Wednesday 31 July 2013

Re: [wanabidii] Re: [tanzanet] Tanzania kubadilishana wafungwa na Thailand? How many Thais do we have in our jails?

Mobhare,'
Kwa mujibu wa afisa mmoja wa zamani magereza sisi ndio tulioomba  huu mkataba.
Atakayefaidika nao, kwa maoni yangu, ni waheshimiwa ambao "watu" wao wamefungwa Thailand, hasa
wale waliokamatwa kwa madawa ya kulevya.
em

On Wed, Jul 31, 2013 at 3:49 PM, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:
Niwaulizeni kidogo:
1. Je, mnajua ni nani aliyeomba huu mkataba usainiwe?
2. Je, mnajua ni nani atafaidika nao kwanza au zaidi?
3. Je, ni lazima tuwe na Watai kwenye magereza yetu hapa Tanzania ndio tusaini?

Matinyi.


Date: Wed, 31 Jul 2013 18:25:46 +0700
Subject: Re: [wanabidii] Re: [tanzanet] Tanzania kubadilishana wafungwa na Thailand? How many Thais do we have in our jails?
From: mwema.felix@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com


Magereza ya Thailand (yaliyomengi) yamejaa wafungwa kutoka nchi mbalimbali. Pia kwakua kwao lugha ni "ishu" wanatafuta ahueni kwa kubadilishana.


On Wed, Jul 31, 2013 at 6:10 PM, James Patrick <mimiwewetz@gmail.com> wrote:
Itakuwa deal kwa wale watakaoenda ngambo, tusishangae watu wakaomba kuongezewa mda wa kifungo ili wakae ugaibuni

did we check the standards za magereza yetu na ya kwao? ni vigezo gani vitatumika kuchagua hao watakaokwenda Thailand,


On Wed, Jul 31, 2013 at 5:31 AM, Salim Khatri <skhatri@orcis.com> wrote:

Na hao wafungwa wa Thailand wao wamekamatwa na nini hapa Tanzania? Labda walikamatwa wakiiba magimbi Sheraton!

On 30 Jul 2013 23:30, "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com> wrote:
photo 21543
Mkataba wa kubadilishana wafungwa na Thailand ukiwekewa saini Ikulu leo. Naona wauza unga wetu waliofungwa Thailand wamepata ukombozi.
em


_____
LIST@tanzanet.org
List info (to subscribe or unsubscribe): http://tanzanet.org/mailman/listinfo/list_tanzanet.org


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment