Wednesday 8 June 2016

Re: [wanabidii] HEKO BUNGE KUWAADHIBU WABUNGE WAHUNI

Nami niulize:
1. Kurushwa vipindi live bungeni ilikuwa kwa ajili ya wapinzani au ni kwa mahitaji ya jamii?
2. Tuliambiwa kurusha vipindi live watu hawafanyi kazi, yet bado TVs zetu zinarusha vipindi vingi tu live mchana, maana yake ni nini?
3. Nani aliwapeleka wanafunzi Udom?

On Wed, Jun 8, 2016 at 6:14 AM, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com> wrote:

Kuna vitu sielewi
Upinzani wanalalamika nini,  Na sisi wananchi tunalalamika nini?
1. Wapinzani kunyimwa uhuru wa maoni bungeni?
2. Serikali imewaonea wanafunzi?

Msaada tafadhali…

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment