Friday 7 October 2016

[wanabidii] Mambo Muhimu Ya Kuzingatia Unapokwenda Kuhutubia (2)


Ndugu zangu,

Naomba nianze na tungo hii fupi...

" Sina sauti nzuri ya kuimba, siwezi kucheza muziki watu wakanistaajabia. 
Najua siwezi kuchora. Najua siwezi kuandika kitabu kikapata tuzo.
Maneno yangu si ya kurembesha sana, yanatoka moyoni.
Kipaji nilichojaaliwa si kikubwa na wala si cha upekee duniani.
Lakini, wote waliojaaliwa vipaji si sharti wang'ae wakaonekana."

Basi, tuangalie mfano wa viongozi na hususan kwenye siasa na kwa kumwangalia mwanasiasa. Duniani hapa siasa inahusu sana sanaa ya mawasiliano. Kwa mwanasiasa, kama huiwezi sanaa ya kuwasiliana na wananchi, basi, ni sawa na... Soma zaidi.http://mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/28126-sanaa-ya-kuhutubia-2-mambo-ya-kuzingatia-unapokuwa-jukwaani.html#.V_iN6PkrLIU

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment