Saturday 1 December 2012

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Mh.Lowassa Apata Mlo Na Timu Ya Bunge

Huyu hakustaafu bali alijiudhuru baada ya kutuhumiwa.
 

From: Augustine Rukoma <arukoma66@gmail.com>
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Cc: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, 2 December 2012, 9:36
Subject: Re: [Mabadiliko] Mh.Lowassa Apata Mlo Na Timu Ya Bunge

Mstaafu kivipi

On 12/2/12, Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com> wrote:
> Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa (
> Pichani juu wa pili kushoto) akijumuika pamoja na Baadhi ya Wabunge
> wanaounda timu ya Bunge Sports inayoundwa na wabunge kutoka Baraza la
> Wawakilishi na Bunge la Jamhuri,wakati wa Chakula cha Mchana
> alichowaandalia Nyumbani kwake,Ngarashi Wilayani Monduli juzi.Wengine
> kwenye picha ya kwanza juu kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Habari,Vijana
> Utamaduni na Michezo,Mh. Amos Makalla,Mbunge wa Jimbo la Kinondoni,Mh. Iddi
> Azzan pamoja na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Monduli, Reuben ole Kunai. (
> Picha: Othman Michuzi)
>
> Mimi siongezi neno.wapinzani wa Lowassa wajinyonge tu.Rais kutokea ccm ndo
> huyu.
>
> --
> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>
> TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>
> For more options, visit this group at:
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Mabadiliko Forums" group.
> To unsubscribe from this group, send email to
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>
>
>

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.

TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl

For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en

---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.




0 comments:

Post a Comment