Tuesday, 10 September 2013

Re: [wanabidii] Manka Mushi

Hongera Manka kwa jinsi ulivyojieleza, umeonyesha uwezo zaidi.

Jitahidi ipo siku utalifikia kusudio la ombi lako.

Kila la heri na kwa yeyote (pengine) mwenye fursa hizo humu ndani ya jukwaa anaweza kuwasiliana nawe.

Ubarikiwe.



From: Manka Mushi <mancamushi@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 9, 2013 3:57 PM
Subject: [wanabidii] Manka Mushi

Shikamoo
Kwa jina naitwa Manka Mushi.  Ninamiaka 29. Elimu yangu ni ya kidato cha nne. Naishi Dar es Salaam. Kwa heshima na unyenyekevu, naomba kuwasilisha maombi ya kazi katika kampuni au biashaya yako kwenye kitengo cha mauzo, huduma kwa wateja au keshia. Kujituma, bidii, nidhamu ya kazi na uchangamfu ndio sifa zangu kuu. Kiko tayari kwa usaili muda wowote. Nimeambatanisha maelezo yangu binafsi.
Wako mtiifu
Manka Mushi
?> --
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


0 comments:

Post a Comment