Na Maggid Mjengwa,
Ndugu zangu,
Kwa wenye kufuatilia simulizi hizi mtaniwia radhi kuwakatisha uhondo wa simulizi kwa siku tatu zilizopita. Ukweli nilibanwa na majukumu mengine ambayo hayakupaswa kuwekwa kando.
Bila kuchelewa na tuendelee na simulizi yetu. Tunaona sasa, kuwa Mandela, kwa kutamka mwenyewe pale Addis Ababa, kuwa atarudi nyumbani Afrika Kusini kuendeleza Umkhoto we Sizwe kwa maana ya mapambano ya silaha dhidi ya utawala wa makaburu, basi, Mfalme Haile Selassie ama maarufu kama ' Simba wa Yudah' alimwandalia Mandela mafunzo maalumu ya kijeshi.
Ni kwa vile Mandela alitarajiwa kuongoza harakati za Umkhoto we Sizwe na hakuwa na elimu na maarifa ya masuala ya kijeshi. Hivyo,... Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/4260-simulizi-za-mzee-madiba-simba-wa-yudah-alipompa-mandela-mafunzo-ya-kijeshi.html#.UfY5xm2CDTo
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment