ukweli ni prof tibaijuka kashindwa kazi, hana weledi na kielelezo cha
watanzania waishio nje ya nchi kuwa hawana uwezo kikazi na wasaka
tonge zaidi.
On 11/14/14, 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:
> Hali tuliikuta mbaya vijiji vya Matuli, Diguzi, Chanyumbu, Kidunda kuelekea
> Kisarawe ukitokea Ngerengere township Morogoro Rural hadi upandishe Mgeta
> milimani. Kuna wafugaji wa Kimasai, Mang'ati, Mbulu, Sukuma. Kulishia
> mashamba na owners kuchapwa bakora na baadhi kukatwa mapanga kufa. Usifukuze
> mifugo iliyoingia shambani kula hapo utakula bakora. Mwenyekiti wa Kijiji
> Kibubwa cha Kidunda na wa kitongoji kijiji cha Chanyumbu katika kuamua
> ugomvi wa mfugaji kulishia shamba wamepigwa wao na walioharibiwa mashamba.
> Uvunaji wa madini Geita, Mererani, Loiboisirret (manyara) na maeneo mengine
> kwa wafugaji yanaongeza mifugo kwani pesa hutumika kuongeza wealth status
> kupitia mifugo. Ardhi haiongezeki. Tatizo nao huko kwao wanalima badala ya
> kununua mazao wanaokoa hela. Lakini iwe Mwanza, Shy, Magu, Dunda, Musoma
> rural, Manyara-Orkusumet, Terrat, Landanai au Kiteto, Kilosa,
> Loliondo-Engerosambu, Soitsambu au Ngorongoro NCAA-Olbalbar, Endulen etc
> -mfugaji anayelima hata siku moja hatoingiza mifugo kulishia mimea yake.
> Lakini atatoka atokako kilomia mamia afike Mbeya, Kilwa, Kilosa-atalishia
> apendavyo. Ardhi haiongezeki. Kama kila mkulima akilima sustainably na
> mfugaji kufuga sustainably haya mapigano yataisha. lakini hata pale penye
> zonal livestock multiplication unit-hatuigi kufuga kisasa, kununua mitaba au
> kwenda kupandisha wetu au kununua mbuzi wa kisasa atoae lita 3 za maziwa kwa
> siku. Kiteto ni bread basket ya mahindi na nafaka nyingine mapogano
> yanaharibu food security pande zote. Muhimu sasa serikali kugharimia land
> use planning and titling kila mtu apate hati miliki ya kimila kwa mtu au
> kikundi au formal title ya wizara ya individual au kundi. Pia, kila mtu akae
> kwake. Kuruhuzu watu kutoka mkoa mmoja na makundi ya mifugo kwenda mkoa
> mwingine au kuhama haka kwa kilimo na mifugo hatutoisha kuuana. Pata hati
> kaa kwako na pia kuhakikisha wingi wa mifugo unalingana na available land.
> Kufuga kienyeji kwa kuhamahama kumepitwa na wakati. Pia kilimo cha
> kuhamahama kuvamia misitu ya hifadhi ya kijiji au central GVT. Tunza chako
> ukitumie kwa busara. Watu wanauza ardhi halafu wanahama kuvamia misitu au
> wetland areas. Bado hao wavamizi wachimba madini lakini hela wanachofanyia
> cha maana hakuna ni ulevi machimboni, anasa, ukimwi. Tutafika kuushinda
> uchumi kweli ta tamia hizi za mwaka 1947? Kuuana mpaka lini? Usipoingia
> kulishia shamba la mwezio ugomvi utatoka wapi? Tuache tabia za kijinga.
>
>
>
>
> On Thursday, 13 November 2014, 21:06, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
> wrote:
>
>
> Tafadhali piga 0715 009929 ni askari wanaelekea eneo la tukio unaweza
> kuwapa habari zaidi .
> On Thu, Nov 13, 2014 at 8:32 PM, Emma Kaaya <emmakaaya@gmail.com> wrote:
>
> Hali ni mbaya sana muda huu katika kata ya Oliboloti baada ya mapigano
> makala sana kuanza muda mfupi uliopita baina ya Wamasai na jamii nyingine ,
> na taarifa nilizopewa na diwani wa kata hiyo wa CUF ni kuwa mpaka sasa
> wameshakufikia watu wanne na majeruhi kibao kwani wananchi wa jamii nyingine
> wameamua kuchukua gobore zao na mapigano yanaendelea .
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>
> --
>
> Yona Fares Maro
> Institut d'études de sécurité - SA
>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment