Saturday 22 June 2013

[wanabidii] Historia Ya Kombe La Dunia ( I)



Na Maggid Mjengwa,

WAKATI vugugu la kuelekea kwenye Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil likipamba moto, ni vema tukaipitia historia ya mchezo wa kandanda ili, kwetu wapenzi wa mchezo huo, kujikumbusha historia yake.

Naam, mchezo  wa kandanda una historia ndefu. Mwaka 1863 ndipo pale kandanda ya mpangilio  ilipoona mwanga wa dunia. Hii ni baada ya nchi ya Uingereza kuutengenezea
mchezo huo sheria , kanuni na taratibu za kuucheza.  Kabla ya hapo,  kandanda
ulikuwa ni mchezo uliochezwa bila mpangilio maalum. Kulikuwa hakuna
sheria wala kanuni zilizowekwa juu ya mchezo huo.

Ni kwa sababu hii, Uingereza hadi leo hii  inajiona kuwa ni  "Mama wa Kandanda". Matukio kadhaa ya...Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/michezo/item/3427-historia-ya-kombe-la-dunia-i.html#.UcWcTZyNCAg

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment