Friday 7 October 2016

Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza CUF

Point ni Kwa nini wanaandamana. Wangekuwa wanaandamana bila kuwa na sababu inayowagusa watu angeweza kufanya kama Magufuli.
Hawa wa huku wana kitu cha ajabu. Wanataka kuandamana kwa sababu rais ameshughulikia matatizo ya wananchi. alipowazuia kuwazuia kukakuzwa na watu wengine wakaanza kuwasikiliza. Walipowaelewa huko ujerumani kuwa hawana sababu inayowafanya waandamane wakaamua kumsifu magufuli adharani ili waelewe. naona wameelewa wameamua kuufukia msingi wa UKUTA. Nielewe sawasawa.
--------------------------------------------
On Sat, 10/8/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza CUF
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, October 8, 2016, 12:14 AM

Ha,ha,ha!
Nihoji tu lakini usininukulu. Lakini point  bado ni ile ile
kuwa katika demokrasia mtawala hana mamlaka ya kuamulia
mtawaliwa ni lini aandamane.Hapa Marekani petitioning
the government ni fundamental right, sijui huko kwenu.
Nilikuwa nasoma  mahali kuwa maandamano ya 1963 ya civil
rights yalimhangaisha sana rais Kennedy.Alijaribu
kuwaita akina Martin Luther King jr. wasitishe au kuahirisha
akihofia serikali yake itaonekanaje, lakini mwishowe
maandamano yalifanyika vizuri na kuandika ukurasa
muruwakatika historia ya Marekani.
em
2016-10-07 15:28 GMT-04:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ha haha
ha! Siku ukitelemka uwanja wa ndege itabidi nikuhoji neno
moja uliloandika humu.

Lakini nadhani hakandamizi upinzani bali anaondoa machizi
barabarani. Machizi wanaodhani kupinga ni kupinga hata moja
ongeza moja ni mbili wapinge?

majuzi walienda ujerumani wakaulizwa ni jambo gani hasa
mnaipinga serikali hii mnaloona wananchi wanapata shida
mpaka mnataka kuandamana likakosa. Wakashauriwa kutafuta
namna ya kuendesha siasa kuliko kuwa machizi wanaopinga kila
kilichochema.

Dhana ya Katiba mpya haijafa. Lakini kilichokufa ni UKAWA
uenyewe.

Emma unajua mwili ni mikono, migii, kichwa etc. Kikitoka
kimoja n si mwili.

UKAWA ni CUF CDM etc. Kinapotoka kimoja si UKAWA tena

------------------------------
--------------

On Fri, 10/7/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni
kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa
kuimeza CUF

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Friday, October 7, 2016, 9:20 PM



 Wazo la

 UKAWA halijafa. Tumemaliza uchaguzi na yule chizi
mliyempa

 rungu ameanza na harakati za kusambaratisha upinzani.

 Tunashughulikia hilo kwanza.Hatuwezi kwenda kila
mahali

 kila siku tukipaaza sauti katiba
mpya katiba

 mpya.em

 2016-10-07 13:29 GMT-04:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Kuna

 mahala nilipita majuzi na kukuta maandishi VIATU BORA.

 Siamini kama kweli maduka ya bora yanaishi kwa sababu
ya

 maandishi. UKAWA iliumbwa kuisemea katiba ya wananchi.

 haiwezi kusemwa inaishoi wakati viongoi wake

 wakig'ang'ana kutaka kuruhusiwa kuzurura. Ndiyo

 maana ya kifo chake. Uhai wake unaweza kuuelezea ili

 ijulikane haijafa. La sivyo imebaki kwa maandishi
ukutani

 tu.



 ------------------------------ --------------



 On Fri, 10/7/16, Emmanuel

 Muganda <emuganda@gmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni

 kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao
wa

 kuimeza CUF



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Friday, October 7, 2016, 5:46 PM







  Elisa,Uliiua wewe UKAWA? Mbona sisi wafuasi



  wake tunaona bado ipo? Ndio maana

 mmemkazania Lipumba arudi



  kuwa mwenyekiti ili CUF iwe kama NCCR chini ya Mrema,



  eeh?em



  2016-10-06 17:34 GMT-04:00



  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



  UKAWA ipi



  inaongelewa na Heri? Mbona iikufa zamani? Ni lini

 umesikia



  habari za Katiba Mpya ya wananchi ikiongelewa? Hata

 wakati



  wa kampeni za uchaguzi mwaka jana haikuwa agenda.
Toka



  tumemaliza uchaguzi haiongelewi. Nani anasema UKAWA

 inaishi?



  Kama ilikufa zamani nani anashughulika nayo kuiua????







  ----------------------------- - --------------







  On Thu, 10/6/16,



  'herirashid' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>



  wrote:















   Subject: Re: [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni



  kummaliza Prof. Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango
wao

 wa



  kuimeza CUF







   To: wanabidii@googlegroups.com







   Date: Thursday, October 6, 2016, 7:59 PM















   Nlimsikiliza Mtatiro alipokuwa akihojiwa Cloud fm,







   nlimwelewa kabisa. Tusipindishe maneno kuna kitu

 nyuma



  ya







   pazia. Prof Lipumba na taasisi ya usajili wa vyama

 vya



  siasa







   kuna juhudi za majusudi kabisa kuua UKAWA. Kama



  hukupata







   fursa ya kumsikiliza Mtatiro tafuta mtapata kwa

 undani







   zaidi.







































   Sent from







   Samsung Mobile















   -------- Original message --------







   From: 'Lesian' via Wanabidii







   <wanabidii@googlegroups.com>







   Date:







   04/10/2016  21:08  (GMT+03:00)







   To:







   wanabidii@googlegroups.com







   Subject: Re:







   [wanabidii] Chadema yatenga mamilioni kummaliza
Prof.







   Lipumba. Wamuhofia kuvuruga mpango wao wa kuimeza
CUF















   Bro muganda







   Wanaopika hizi news ni wale wale wasioitakia







   mema CDM but kwa kweli chama kinasonga mbele kwa
kasi



  ya







   ajabu, vita ni ya yakutaka kuiua CUF na



  kuisambarartisha







   UKAWA







   Prof atengewe pesa a nn wkt







   ashakwishaa















   Emmanuel







   Muganda <emuganda@gmail.com>



  wrote:















   Sounds like







   habari hii ni ya kupikwa. Who is







   Tazama?em







   2016-10-04 13:22 GMT-04:00







   'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:







   CHAMA







   cha demokrasia na maendeleo (chadema), kimeelezwa



  kutenga







   mamilioni ya shilling kwa lengo mahususi la
kummaliza







   kisiasa mwenyekiti







    wa Cuf, Profesa Ibrahim Lipumba.































   Habari za uhakika kutoka vyanzo kadhaa vya taarifa

 hivi







   zinabainisha







   wazi chadema kutenga mamilioni hayo kwa lengo la







   kuhahikisha, pamoja na







   mambo mengine Profesa halejei katika uongozi wa juu

 wa







   Cuf.































   Kwa mujibu wa taarifa hizo, hofu kuu ya chadema kwa



  profesa







   Lipumba







   iwapo ikatokea akarejea kwenye nafasi yake ya

 mwenyekiti,



  ni







   kuvurugika







   kwa mpango wao kabambe wa wa kuimeza CUF, ambao

 ulianza







   kuratibiwa kwa







   mafanikio na aliyekuwa mgombea urais wao katika

 uchaguzi



  wa







   mwaka wa







   jana, Edward Lowassa.































   Mpango huo mpya wa kuimeza Cuf, chadema yenye nguvu

 ya







   kisiasa kwa







   upande wa Tanzania Bara na ilikuwa na mpango wa



  kuunganisha







   nguvu za







   kisiasa za chama hicho kwa upande wa Zanzibar ili







   ikiwezekana, kufikia







   mwaka 2020 vyama hivyo viwe vimeungana na kuwa
chama







   kimoja.































   Mpango huo mpya ulilenga kuunganisha umaarufu wa



  wanasiasa







   kisiasa wa







   wanasiasa wawili pande mbili za muungano, Edward

 Lowassa



  na







   Maalim Seif







   Sharif Hamad, ili kukiwezesha chadema kukamata
dola 



  katika







   pande zote







   mbili za muungano 2020.































   Hata hivyo hatua ya sasa kurejea profesa Lipumba

 kutaka







   kurejea kwenye







   uongozi wa CUF na kwa sababu ya kulindwa nakatiba
ya



  chama







   hicho, huku







   pia msajili wa vyama vya siasa nchini, Jaji Francis



  Mutungi,







   akionekana







   kubariki hatua hiyo, imezidi kuuchanganya uongozi
wa

 juu



  wa







   chadema,







   hali iliyowalazimu kutenga mamilioni ya shilling

 katika







   kuhakikisha kuwa







    suala hilo haliwezekani.































   Mbali na kutenga fedha hizo zinazodaiwa kutoka kwa

 wale







   wanaoitwa







   marafiki wa Lowassa ili kummaliza kisiasa profesa



  Lipumba,







   uongozi wa







   chadema unadaiwa kujipanga kutumia kila aina ya

 silaha,







   ikiwemo vyombo







   vya habari na baadhi ya wasomi nchi kumdhalilisha



  Profesa







   Lipumba ili







   aonekana hafai machoni mwa jamii ya kitanzania.































   Hata hivyo, pamoja na mikakati hiyo ya chadema



  kummaliza







   kisiasa Profesa







    Lipumba, kambi ya mwanasiasa huyo, ambayo tayari



  inakalia







   ofisi ya kuu







   ya Buguruni, Dar es Salam, imeapa kupambana hadi



  mwisho,







   huku ikiweka







   bayana "daima haki itashinda".































   Kwa mujibu wa kambi ya Profesa Lipumba mgogoro wa

 sasa



  ni







   baina ya kundi







    la waasi nan a wavunjaji wa katiba wakiongozwa na



  katibu







   mkuu Maalim







   Seif Sharif Hamadi na kundi la watetezi, walinzi na



  walinzi







   wa katiba ya







    chama hicho wakiongozwa na Profesa Lipumba.































   Kutokana na hali hiyo kundi la Profesa Lipumba

 linasema



  wazi







   kwamba hata







    kama uongozi wa chadema utaamua kukusanya
mamilioni

 ya







   shilingi kwa







   ajili kwa ajili ya kufadhili kundi la la waasi



  linaloongozwa







   na Maarif







   Seif Sharifu Hamadi, ni wazi fedha hizo zitateketea

 bure



  kwa







   maelezo







   kuwa hakuna mahala popote duniani ambako dhulma







   ikashinda.































   Afisa mmoja wa Cuf, aliyeko kambi ya Profesa
Lipumba,



  Abdul







   Kambaya,







   amekiri kufahamu mpango huo wa chadema kutenga

 mamilioni



  ya







   shilingi kwa







    ajili ya kummaliza mwenyekiti wao, ikiwa ni pamoja







   kuhakikisha harejei







   tena kwenye uongozi wa juu wa chama hicho.































   "Tunafahamu sana kundi la maarim Seif
linaendeshwa

 na







   chadema na wao







   ndio wanaoamua cha kufanya. Tunafahamu chadema



  wametenga







   fedha nyingi







   sana kwa ajili ya kuhahikisha profesa Lipumba
harejei



  kwenye







   uongozi wa







   juu wa Cuf, lakini niwahakikishie daima haki

 itashinda







   dhulma tu"







   anasema Kambaya na kuongeza































   "sisi tupo ofisini, wao wapo msituni. Hii ni vita

 kati



  ya







   watetezi wa







   katiba, hivyo basi kamwe hawaezi kushinda vita hii,

 na



  ndio







   maana







   Profesa Lipumba anaendelea na  majukumu yakle ya



  kukisuka







   upya chama







   chetu, huku wao wakihangaika huko nje, wakidhani



  Chadema







   itawasaidia.































   Chanzo Tazama







                                     
 

  



   































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@







   googlegroups.com 



  Utapata Email ya kudhibitisha







   ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are
subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@







   googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/







   optout.























































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are
subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.







































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are
subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are
subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha



  ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.



























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment