Tuesday 25 December 2012

Re: [wanabidii] RE: RAIS J.M.KIKWETE ANATAKIWA AMPISHE DR.SLAA IKULU

Hk kweli unaumwa.rais wako Dr dhaifu zile PhD zote kasomea. Wapi vile?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: hkigwangalla@gmail.com
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 26 Dec 2012 06:17:26 +0000
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] RE: RAIS J.M.KIKWETE ANATAKIWA AMPISHE DR.SLAA IKULU

Elias Msuya,

Binafsi namkubali Zitto kwa sbb ana mantiki na anaonesha objectivity kwenye issues na siyo ushabiki na vurugu vurugu za kipinzania, mara nyingi amekuwa akisimamia Taifa kwanza, he is a true nationalist! Slaa is not a smart politician at all, maana baada ya kushindwa Urais kwenye uchaguzi hajawahi kumkubali bingwa hadi leo!!! Aliamua kuanzisha maandamano nchi nzima kudanganya watanzania, bahati nzuri wameng'amua janja yake! Zitto is smarter than Slaa, hata ukiangalia tu mtiririko wa sifa zao kielimu...Slaa ana Ph.D lakini hakuwahi kuhitimu Bachelor ama Advanced Diploma (ya miaka mitatu, ambayo ungeweza kusema ni alternative qualification kwenye degree) hata siku moja, pia hakuwahi kuhitimu Masters hata siku moja - sasa mtu mwenye elimu yenye mashaka mashaka namna hii anatia hofu kidogo, na mimi siwezi kumuunga mkono kwa kweli! Mhe. Mbowe anakuja vizuri na binafsi ni mtu ambaye naweza kumuunga mkono. Pia hata Mhe. Tundu Lissu anafaa kuungwa mkono kama akiutaka Urais

Re,
HK.
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: Elias Msuya <emsuya2001@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 24 Dec 2012 05:26:24 -0800 (PST)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] RE: RAIS J.M.KIKWETE ANATAKIWA AMPISHE DR.SLAA IKULU

Mi sijakuelewa Yona unaposema kuwa Dk Slaa anapotoka hakuna diwani wala mbunge wa Chadema. Dk si anatokea Karatu ambako mbunge ni wa Chadema? After all hiyo siyo hoja, cha msingi ni kukubalika na Watanzania wote kupitia sanduku la kura na hasa kama Tume ya uchaguzi itakuwa huru na ya haki, siyo tume hii ya maigizo iliyopo.

Halafu na wewe Kigwa na wana CCM wenzako mnawezaji kumpenda Zitto wa Chadema na kumchukia Dk Slaa wa chama hicho hicho? Huo si ndiyo unafiki wa mchana kweupe? Haya mpisheni basi Zitto agombee kupitia CCM.

--- On Sun, 12/23/12, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:

From: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] RE: RAIS J.M.KIKWETE ANATAKIWA AMPISHE DR.SLAA IKULU
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, December 23, 2012, 10:31 AM

Walishindana kwenye uchaguzi wa mwaka 2010 mmoja akashindwa mpaka leo amegoma kumtambua kwa kutangaza hadharani , sasa ndio aina ya viongozi tunaowataka kwenye nchi ya demokrasia kama yetu jamani ? Amekuwa mbunge kwa karibu miaka 15 na kugombea urais mara moja , wenzake wote wamejiuzuru au kuwa washauri tu hawanganganii nafasi yoyote ndani ya vyama vyao wala popote pale .

Na hawa ndugu zetu wanaotetea dr slaa kuingia kwenye nafasi hii hawajui mengi wanajibu kutokana na maslahi yao katika chama ambacho makao makuu yake diwani wake ni wa chama tawala , mbunge ni wa chama tawala , waanze kwa kukomboa sehemu hizo mbili .

2012/12/23 Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com>
Jamani, tusilete unyanyapaa na ubaguzi wa umri. Kinachotakiwa ni busara ya uongozi si umri. Lakini mimi nimefurahishwa sana na hoja ya Kikwete kumpisha Dr. Slaa, wala hii siyo hoja dhaifu. Hoja dhaifu ni zile zinazolenga kuwakumbatia mafisadi hadi wengine wanataka kugombea uongozi 2015 kupitia CCM.
Vin

2012/12/23 <hkigwangalla@gmail.com>

Kumekuwa na tabia ya watu kuleta hoja dhaifu sana na za kitoto hapa jukwaani, hivi Yona hawa wanachama wa hivi huwa unawatoa wapi?

Slaa amechoka na hana hoja tena siku hizi, awaachie vijana makini kama akina Zitto wafanye kazi ya kueleweka, yeye akalee watoto wake tu na mchumba wake Jose.

Kama hana kazi nyingine ya kufanya arudi shuleni akasome Bachelor degree ili ahalalishe ile Ph.D yake aliyoipata akitokea Diploma!

Urais wa nchi haupewi pewi tu, unatafutwa kwa wenye nchi. Mwambieni Slaa akatafute walau Urais wa NGO kama anatamani sana hiyo title
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: GILL DAVID <gilldavidk@yahoo.co.uk>
Date: Sun, 23 Dec 2012 09:29:17 +0000 (GMT)
To: <hlib@muhas.ac.tz>; <mum@mum.ac.tz>; <info@mzumbe.ac.tz>; <info@out.ac.tz>; <info@ruco.ac.tz>; <mfumbusa@yahoo.com>; <vcsaut@saut.ac.tz>; <admission@saut.ac.tz>; <stmarksadmin@sjut.ac.tz>; <gchelelo@sjut.ac.tz>; <admin@sjut.ac.tz>; <sua@suanet.ac.tz>; <vc@suanet.ac.tz>; <dvc@suanet.ac.tz>; <dvcadminfin@suanet.ac.tz>; <fos@suanet.ac.tz>; <ice@suanet.ac.tz>; <sua-tu@suanet.ac.tz>; <scsrd@suanet.ac.tz>; <pestman@suanet.ac.tz>; <plan@suanet.ac.tz>; <pro@suanet.ac.tz>; <support@suza.ac.tz>; <info@teku.ac.tz>; <dpacademic@duce.ac.tz>; <elctsmmuco@smmuco.ac.tz>; <info@butmaninternational.com>; <sematangotours@cybernet.co.tz>; <serenacarhire@habari.co.tz>; <sgresort@yahoo.com>; <sss@habari.co.tz>; <tours@albatros.co.tz>; <mia@albatros.co.tz>; <info@chadema.or.tz>; <rassingida@pmoralg.go.tz>; <mhariri@habarileo.co.tz>; <advertising@dailynews.co.tz>; <jennie@albatros.co.tz>; <shidolya@yako.habari.co.tz>; <sssafaris@cybernet.co.tz>; <s-s.kolowa@web.de>; <wanabidii@googlegroups.com>; <unasemaje@radiofreeafricatz.com>; <mwananchipapers@mwananchi.co.tz>; <globalpublishers@dar.bol.co.tz>; <educate@intafrica.com>; <costech@costech.opc.org>; <info@satif.or.tz>; <info@satf.org>; <eotf@raha.com>; <eotf@cats-net.com>; <zitto@chadema.or.tz>; <worldtourstanzania@hotmail.com>
Subject: [wanabidii] RE: RAIS J.M.KIKWETE ANATAKIWA AMPISHE DR.SLAA IKULU

Kama CCM inakubali kuwa Dr. Slaa ana kadi ya CCM na ni mwanachama hai basi Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete anapaswa apumzike kipindi hiki kilichobaki cha uongozi ampishe Dr Slaa aingie ikulu amsaidie kumalizia mda huu uliobaki kusafisha uchafu uliopo ndani ya chama na Serekali kwani yeye mheshimiwa Kikwete ameshindwa.Kama Dr Slaa aliweza kuwataja Mafisadi  pale Mwembe Yanga tuna imani naye zaidi kuwa ataweza kupambana nao kuliko Mheshimiwa Kikwete ambaye ametajiwa kabisa Wezi wa mali za Umma lakini anakaa nao meza moja na kula bila kuwachukulia hatua zozote.

 

 

Watanzania wengi tungelijua hilo Mapema kuwa Dr Slaa anayo kadi ya CCM tungeandamana mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete asiingie Ikulu kwani hata kwenye kura za uchaguzi vyombo vingi vya kusimamia uchaguzi kutoka nje ya nchi vilishatamka kuwa Dr Slaaa ndiye alikuwa anaongoza kwa kuwa na kura nyingi lakini Serekali ikachakachua matokeo. Uwezo wa kiutawala wa Dr Slaa ni bora mara mia moja kuliko wa mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na ndio maana hata midahalo anaikwepa. Dr Slaa ndiye anafaa kuiongoza nchi mara dufu kulikoni JK.

 

Ukiangali sana kila Kiongozo yeyote wa Upinzani wote wametokea CCM na kuanzisha vyama vingine. Wote lazima walikuwa na Kadi za CCM. Sasa inaelekea wengine walitupa kadi zao ama kwa kuwa walikuwa hawazilipii au pengine wanadaiwa na CCM kuzilipia kadi hizo jambo ambalo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Nape Mnauye anatakiwa afuatilie madeni badala ya kupiga kelele hovyo kwa mtu aliyelipia kadi yake na hana deni kama Dr Slaa. CCM ni chama Mama wa vyama vyote. Hivyo mimi sioni sababu ya wao kupiga kelele eti Dr Slaa ana kadi ya CCM. Kadi ile inaweza kuwekwa kwenye jumba la Makumbusho ya chama cha CHADEMA kila mtu ajue jinsi gani Katibu wao alivyokuwa mwadilifu kwa kulipia kadi yake ya uanachama kwa miaka zaidi ya 20 kwa wakati mmoja.

 

Serekali ya CCM ina tabia ya kuwafanya Watanzania kuwa wajinga na pengine wapumbafu. Nchi ina mjadala wa fedha zilizofichwa nje. Fedha ambazo zimeyumbisha uchumi mzima wa Taifa. Badala viongozi wa CCM na Serekali yake kujadili jinsi ya kuzirudisha fedha zile zisaidie kuongeza madarasa ya watoto wengi waliofaulu na hawana madarasa wao wanaingiza nchi kwenye mijadala isiyo na tija. Dr Slaa kuwa na kadi ya CCM hata kwenye pochi yake kunamuathiri nini mkulima na mfanyakazi wa Tanzania, au mtoto wa Kitanzania au mfanya biashara wa Kitanzania. CCM acheni mijadala isiyo na tija. Tumewachoka. Porojo mingi sana. Kama mnataka mbaki madarakani jadilini yafuatayo mjinusuru mwaka 2015.

 

-Fedha zilizopatikana kwenye mashirika ya umma mliyoyauza ziko wapi?

-Fedha zilizopatikana kwenye viwanda vya umma mlivyouza ziko wapi?

-Fedha zilizopatikana kwenye wanyama mliowawinda na kuwauza nje ziko wapi?

-Fedha zilizopatikana kwenye shamba za umma mlizouza ziko wapi?

-Fedha zilizopatikana kwenye nyumba za umma mlizouziana ziko wapi?

-Fedha zilizopatikana kwenye migodi ya umma zimefanyia kazi gani?

-Fedha zilizopatikana baada ya kuuza Ranch za Taifa ziko wapi?

-Fedha zilizofichwa nje ya nchi mnazirudisha lini ziongeze madarasa na maabara ya wanafunzi?

-Fedha za mapato na matumizi ya Serekali ya miaka yote 51 mliyokaa madarakani lini mtaziweka wazi kwenye magazeti ya umma kama Uhuru, Mzalendo na Daily News.

-Fedha zinazopatikana kwenye Hifadhi zetu za Taifa na Milima iliyopo Tanzania lini mtaziweka wazi kwa Watanzania?

-Fedha mlizopata baada ya kuuuza ardhi ya Tanzania kule Loliondo lini mtaziweka wazi?.

-Fedha mlizopata baada ya kuuza Bandari ya Mtwara lini tutazijua sisi Watanzania?

-Fedha zilizopatikana baada ya kuwekeza Viwanja vyetu vya Ndege lini mtaziweka hadharani tuzijue?

-Vitalu mnavyowinda wanyama mtatujulisha lini mapato yake?.

-Mtatutajia lini Wabunge na Mawaziri wanaofanya biashara wakiwa kwenye nyadhifa za umma. Tunawajua wanaojenga mahoteli, wanaofanya biashara za mafuta, Usafirishaji nk.

 

Mkiweza kuweka mambo haya bayana nina uhakika mtabaki madarakani vinginevyo 2015 jitoeni tu wagombea wabaki ya vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR, TLP, SAU nk. CCM Tanzania mmepoteza uelekeo na imani kwa Wananchi. Mkiona mtu anawashabikia labda ni mmoja wenu, au mpambe, au ana hisa na kampuni zenu, au ni muwekezaji, au mkwepa kodi, au mtoto wenu, au Zuzu, au mchumia tumbo, au anawapa mahirizi maana ndio zenu, au Mkweo, au Hawara, vinginevyo tumewachoka sana tu.

 

 

Maswala ya kuongelea kadi ya Dr Slaa hayana tija kwetu. Tunataka muongelee yote niliyoyataja hapo juu tutawaelewa. Kumuongelea mtu anayependwa na Watanzania walio wengi mnapoteza mda wenu wakati tunajua kabisa ni wivu na husuda tu juu yake na alikuwa ameshinda uchaguzi wa 2010 mkamuibia kura.

 

Mkereketwa

Galliard David

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
DELL LATITUDE D 620 & D30
 
80 GB HardDisk ,CORE 2 DUO , 2.0 GHZ CPU ,1 GB RAM
DVD/CD - RW ,WINDOWS 7 /WINDOWS XP ,WIRELESS , BLUE TOOTH .
 
TSHS : 380,000 , 1 YEAR WARRANTY
 
CALL : 0786 806028
Free Delivery in Dar es salaam
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment