Je wajua huu muswada ulipitishwa bila ya wabunge wa CORD (chama cha upinzani) baada ya wabunge hao ku-walk out in protest? Je utaunga mkono muswada kama ule uliopitishwa majuzi huku wapinzani wameususia? Just asking!
Regds,
Salim.
From: Wanazuoni@yahoogroups.com [mailto:Wanazuoni@yahoogroups.com] On Behalf Of Yona Maro
Sent: Monday, September 09, 2013 11:50 AM
To: wanabidii; Wanazuoni
Subject: [Wanazuoni] NAUNGA MKONO KENYA KUJIONDOA ICC
Ndugu zangu ,
Pamoja na kwamba siungi mkono vurugu zilizotokea nchini Kenya mwaka 2007 baada ya uchaguzi hii isiwe sababu ya mie kuunga mkono hii mahamana ya kimataifa ya ICC na mkataba wao wa ROMA .
Ndugu zetu jirani zetu wa Kenya wameamua kujiondoa kwenye mkataba huu wa roma na kusisitiza kwamba wakati wanaingia kwenye mkataba huo hakukuwa na katiba ya sasa na mambo mengi zaidi ya kikatiba hayakufuatwa kwahiyo wameona bora wajiondoe .
Mie naungana na wakenya naunga mkono nchi ya jumuiya ya afrika mashariki kuamua kujiondoa kwenye mahakama hii , inapaswa kesi zinazohusu mwanachama wa jumuiya zishugulikiwe na mahakama za jumuiya au zile za umoja wa afrika haipaswi kwenda zaidi ya hapo .
--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya
__._,_.___
Switch to: Text-Only, Daily Digest • Unsubscribe • Terms of Use • Send us Feedback
.
__,_._,___
0 comments:
Post a Comment