Saturday 29 December 2012

Re: [wanabidii] FreeMan Mbowe : Dr Slaa Mgombea Urais CHADEMA 2015

Siyo Lipumba tu hata JK aligombea mara ya kwanza akadondoshwa na Mkapa, mara ya pili ndipo aliposhinda.

CHADEMA kama mahasimu wakuu wa CCM hawawezi wakashauriwa na CCM na bado likawa ni jambo jema. Kama CCMA hawataki mtu fulani katika CHADEMA agombee ujue huyo wasiyemtaka ndiye anayefaa. Kama CHADEMA wakateua mgombea, kisha wakasifiwa na CCM kuwa wamefanya uteuzi mzuri, ni lazima CHADEMA warudi na kutafakari mpya maana ni lazima uteuzi huo utakuwa wa kuinufaisha CCM.

Kama CCM haitaki kabisa Dr Slaa agombee, basi huyo ndiye atakayetakiwa kusimamishwa na CHADEMA kugombea. Kama ni uteuzi mbaya kwa nini watu wa CCM kama akina YONA na akina KIGWANGALA iwaumize sana? Si ingekuwa faraja kwao maana chama chao CCM kitapita kiurahisi?

Bart


Sent from Samsung Mobile



gm26may@gmail.com wrote:



Dr Slaa amegombea mara moja tu mnadai anatakiwa apumzike

Vipi kuhusu Pr Lipumba aliyegombea mara zote tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza mnamshaurije?


Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

-----Original Message-----
From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 29 Dec 2012 16:16:54
To: Wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] FreeMan Mbowe : Dr Slaa Mgombea Urais CHADEMA 2015

Katika Mkutano Mmoja huko Karatu mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
amemtangaza Dr W P Slaa kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA mwaka
2015 .

Mimi Binafsi nashangaa ni Utaratibu gani umetumika kumpitisha Dr Slaa
kama mgombea urais wa CHADEMA , Najua huwa kuna vikao na michanganuo
kadhaa wa kadhaa kwa hapa sijui imekuwaje .

Ndugu Tumaini Makene tunaomba utujuze au Mhe Mbowe alikuwa Anapima
upepo tu ?

Kwa maoni yangu ningependa kumwona Dr Slaa akupumzika amwachie nafasi
hiyo mwingine yeye mpaka sasa ameifanyia chadema na taifa hili mengi
akiwa mshauri itakuwa hatua nzuri zaidi asiwe kinganganizi kama
akikubalia basi apishe utaratibu wa kidemokrasia ufanyike ili kumpata
mgombea .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

DELL LATITUDE D 620 & D30

80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .

TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY

CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


0 comments:

Post a Comment