" <jlkamala@gmail.com>

 Date: Oct 25, 2016 05:38
  Subject: Mapacha n
 Laana, mikosi?
  To: "Wanazuoni"
 <Wanazuoni@yahoogroups.com>
  Cc:

  Wakuu
 nimekuwa nikizitafakali jamii Za mkoa wa

 kagera na haswa wahaya.  Jamii hii inachukulia kuzaliwa
 kwa
  mapacha ktk familia Kama laana fulani
 au mikosi tena mibaya
  inayoweza kuleta
 balaa isipotambikiwa vyema.
  Moja wapo ya
 mabalaa ni Yale majanga ya asili
  kama vile
 ukame, vimbunga, kukosa mvua na hata tetemeko la
  ardhi
  Wazee wa mkoa huu
 wanasisitiza kuwepo Kwa
  umakini wa hali ya
 juu ili mapacha wasilete Tabu kama vile

 kuugua ugonjwa WA ngozi ujulikanao kama viligo yaan mtu
  anakuwa kama albino fulani

 Hii kwa vyovyte inapelekea kunyanyapaliwa kwa
  mapacha.  Je kuna maoni yapi au uhakika Juu
 ya hili?  Nini
  kifanyike kusaidia watu
 hawa ambao yawezekana wanauwawa au

 kubaguliwa kimyakimya?





  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com


   


 Kujiondoa Tuma Email kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya
  kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and Guidelines.


 ---

  You received this
 message because you are subscribed to the

 Google Groups "Wanabidii" group.


  To unsubscribe from this group and stop
 receiving emails
  from it, send an email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.


 --
 Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment