Saturday 5 January 2013

[wanabidii] Huyu naje Je, Si UTAFITI?

Waungwana

Labda kwa kuwa kaandika kwa "lugha ya kitaalamu", wasomi wataelewa, maana hizi lugha nyingine za "kienyeji", wanadai hawazielewi.

*******************
Mimi ninamnukuu:
"...The dominance of English in Tanzania has inhibited the development of Kiswahili and stifled internal scientific and technological innovations and inventiveness since its continued use in post-primary education makes it difficult for students at these levels to understand and internalize scientific and technological principles due to their poor proficiency. It has been shown that English decreases confidence in the value and effectiveness of local cultural analysis systems and their knowledge bases through defining Kiswahili and ethnic languages as being immature and consequently unfit to express science and its associated technologies." (pg ix).
 
 Source: Neke, S. M. (2003) English in Tanzania and anatomy of Hegemony, Unpublished PhD Thesis,  Ghent


Haya ni matokeo ya utafiti, uliompatia mlengwa shahada yake ya Uzamivu. Sijui baada ya hapa itaendelea kusemwa kuwa, yanayosemwa kuhusu nafasi za Kiswahili na Kiingereza katika Jamii ya Watanzania, yanasemwa tu bila utafiti au?
*********************************
 
Aldin K. Mutembei   (PhD)                         Aldin Mutembei (PhD)
Mkurugenzi                                                  Director
Taasisi ya Taaluma za Kiswahili                  Institute of Kiswahili Studies
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam                   University of Dar es Salaam, TANZANIA
+255 222 410 757     [Ofisini]                     +255 222 410757 (Day time-Office)
+255 715 426 162      [Kiganjani]                +255 715 426 162  (Cell)
b-pepe: kaimutembei@gmail.com                Alternative e-mail: <kaimutembei@gmail.com>

0 comments:

Post a Comment