Huenda hii bidii ya kujadili watu na matukio ikawa ni uthibitisho tosha wa aina za watu tunaoratibu jukwaa hili. Inachosha kusoma mizengwe ya watu kila siku bandugu. Huenda hatuhitaji bidii tena bali mabadiliko ya bidii. Bidii hii ni hasara kwa taifa. Sent from Yahoo! Mail on Android |
From: Mohamedi Mtoi <mouddymtoi@gmail.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] Zitto Zuberi Kabwe Kuanzisha Chama Kipya cha Siasa
Sent: Wed, Jun 26, 2013 3:27:14 PM
Jukwaa limepoteza mvuto na ni kama vile liko kwenye last kick of death! Hili sio lile jukwaa la wanabidii lililokuwa linajadili hoja kwa hoja, kwa sasa kule Mabadiliko ndio kumekucha, huku endeleeni majungu ya kujadili watu wakati mambo ya msingi yanaachwa. ... "All those that fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor." Come the day. ...Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania. From: GEORGE MBOJE <mbojegeorge@gmail.com> Sender: wanabidii@googlegroups.com Date: Wed, 26 Jun 2013 17:49:35 +0300 To: <wanabidii@googlegroups.com> ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com Subject: Re: [wanabidii] Zitto Zuberi Kabwe Kuanzisha Chama Kipya cha Siasa Mi nadhani jukwaa linatakiwa kuwa na mijadala ya jinsi gani nchi yetu itaweza kukua na kuimarika kiuchumi, sasa hizi habari za kutungwa ndizo zinazofanya watu wengi kujiondoa kwenye jukwaa maana mijadala haina mantiki. Safari ya zitto ujerumani ilishaelezwa kwenye blog yake. Vyema tukawa na mijadala ya kujenga nchi yetu, Tuna mambo mengi ya kujadili humu, Mfano Wakulima hawapati bei nzuri za mazao yao, Foleni kwenye miji mikubwa, Usalama wa nchi, vijana na madawa ya kulevya, Mazingira na usafi wa miji yetu. nk Tujikite kwenye mijadala ili jukwaa liwe na mvuto. Nawaza kwa sauti 2013/6/26 Selemani Rehani <srehani@hotmail.com>
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment