Polisi walilazimika kutumia nguvu kubwa kidogo’
Baada ya hapo kijana (marehemu) alipelekwa hospitali ya taifa Muhimbili
na ndugu zake.
Nguvu kubwa kidogo…INAPIMWAJE?
Kijana (marehemu) alipelekwa na ndugu zake hospitali ..(MTUHUMIWA)
Polisi kwa kutengeneza taarifa wamebobea na ndio maana kila wakati tunasikia kunakuwa na kutokuelewana kati ya polisi na raia na vurugu haziwezi kuisha kwa hali hii.
safety has no luck play your role
Emmanuel G Mbise | Mine Captain Conventional| African Barrick Gold (Pty) | Phone: +255 (22) 2600 508 Ext: 6061 | Mobile: +255755347135 Fax: +255 (22) 2600 222 | Address: Bulyanhulu Gold Mine, African Barrick Gold, P.O. Box 1081, Dar es Salaam, Tanzania | Email EMbise@africanbarrickgold.com
From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of Samuel Sasali
Sent: Friday, January 25, 2013 2:09 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Wananchi wavamia kituo cha Polisi Kibiti, wachoma nyumba za askari.
Kiwasila ni Dada?au mie ndo sijui
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: gm26may@gmail.com
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 25 Jan 2013 10:57:50 +0000
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Wananchi wavamia kituo cha Polisi Kibiti, wachoma nyumba za askari.
Dada Hilda!
Kweli upo Tanzania?
Sioni mapambano yeyote ya polisi na mtuhumiwa kwenye hii habari
Na haiingii akilini kwa mtuhumiwa aliyekamatwa kwa kutumia nguvu kiasi hicho kupelekwa hospital na ndugu zake badala ya kuwa chin ya ulinzi mkali!
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 25 Jan 2013 10:39:18 +0000 (GMT)
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Wananchi wavamia kituo cha Polisi Kibiti, wachoma nyumba za askari.
Wavamie vituo na kupiga policy na hata JWTZ. Majambazi wanatazama na watatumia nafasi hiyo nkuvamia nyumba kupora, kubaka na kuiba. Kisha, wasione hata polisi kwenda masaa yapite au siku ipite. Sheria mkononi haitotufikisha mbali. Kama yalitokea mapambano kati ya polisi na muuza madawa au na jambazi ktk kujihami asikamatwe-kuna uwezekano polisi au jambazi kuumizwa au kuuawa. Jee, angekufa polisi wananchi wangechoma nyumba ya mtuhumiwa? Tunakwekwenda kubaya.
Asubuhi ya leo nimemskia redioni kamanda Silo akieleza kwamba chanzo |
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment