Na Maggid Mjengwa,
Ndugu zangu,
Kwa furaha naendelea na simulizi hizi za Mzee wetu Madiba. Katika safari zake za Afrika mwaka 1962, hatimaye Mandela akatua Freetown, Sierra Leone.
Akiwa Sierra Leone Mandela akafahamu, kuwa kulikuwa na kikao cha Bunge kinaendelea. Mandela akatamani ahudhurie Bunge la nchi huru ya Kiafrika na kuona jinsi linavyoendeshwa.
Basi, Mandela akaingia kwenye ukumbi wa Bunge kama wafanyavyo watalii wengine. Akapata kiti si mbali sana na anapokaa Mheshimiwa Spika.
Karani wa Bunge alipomwona Mandela....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/siasa/item/4144-simulizi-za-mzee-madiba-karani-wa-bunge-sierra-leone-aliyemletea-balaa-mandela.html#.Ue9j5m2CDTo
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment