Friday, 7 August 2015

Re: [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

Emmanuel.
Mimi ninafurahi tunapopingana. Unajua kwa nini? Hoja zikija zinapingana tunapanua mambo na ndio mwanzo wa kupata muafaka.

Napenda kwa hiyo kupingana na wewe kwa sehemu ndogo.
Ni kweli kuwa kama tunataka kujisafisha tunatumia kila nyenzo tuliyo nayo ili mradi tumeondokana na adui na tumepata muda wa kuhakikisha tunasonga mbele.
Kuna mambo mawili muhimu:
1) Tanzania Bila CCM:
Mazingira yakiwezesha, ndiyo njia ya uhakika. Nimesema mara nyingi kuwa mmi ni MwanaCCM. Tena natamani CCM itolewe madarakani ili ijirekebishe ikiwa nje kwa sababu NI VIGUMU kubadilika ikiwa madarakani.

Lowasa ni njia sahihi? Kwa kuiondoa CCM Lowasa anaweza kutumika. Hatupingani katika hilo. Tunapopingana ni hapa: Nini kitafuata baada ya Lowasa kuiondoa Madarakani?
Nguvu ya Lowasa ikiachiwa bila kuikandia humu ni kubwa. Nguvu ya Chadema ni kubwa pia. Hizi zikikubaliana mambo yanakwenda sawa. zikipingana hapo kivumbi.
Uwezekano wa kupingana nguvu hizi ni mkubwa kuliko kukubaliana. Miaka hii kumi Tanzania tumeteswa na mtandao. Niliwahi kukutana na Mkuu wa Wilaya mmoja mpaka nikajiuliza aliyemteua alilenga nini hasa? Nikagundua ni madhara ya mtandao, Lowasa ana mtandao mkubwa. ana serikali tayari. Mawaziri wake wanafahamika. Wengine hawajitokezi wasimchafue. Akiwa rais asubuhi jioni anawapa ubunge kesho yake uwaziri. Tusiwataje hapa.

Mara baada ya Lowasa kuapishwa. akaongozana na Mkuu wa majeshi kwenda Ikulu. Chadema itamuona baada ya mwezi mmoja ameisha unda baraza la mawaziri. Itamsikia gazetini. Haina la kumfanya. Hakuna mwenye ubavu wa kumuuliza mbona mbona! Anao mtandao wake na haijui Chadema yenu. Wala hakuletwa chadema na malengo ya chadema. Katika chama chake chadema is just a disposable instrument for him to become the president. Hakuingia mpaka alipohakikishiwa atakombea bila vikwazo urais.

Angalia senario hiyo Wananchi wataidai CHADEMA NA UKAWA ahadi zake kwa wananchi itaporomoka hakuna mfano.
Kuna mengi ya kuhusu Lowasa asivyoingiana na chadema. Wala hakutumwa na mtu. Yaani si njama za CCM Lowasa kuwa CHADEMA kama ni njama za CCM Lowasa hahusiki. Hii inawezekana kama CCM ilijua kuwa ikimuengua atahamia chadema na akihamia atavuruga ukawa basi wakamuengua makusudi.

2) Tanzania na CCM madarakani inawezekana:
Njia hii nayo ina njia mbili:
a) Kutarajia CCM kubadilika-Hii mimi naiona. Viongozi wa CCM walio makini wameishaona. movement za wanasiasa kipindi hiki ni fundisho kwa kila chama. CCM si mbumbumbu kiasi cha kutoona hilo. mteule wao ni dalili Kumbuka CCM imethubutu kuwagusa mafisadi. Huenda CCM ikabadilika-nani anajua? lakini ikishindikana kuna (b).

b) Kutumia kipindi cha CCM madarakani kujijenga upya. katika mkorogani huu wa UKAWA tumewaona watu waliopinga ujio wa Lowasa. Wengine wamekaa kimya lakini tumewajua. Wengine wamejitokeza wazi tumewaona. hao watasaidia kujijenga upya. Njia hii ni ndefu inahitaji watu kuondoa ushort sighted Kuwa na Long term goals
Kwangu kama UKAWA haiwezi ku-abort takeoff ya ndege yake; namba 2 ni njia sahihi. Crusade imeanza na tunarutubisha uranium ndani ya mitandao na ndani ya jamii. na tunatarajia NEC ikimtangaza Lowasa kugombea urais kwa Tiketi ya Chadema tunaanza kumuandaa Magufuli kwenda Ikulu.
Emma najua wewe si mvivu wa kusoma. Umeisoma makala hii maana ina mtililiko
Elisa
--------------------------------------------
On Fri, 8/7/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, August 7, 2015, 4:41 AM

Elisa,Kuna mambo mengi ambayo hapo awali
nimekubaliana na wewe. Katika hili la Lowassa kuingia
Chadema hata mimi nilipingana nalo sana tu.Lakini
baadaye nikatafakari kama nguvu zinazodaiwa alikuwa nazo
Lowassa ndani ya CCM tutazitumia ndani ya UKAWA kuiondoa CCM
mamlakanibasi I will look at the big
picture--getting rid of CCM even if we have to use the devil
to do it. CCM wamekuwa na mbinu nyingi tu za kukandamiza
upinzaniana hata uchaguzi wa 2010 ilibidi vyombo
vya dola viingilie kati kumnusuru Kikwete. Sisi tulioshiriki
kwenye uchaguzi huo kama mawakala tunajua
Kikwetehakushinda lakini unajua matokeo yake.
Therefore, to have Lowassa in the team is a plus on our
side. Itakuwa ngumu kwa CCM kuiba kura this time kwa
sababu"mwenzao" tumemnyakua na siri za
wizi anazijua.em
2015-08-06 14:41 GMT-04:00
'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Elisa,

Nimekusoma. Labda nikushauri soma alichoandika Mpendazoe
nimeweka hapa jukwaani baadhi ya hoja zako ulizozitoa hapa
zitakuwa zimejibiwa na hivyo sihitaji kurudia.

Ananilea Nkya

 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com



--------------------------------------------

On Thu, 8/6/15, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:



 Subject: Re:
[wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

 To: wanabidii@googlegroups.com

 Date: Thursday, August 6, 2015, 6:52 PM



 Ninafurahi sana kupata

 maeneo ya kutofautiana nawe Ananilea.

 1)   Kama ujio wa Lowasa kwenye

 UKAWA kuna maana sasa nani katika CCM akija UKAWA
haitakuwa

 sahihi au hatapokelewa katika harakati za ukombozi wa

 watanzania?



 2)   Mazingira yaliyomleta Lowasa

 kwenye UKAWA yakoje? kweli mazingira haya yanaonyesha

 anakuja na kujiunga na harakati za UKAWA kulikomboa
kutoka

 mikononi mwa CCM au anatafuta kutimiza azma yake
binafsi?



 Mawazo yangu ni kuwa kama

 tunapigana vita hatuwezi kuokota kila aliyeshika Bunduki
na

 kumwambia karibu jeshini kwetu. Hapo ndipo wengine
tunaona

 UKAWA imepoteza mwelekeo. Lakini pia tunachelea kujua
kama

 ni UKAWA imepoteza mwelekeo au ni mtu mmoja?
hatutarajii

 taasisi kama UKAWA kuwa na 'a STRONG MAN'.

 Tulitarajia kuona collective leadership. Sasa unapoona
watu

 ambao walitarajiwa kuwa sehemu ya uamuzi wanaonekana
sio,

 hapo ndipo tunaanza kujiuliza kuliwahi kuwa na UKAWA?
kwa

 maana ya neno UMOJA! Umoja unaotegemea mtu mmoja sio

 umoja.



 Nkya nakubaliana na

 wewe kuwa CCM ilivuruga mchakato wa wananchi kuandaa
katiba

 yao. Tulitarajia UKAWA kutuongoza. Sasa kwamba nako

 tunapoteza matumaini kuna njia mbili:



 a) CCM ikiona mbele inaweza kula matapishi yake

 na kurudi kwenye utashi wa wananchi kwa kuanzia
ilipopotelea

 yaani toleo la pili la tume ya Warioba. Hii ni njia
nyepesi

 na rahisi. Tunasubiri kusikia watasemaje katika kampeni

 hizi. Wakiwa ngangali njia ya pili itatupeleka
tuendako.



 b) Kama CCM itashikilia

 msomamo wake basi baada ya uchaguzi Vyama hivi
(wasirika

 katika UKAWA) vitajiunga na kujenga imani yake kwa
wananchi

 na kuanza mchakato upya. Tunawatarajia viongozi kama
Lipumba

 na Slaa ambao wamejitenga na machafuko yanayoivuruga
UKAWA.

 hayo ndiyo matumain i yangu.

 Elisa

 --------------------------------------------

 On Thu, 8/6/15, 'ananilea nkya' via

 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:



  Subject: Re:

 [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

  To: wanabidii@googlegroups.com

  Date: Thursday, August 6, 2015, 4:25 PM



  Elisa niliwahi kuandika

  humu kwamba mapambano ya kuwarejeshea wananchi

 wa Tanzania

  mamlaka yao yaliyoporwa na

 CCM  siyo lelemama.  Nilitoa



 mfano   CCM kupora mamlaka ya wananchi 



 walipozika  pale Dodoma  mwaka 2014 Rasimu ya Katiba
ya

  wananchi.

   

   Kuleta

  mabadiliko ya

 kuwarejeshea  wananchi  mamlaka yao,



 kunahitajika nguvu kubwa ya umma na viongozi wenye

 dhamira

  na uvumilivu.   Kunahitajika

 uongozi  wa

  upinzani usioyumba na wenye

 maono.  Kunahitajika viongozi 

  wa

 upinzania wenye dhamira ya dhati, ujasiri, uthubutu na

  uvumilivu maana  ukombozi   ni kazi

 ngumu 

  yenye misukosuko na maumivu sana. 

 Wengine wakitiwa

  msukosuko kidogo tu

 wanabwaga manyanga.  Hao hawafai

  kuongoza

 mapambano ya kurejesha mamlaka ya wananchi. 

  Lakini zaidi wasaliti katika mapambano ya

 kujeresha 

  mamlaka ya wananchi  ni 

 wengi.   Waoga  nao

  ni wengi zaidi. 

 Wanaotishwa na kutishika kirahisi  nao 



 wamo kibao.

  

  Jambo

 muhimu 

  katika UKAWA ni  je  viongozi 

 wa vyama vyote 

  vilivyounda  umoja huo 

 wana dhamira ya dhati—kuweka

  maslahi ya

 wananchi mbele?   Je wote wana dhamira



 ya kweli na maamuzi yasiyoyumba? Ni aibu kubwa sana kwa

 mtu

  aliyejinasibu  kuwa  mpigania maslahi

 ya wananchi kusaliti

  mapambano ya ukombozi

 wa wananchi.  Anajilaani mwenyewe. 



 Mpigaji wa kweli anayeweka maslahi ya umma mbele hata

  akijeruhiwa kiasi gani-hawezi kubaga

 manyanga—maana kubaga

  manyanga  ni

 kuwaaambia unaowapigania kuwa umechoka.

   



  Lakini ninachoamini mimi ni

  kwamba kwa ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA, 

 kwa vile

  alikuwa upande wa watawala,  umma

 utawafahamu  viongozi na

  baadhi ya

 wanachama wa vyama vya upinzani ambao walikuwa

  wanafanya kazi  ya kusaliti mapambano ya

 ukombozi wa

  wananchi.



  Pengine chaguzi

  wa mwaka huu

 utatuonyesha mengi ambayo yalikuwa



 yanakwamishwa  jitihada ukombozi  wa pili  wa

  kuhakikisha  wananchi wa taifa hili ndio

 wenye mamlaka ya

  mwisho . Tusubiri.



  Ananilea



 Nkya

   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com





 --------------------------------------------

  On Thu, 8/6/15, 'ELISA MUHINGO' via

  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:



  

 Subject:

  [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU

 FISADI TU?

   To: wanabidii@googlegroups.com

   Date: Thursday, August 6, 2015, 1:49 PM

  

   Ndani ya mtandau huu

 toka

   tumeuanza matusi yanakemewa, na

 hayaruhusiwe.

  niliwahi

  

 kufungiwa na nikarudi kwa neema

  tu.

   Lakini

   hata kwa

  wanaonijua si mtu wa matamshi ya ajabu.

 Nina

   heshima zangu.

  

 Kichwa cha

  mjaddala

  

 hakinistaki na dhamiri

  hainihukumu.

 nimetumia maneno makali

   tu

  lakini ni ya kiswahili cha kawaida.



  Tanzania imetoka mbali na

 humu sijadili safari

   yetu lakini ukweli

 watanzania Tumeichoka CCm

  na yenyewe

   (kama ipo) inajua kuwa



 tumeichoka

   Watu

  

 wanaiba

  wanatoa rushwa. Rushwa imekua sasa

 inaitwa ufisadi.

   Mtu anaweza kuunguza

 benki kuu ili kuficha

  wizi. Viongozi

   wamejirundikia marupurupu



 yaliyokuwa haramu yakawa

   halali.

   Toka lini sitting alowance ikawa

   laki tano na mtu anaweza kukaa vikao

 vitatu

  kwa siku.

  

 Sijawahi kukutana nayo nami

  nimetembea

 kidogo

   Watanzania polepole

  wakajikusanya nguvu kupitia

  

 taasisi zake

  moja wapo ikiwa vyama vya

 siasa. NCCR



  ilinyongwa

 ikaumia inafufufa. CUF nayo ilifurukuta TLP ah

   usiseme

   CHADEMA

 ikafanikiwa

  kuwakusanya

  

 watanzania na wakaitumaini. CCM



 ilipolinyonga tumaini lao la

   kupata

 Katiba

  mpya tumaini la watanzania ilikuwa

 CHADEMA Ni

   kupitia hiyo tukaipata

 UKAWA



  Siku zote

   tunajua watanzania maamuzi magumu

  tutayafanya kupitia

  

 uchaguzi mkuu 2015.

  Tumeishachungulia na

 kuiona serikali

   ndani

  ya

 ukawa. Fulani rais, Fulani PM fulani vile

  



   Gnafla tunasikia Lowasa

   anahamia CHADEMA tukacheka. apite wapi?

   Mara

   tukasikia CHADEMA

  imenunuliwa kama timu ya Manchester Mara



  ah! nani alisema Lowasa

 fisadi? leta ushahidi

   Mwisho tukasikia

 yamekuwa> Wenye akili

   tukasema basi

 sisi na CCM yetu na madhambi

  yake. UKAWA

 basi.

   Ghafla tunasikia Slaa na

  wengine hawamo ila ni Mbowe

  

 kalazimisha.

  Slaa haonekani kwenye vikao na

 sasa Lipumba



  kajitoa.

 Mbatioa achana naye. Yuko kazini.



  Sasa kama Mbowe anasema walikubaliana

 katika

   kamati kuu iweje katibu mkuu wake

 hayupo? kama

  huu ni uamuzi

   wa UKAWA mbona wenzake



 wanajitoa? UKAWA ni Mbowe kwongeza



  Mbowe??????

   Kama kweli

 kaahidiwa fedha

  basi

   ni

 fisadi nambari wani. Kawasaliti

  watanzania

 kwa manufaa

   yake. la sivyo basi

  ni kaburu tu. Mpaka awe mweupe ndiyo

   tuseme

  ni kaburu. kuwabagua

 wote hao bado unaweza kusema

  

 nimetukana????????????? Sikubali  --

  

  

  

     Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com

    

      



   

  

     Kujiondoa Tuma

  Email

 kwenda

    

    

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

    Utapata Email ya

    

   kudhibitisha ukishatuma

  

  



      

    

    

  

 Disclaimer:

    

    

 Everyone

   posting to this Forum bears the

 sole

  

  

 responsibility

     for any legal

 consequences



  of his or

 her postings, and

    hence

     statements and facts must be presented

   responsibly. Your

    

  continued membership

  

 signifies that you

  agree to this

    





 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

    Guidelines.

    

     ---

    



   

   You

 received this message because you

  are

 subscribed to

    the

  

  

  Google Groups

  

 "Wanabidii"

  group.

    

     To

  unsubscribe from this group and stop



  receiving emails

     from it, send an



 email

   to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

    

     For more

 options,

   visit

  





 https://groups.google.com/d/optout.



   

  

   

   

  --

  

   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

    Kujiondoa Tuma

 Email

  kwenda

  

    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

   

    Disclaimer:

  

   Everyone posting to

 this

  Forum bears the sole

   responsibility

    for any

 legal consequences



  of his

 or her postings, and hence

  

   statements and facts must be presented

  responsibly. Your

   

 continued membership

  signifies that you

 agree

   to this

   

 disclaimer and pledge to abide by

   our

 Rules and Guidelines.

   



 ---

    You received this message

 because

  you are

  

 subscribed to the

    Google Groups



  "Wanabidii"

 group.

    To



 unsubscribe

   from this group and stop

  receiving emails

  

   from it,

  send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

    For more options, visit

  



   https://groups.google.com/d/optout.

  

   --

  

 Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

   Kujiondoa Tuma Email

  kwenda

  

  

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

   Disclaimer:



  Everyone posting to

   this Forum bears the

  sole

 responsibility for any legal



  consequences of his or her postings, and hence

 statements

   and facts must be presented

 responsibly. Your

  continued

   membership signifies that you

  agree to this disclaimer and

   pledge to

  abide by our

 Rules and Guidelines.

   ---

   You received this message





  because you are subscribed to the Google

 Groups

   "Wanabidii" group.



  To unsubscribe

   from this group and stop



 receiving emails from it, send an

   email

 to

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

   For more options, visit



  https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send

 Emails to wanabidii@googlegroups.com



  Kujiondoa Tuma Email

 kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:



 Everyone posting to

  this Forum bears the

 sole responsibility for any legal



 consequences of his or her postings, and hence
statements

  and facts must be presented responsibly. Your

 continued

  membership signifies that you

 agree to this disclaimer and

  pledge to

 abide by our Rules and Guidelines.

  ---

  You received this message



 because you are subscribed to the Google Groups

  "Wanabidii" group.



 To unsubscribe

  from this group and stop

 receiving emails from it, send an

  email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit



 https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to

 this Forum bears the sole responsibility for any legal

 consequences of his or her postings, and hence
statements

 and facts must be presented responsibly. Your continued

 membership signifies that you agree to this disclaimer
and

 pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups

 "Wanabidii" group.

 To unsubscribe

 from this group and stop receiving emails from it, send
an

 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment