Saturday 29 December 2012

Re: [wanabidii] FreeMan Mbowe : Dr Slaa Mgombea Urais CHADEMA 2015

Na wengine tunakushangaa wewe unayeshanga. Dr. Slaa is still the flag bearer for Chadema since 2010.
Na kazi aliyoifanya kujenga chama tangu wakati huo matunda yake sote tunayaona. Wewe endelea kushangaa
wengine wanaendelea kujenga chama chao. Bado tunamhitaji Slaa katika uongozi wa chama kama vile TANU walivyomhitaji
Mwalimu Nyerere mwaka 1959 miaka mitano na baadaye, baada ya kuundwa kwa TANU.
em

2012/12/29 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Katika Mkutano Mmoja huko Karatu mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amemtangaza Dr W P Slaa kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka
2015 .

Mimi Binafsi nashangaa ni Utaratibu gani umetumika kumpitisha Dr Slaa
kama mgombea urais wa CHADEMA , Najua huwa kuna vikao na michanganuo
kadhaa wa kadhaa kwa hapa sijui imekuwaje .

Ndugu Tumaini Makene tunaomba utujuze au Mhe Mbowe alikuwa Anapima
upepo tu ?

Kwa maoni yangu ningependa kumwona Dr Slaa akupumzika amwachie nafasi
hiyo mwingine yeye mpaka sasa ameifanyia chadema na taifa hili mengi
akiwa mshauri itakuwa hatua nzuri zaidi asiwe kinganganizi kama
akikubalia basi apishe utaratibu wa kidemokrasia ufanyike ili kumpata
mgombea .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment