Sunday 2 December 2012

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Mh.Lowassa Apata Mlo Na Timu Ya Bunge

Nadhani ni waziri mkuu aliyejiuzulu!
Lkn wanaoona inafaa wanawaza kumuita mstaafu kwa kazi maalum walionayo!

Sent from my iPhone

On Dec 2, 2012, at 10:26, hamisi kilimba <matyois@yahoo.co.uk> wrote:

Huyu hakustaafu bali alijiudhuru baada ya kutuhumiwa.
 

From: Augustine Rukoma <arukoma66@gmail.com>
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, 2 December 2012, 9:36
Subject: Re: [Mabadiliko] Mh.Lowassa Apata Mlo Na Timu Ya Bunge

Mstaafu kivipi

On 12/2/12, Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com> wrote:
> Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (
> Pichani juu wa pili kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge
> wanaounda timu ya Bunge Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la
> Wawakilishi na Bunge la Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana
> alichowaandalia Nyumbani kwake,Ngarashi Wilayani Monduli juzi.Wengine
> kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Habari,Vijana
> Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla,Mbunge wa Jimbo la Kinondoni,Mh. Iddi
> Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli, Reuben ole Kunai. (
> Picha: Othman Michuzi)
>
> Mimi siongezi neno.wapinzani wa Lowassa wajinyonge tu.Rais kutokea ccm ndo
> huyu.
>
> --
> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>
> TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>
> For more options, visit this group at:
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Mabadiliko Forums" group.
> To unsubscribe from this group, send email to
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>
>
>

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.

TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl

For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en

---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.




--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 

0 comments:

Post a Comment