Sunday 2 October 2016

[wanabidii] WAFADHILI WAFURAHISHWA NA UKAUSHAJI WA MBOGA MBOGA WA WANAWAKE MOROGORO

HABARI ZA ASUBUHI WADAU.

TAFADHALI POKEENI CODES:
<br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Mkurugenzi wa mawasiliano wa taasisi ya
Mfuko wa Wanawake Afrika, Anna Salado (kulia), akipakua mboga zilizopikwa
kiasili na kuungwa kwa nazi wakati yeye na ujumbe wake walipotembelea mradi wa
ukaushaji wa mboga na matunda wa wanawake wa Kata ya Mzinga mkoani Morogoro
hivi karibuni. </span></i></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span lang="ES" style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-ansi-language: ES; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Kushoto
ni Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Milikieli Mansweat Mahiku.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Mratibu wa mradi wa Green Voices kutoka
taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika ya Hispania, Alicia Cebada, akiwa
ameshikilia pakiti ya kisamvu kilichokaushwa na kufungashwa huku akiwapongeza
wanawake wa kikundi cha Mzinga katika Kata ya Mzinga, Manispaa ya Morogoro
kwamba wamefanya kazi nzuri sana. Mwenye fulana nyeupe ni Bi. Esther Muffui,
mshiriki kiongozi wa mradi huo.</span></i></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">SIYO tu mapishi ya
asili ya kisamvu kikavu kilichoungwa kwa nazi, lakini mafanikio makubwa katika
ukaushaji na usindikaji wa mboga na matunda katika mradi wa wanawake wa Kata ya
Mzinga, Manispaa ya Morogoro yamewavutia wahisani wa taasisi ya Women for
Africa Foundation kutoka Hispania.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Hali hiyo imewafanya
wanawake hao wawe katika nafasi kubwa zaidi ya kusonga mbele ikiwa wafadhili
hao watatoa tena fedha katika awamu ya pili ya mradi wa Green Voices unaotekelezwa
nchini Tanzania.</span></div>
<!--more--><br />


<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Akizungumza katika
Kijiji cha Konga kwenye Kata hiyo, mratibu wa mradi huo kutoka Hispania, Bi.
Alicia Cebada, alisema kwamba licha ya kuwa na muda mfupi tangu kuanza kwa
mradi huo, lakini wanawake hao wamefanya mambo makubwa ambayo yanastahili
kuungwa mkono.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">"Hii teknolojia ya
ukaushaji wa mboga na matunda ni rahisi na inafaa sana kwa uhifadhi wa chakula,
kinachotakiwa ni kwa wanawake hawa kuwezeshwa zaidi," alisema Alicia ambaye
aliongozana na Mkurugenzi wa habari wa taasisi hiyo, Anna Salado, na ofisa
mwandamizi wa taasisi hiyo anayeshughulikia masuaa ya ubunifu, Bi Noellia <span style="mso-spacerun: yes;">&nbsp;</span>pamoja na mratibu wa Green Voices Tanzania,
Bi. Secelela Balisidya.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Alicia alisema kwamba,
changamoto ndogo wanazokabiliana nazo wamezisikia, lakini akasema katu
zisiwakatishe tamaa kwa sababu inaonyesha dhahiri wanaweza kufanya mambo
makubwa mbele ya safari.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: center;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;"></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Maofisa wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake
Afrika kutoka Hispania wakiwa katika picha ya pamoja na wanakikundi wa Mzinga
(wenye sare). </span></i></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span lang="ES" style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-ansi-language: ES; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Kulia
ni mratibu wa mradi wa Green Voices nchini Tanzania, Bi. </span></i></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Secelela
Balisidya.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><br /></i></b></div>
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro,
Milikieli Mansweat Mahiku (wa nne kutoka kulia), akiwa katika picha ya pamoja
na maofisa wa Mfuko wa Wanawake Afrika na washiriki wa mradi wa Green Voices
Tanzania.</span></i></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Taasisi ya Women for
Africa Foundation mbayo ni Mfuko unaoshughulikia maendeleo ya Wanawake wa
Afrika, ikiongozwa na makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa
Fernandez de la Vega Sanz, ndiyo inayofadhili mradi wa Green Voices ambao
unatekelezwa Tanzania pekee.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Hata hivyo, taasisi
hiyo inafadhili miradi 15 ya wanawake katika nchi 12 barani Afrika ambayo
imeonyesha mafanikio, huku mradi wa Green Voices ukitajwa kuwa na mafanikio
makubwa katika kipindi kifupi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Miongoni mwa
changamoto ambazo wanawake hawa wasindikaji <span style="mso-spacerun: yes;">&nbsp;</span>wanakabiliana nazo ni pamoja na makaushio ya
umeme-jua (<i style="mso-bidi-font-style: normal;">solar power</i>) pamoja na
masoko ya uhakika na vifaa vya kufungashia.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Mshiriki kiongozi wa
mradi huo wa Mzinga Green Voices, Esther Muffui, alisema kwamba kaushio
walilonalo kwa sasa ni dogo kuliko mali ghafi zilizopo na akaongeza kwamba
itakuwa vyema kama walau kutakuwa na kaushio moja kwa kila wanawake watatu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">"Hapa Mzinga wanawake
na jamii nzima wanalima mboga mboga na matunda kwa wingi, lakini kaushio
tulilonalo ni moja tu ambapo haliwezi kutosheleza mahitaji, kama tutawezeshwa zaidi
na walau kukawepo kaushio moja kwa kila wanawake watatu itasaidia sana hata
jamii nzima ya hapa," alisema.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Ujumbe huo
ulifurahishwa zaidi baada ya kupata mlo wa mboga kavu zilizoungwa kwa nazi na
karanga pamoja na wali wa nazi, ambapo siyo tu walishangazwa na mapishi hayo ya
asili, bali pia walistaajabu namna ukaushaji huo usivyoathiri ubora wa mboga hizo.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Mratibu wa mradi wa Green Voices kutoka
Hispania, Alicia Cebada, akiuliza jambo kuhusu namna ya ukaushaji wa matunda.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Mshiriki kiongozi wa kikundi cha Mzinga
Women Group, Esther Muffui (wa pili kushoto), akitoa maelezo ya namna ya
kukausha matunda katika mradi wa Green Voices kwenye Kata ya Mzinga mjini
Morogoro.</span></i></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Naibu Mstahiki Meya wa
Manispaa ya Morogoro, Milikieli Mansweat Mahiku, alisema kwamba, atahakikisha
anasimamia kwa bidii ili teknolojia hiyo iweze kusambaa kwa wanawake wote wa
manispaa hiyo, ambayo inafahamika kwa uzalishaji wa mboga na matunda kwa wingi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Mhe. Mahiku, ambaye
pia ni Diwani wa Kata ya Mzinga, alisema kwamba, kuanzishwa kwa mradi huo
kutawachochea wanawake wengi kuingia kwenye ujasiriamali wa kilimo cha mboga
mboga na matunda, kwa kuwa sasa hayawezi kupotea kama zamani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Aidha, aliahidi kwamba,
yeye na madiwani wenzake watahakikisha asilimia 10 ya fedha za maendeleo katika
halmashauri wanapatiwa wanawake na vijana wanaofanya miradi endelevu yenye tija
na inayolenga kutunza mazingira kama wanavyofanya wanawake hao wa Mzinga.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">"Sasa hivi bajeti ya
maendeleo ya halmashauri imeongezwa hadi asilimia 60, sasa kati ya fedha hizo,
asilimia 10 ni miradi ya wanawake na vijana, ambayo kama tutaisimamia vyema na
kuielekeza kwenye miradi endelevu kama hii italeta tija.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">"Kama wahisani hawa
wamejitokeza na wamekuja kutoka Hispania, sisi kama serikali nasi tunapaswa
kuunga mkono jitihada hizi ambazo zina tija kubwa," alisema Mstahiki Meya.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Hata hivyo, aliitaka
jamii kubuni miradi mbalimbali endelevu na kuacha kuisubiri serikali ifanye
kila kitu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Mradi huo wa ukaushaji
wa mboga na matunda umeanzishwa mwezi Machi mwaka huu baada ya Bi. Esther na
wanawake wengine 14 kupatiwa mafunzo nchini Hispania ya ujasiriamali unaoendana
na utunzaji wa mazingira na uelewa kuhusu mabadiliko ya tabianchi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="color: black; font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: &quot;Times New Roman&quot;;">Miradi mingine inayotekelezwa
kupitia Green Voices Tanzania ni kilimo cha viazi lishe Ukerewe, usindikaji wa
mihogo Kisarawe, ufugaji nyuki Kisarawe, utengenezaji wa majiko banifu
Mkuranga, kilimo cha matunda Uvinza – Kigoma, kilimo cha uyoga Boko na Bunju,
Dar es Salaam, kilimo hai cha mboga mboga Kinyerezi, Dar es Salaam, ufugaji
nyuki Dakawa, Morogoro, na utengenezaji wa majiko ya umeme-jua Kilimanjaro.</span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">&nbsp;</span></i></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMgJOL7dA1xQ8xqAGdcoSWKqoWhidZHlhyphenhyphen5JnHQRoXHEU5Hx2vQ58AD-I-V9f3NFEylTsYnQfHg5jpe1D2ol2YlqZ9P8N_TkUmYl6CI6sxApKM1UqXTk3F0OPy5QP0WxCMAqenoVelNQUh/s1600/20160715_095043.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="360" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiMgJOL7dA1xQ8xqAGdcoSWKqoWhidZHlhyphenhyphen5JnHQRoXHEU5Hx2vQ58AD-I-V9f3NFEylTsYnQfHg5jpe1D2ol2YlqZ9P8N_TkUmYl6CI6sxApKM1UqXTk3F0OPy5QP0WxCMAqenoVelNQUh/s640/20160715_095043.jpg" width="640" /></a></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">&nbsp;Bi. Esther Muffui, mshiriki kiongozi wa
kikundi cha Mzinga Women Group mjini Morogoro kinachotekeleza mradi wa Green
Voices kwa ukaushaji wa mboga na matunda, akieleza jambo wakati ujumbe kutoka
taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika ulipotembelea mradi huo hivi karibuni.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span lang="ES" style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-ansi-language: ES; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Matayarisho
ya mboga mbichi kabla ya kuikausha.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Hapa sasa mboga inasambazwa tayari kwa
kuwekwa kwenye kaushio.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Na walipatiwa zawadi maalum kwa ukumbusho. </span></i></b><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span lang="ES" style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-ansi-language: ES; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Hapa Alicia Cebada akivishwa skafu yenye rangi za bendera
ya Tanzania.</span></i></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;"></span></i></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<br />


<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: center;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><i style="mso-bidi-font-style: normal;"><span style="font-family: &quot;Georgia&quot;,serif; font-size: 12.0pt; mso-bidi-font-size: 11.0pt;">Maofisa wa Mfuko wa Wanawake Afrika, Alicia
na Anna Salado wakiserebuka katika ngoma ya Kirugulu.</span></i></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>



KAWAIDA:

Mkurugenzi wa mawasiliano wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika, Anna Salado (kulia), akipakua mboga zilizopikwa kiasili na kuungwa kwa nazi wakati yeye na ujumbe wake walipotembelea mradi wa ukaushaji wa mboga na matunda wa wanawake wa Kata ya Mzinga mkoani Morogoro hivi karibuni. Kushoto ni Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Milikieli Mansweat Mahiku.

Mratibu wa mradi wa Green Voices kutoka taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika ya Hispania, Alicia Cebada, akiwa ameshikilia pakiti ya kisamvu kilichokaushwa na kufungashwa huku akiwapongeza wanawake wa kikundi cha Mzinga katika Kata ya Mzinga, Manispaa ya Morogoro kwamba wamefanya kazi nzuri sana. Mwenye fulana nyeupe ni Bi. Esther Muffui, mshiriki kiongozi wa mradi huo.

 

SIYO tu mapishi ya asili ya kisamvu kikavu kilichoungwa kwa nazi, lakini mafanikio makubwa katika ukaushaji na usindikaji wa mboga na matunda katika mradi wa wanawake wa Kata ya Mzinga, Manispaa ya Morogoro yamewavutia wahisani wa taasisi ya Women for Africa Foundation kutoka Hispania.

Hali hiyo imewafanya wanawake hao wawe katika nafasi kubwa zaidi ya kusonga mbele ikiwa wafadhili hao watatoa tena fedha katika awamu ya pili ya mradi wa Green Voices unaotekelezwa nchini Tanzania.


Akizungumza katika Kijiji cha Konga kwenye Kata hiyo, mratibu wa mradi huo kutoka Hispania, Bi. Alicia Cebada, alisema kwamba licha ya kuwa na muda mfupi tangu kuanza kwa mradi huo, lakini wanawake hao wamefanya mambo makubwa ambayo yanastahili kuungwa mkono.

"Hii teknolojia ya ukaushaji wa mboga na matunda ni rahisi na inafaa sana kwa uhifadhi wa chakula, kinachotakiwa ni kwa wanawake hawa kuwezeshwa zaidi," alisema Alicia ambaye aliongozana na Mkurugenzi wa habari wa taasisi hiyo, Anna Salado, na ofisa mwandamizi wa taasisi hiyo anayeshughulikia masuaa ya ubunifu, Bi Noellia  pamoja na mratibu wa Green Voices Tanzania, Bi. Secelela Balisidya.

Alicia alisema kwamba, changamoto ndogo wanazokabiliana nazo wamezisikia, lakini akasema katu zisiwakatishe tamaa kwa sababu inaonyesha dhahiri wanaweza kufanya mambo makubwa mbele ya safari.

Maofisa wa taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika kutoka Hispania wakiwa katika picha ya pamoja na wanakikundi wa Mzinga (wenye sare). Kulia ni mratibu wa mradi wa Green Voices nchini Tanzania, Bi. Secelela Balisidya.

 


Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Milikieli Mansweat Mahiku (wa nne kutoka kulia), akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa Mfuko wa Wanawake Afrika na washiriki wa mradi wa Green Voices Tanzania.

 

Taasisi ya Women for Africa Foundation mbayo ni Mfuko unaoshughulikia maendeleo ya Wanawake wa Afrika, ikiongozwa na makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandez de la Vega Sanz, ndiyo inayofadhili mradi wa Green Voices ambao unatekelezwa Tanzania pekee.

Hata hivyo, taasisi hiyo inafadhili miradi 15 ya wanawake katika nchi 12 barani Afrika ambayo imeonyesha mafanikio, huku mradi wa Green Voices ukitajwa kuwa na mafanikio makubwa katika kipindi kifupi.

Miongoni mwa changamoto ambazo wanawake hawa wasindikaji  wanakabiliana nazo ni pamoja na makaushio ya umeme-jua (solar power) pamoja na masoko ya uhakika na vifaa vya kufungashia.

Mshiriki kiongozi wa mradi huo wa Mzinga Green Voices, Esther Muffui, alisema kwamba kaushio walilonalo kwa sasa ni dogo kuliko mali ghafi zilizopo na akaongeza kwamba itakuwa vyema kama walau kutakuwa na kaushio moja kwa kila wanawake watatu.

"Hapa Mzinga wanawake na jamii nzima wanalima mboga mboga na matunda kwa wingi, lakini kaushio tulilonalo ni moja tu ambapo haliwezi kutosheleza mahitaji, kama tutawezeshwa zaidi na walau kukawepo kaushio moja kwa kila wanawake watatu itasaidia sana hata jamii nzima ya hapa," alisema.

Ujumbe huo ulifurahishwa zaidi baada ya kupata mlo wa mboga kavu zilizoungwa kwa nazi na karanga pamoja na wali wa nazi, ambapo siyo tu walishangazwa na mapishi hayo ya asili, bali pia walistaajabu namna ukaushaji huo usivyoathiri ubora wa mboga hizo.

Mratibu wa mradi wa Green Voices kutoka Hispania, Alicia Cebada, akiuliza jambo kuhusu namna ya ukaushaji wa matunda.

Mshiriki kiongozi wa kikundi cha Mzinga Women Group, Esther Muffui (wa pili kushoto), akitoa maelezo ya namna ya kukausha matunda katika mradi wa Green Voices kwenye Kata ya Mzinga mjini Morogoro.

 

Naibu Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro, Milikieli Mansweat Mahiku, alisema kwamba, atahakikisha anasimamia kwa bidii ili teknolojia hiyo iweze kusambaa kwa wanawake wote wa manispaa hiyo, ambayo inafahamika kwa uzalishaji wa mboga na matunda kwa wingi.

Mhe. Mahiku, ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mzinga, alisema kwamba, kuanzishwa kwa mradi huo kutawachochea wanawake wengi kuingia kwenye ujasiriamali wa kilimo cha mboga mboga na matunda, kwa kuwa sasa hayawezi kupotea kama zamani.

Aidha, aliahidi kwamba, yeye na madiwani wenzake watahakikisha asilimia 10 ya fedha za maendeleo katika halmashauri wanapatiwa wanawake na vijana wanaofanya miradi endelevu yenye tija na inayolenga kutunza mazingira kama wanavyofanya wanawake hao wa Mzinga.

"Sasa hivi bajeti ya maendeleo ya halmashauri imeongezwa hadi asilimia 60, sasa kati ya fedha hizo, asilimia 10 ni miradi ya wanawake na vijana, ambayo kama tutaisimamia vyema na kuielekeza kwenye miradi endelevu kama hii italeta tija.

"Kama wahisani hawa wamejitokeza na wamekuja kutoka Hispania, sisi kama serikali nasi tunapaswa kuunga mkono jitihada hizi ambazo zina tija kubwa," alisema Mstahiki Meya.

Hata hivyo, aliitaka jamii kubuni miradi mbalimbali endelevu na kuacha kuisubiri serikali ifanye kila kitu.

Mradi huo wa ukaushaji wa mboga na matunda umeanzishwa mwezi Machi mwaka huu baada ya Bi. Esther na wanawake wengine 14 kupatiwa mafunzo nchini Hispania ya ujasiriamali unaoendana na utunzaji wa mazingira na uelewa kuhusu mabadiliko ya tabianchi.

Miradi mingine inayotekelezwa kupitia Green Voices Tanzania ni kilimo cha viazi lishe Ukerewe, usindikaji wa mihogo Kisarawe, ufugaji nyuki Kisarawe, utengenezaji wa majiko banifu Mkuranga, kilimo cha matunda Uvinza – Kigoma, kilimo cha uyoga Boko na Bunju, Dar es Salaam, kilimo hai cha mboga mboga Kinyerezi, Dar es Salaam, ufugaji nyuki Dakawa, Morogoro, na utengenezaji wa majiko ya umeme-jua Kilimanjaro.

 

 Bi. Esther Muffui, mshiriki kiongozi wa kikundi cha Mzinga Women Group mjini Morogoro kinachotekeleza mradi wa Green Voices kwa ukaushaji wa mboga na matunda, akieleza jambo wakati ujumbe kutoka taasisi ya Mfuko wa Wanawake Afrika ulipotembelea mradi huo hivi karibuni.

Matayarisho ya mboga mbichi kabla ya kuikausha.

Hapa sasa mboga inasambazwa tayari kwa kuwekwa kwenye kaushio.

Na walipatiwa zawadi maalum kwa ukumbusho. Hapa Alicia Cebada akivishwa skafu yenye rangi za bendera ya Tanzania.

Maofisa wa Mfuko wa Wanawake Afrika, Alicia na Anna Salado wakiserebuka katika ngoma ya Kirugulu.

 

 


--
Brother Danny Blog (Kisima cha Hekima na Busara)
Cell: +255 - 715 - 070 109
Whatsapp: +255 - 656 - 331 974

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment