Friday, 20 September 2013

Re: [wanabidii] Naomba ushauri kuhusu mambo ya Vehicle Insurance

Wasiliana na mtu huyu: Eng. E. Towo, 0754 29 91 08, yuko NIC, mweleze, atakusaidia au kukushauri cha kufanya.
Pole sana na ndugu.


2013/9/20 <lucsyo@gmail.com>
Wasalaam,

Jamani naomba ushauri wa kisheria kuhusiana na mambo ya bima ya magari; in short gari langu lilipata ajali ya moto na kuteketea kwa zaidi ya asilimia 100 hapo February 2012. Kwa bahati nzuri gari langu nililikatia comprehensive (kwenye kampuni moja ambayo nisingependa kuianika humu jukwaani) kabla ya ajali; katika kipindi chote hicho nimekuwa nikifuatilia claim ya gari langu bila mafanikio, ati wanachodai ni kuwa kwenye claim yangu kuna tofauti kubwa kati ya price ya gari Vs insured valued ati havirandani. Sasa najiuliza mbona hayo maswali ama hizo tofauti sikuulizwa wakati nakata bima ya gari lang; ki ukweli nimechanganyikiwa baada ya kupokea barua yao wakisema wamefanya investigation na kujiridhisha kuwa sina claim yeyote ninayodai na kwa vigezo vya utofauti wa value ya gari na kile nilicho insurer hawaoni sababu ya kunilipa??!!

Nakala za repoti ya polisi na fire ninazo pia

Naomba ushauri jamani ndugu zangu

Regards,
Lucas

Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
-----------------------
Fratern Kilasara
,

P. O. Box - (Home): 62810; or (Office): 65300
Dar es Salaam - Tanzania.
Telephone (Office): +255 (0)22 2700021/4 Ext No. 239; Fax: +255 (0)22 2775591
Mobile (Personal): +255 (0)715 40 41 53 or +255 (0)754 40 41 53
Emails: kilasara.fratern@gmail.com or kilasara.fratern@yahoo.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment