Friday, 7 August 2015

Re: [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

Elisa,
Nakubaliana na wewe mia kwa mia katika hili. Je, Lowassa kwa kuingia Chadema atabadilika, au anahitaji tu jukwaa la kuingia Ikulu afanye mambo yake?
Hilo ni swali ambalo hatutapata majibu yake mpaka labda baada ya miaka miwili ya kwanza ya utawala. Je, Chadema inao mpango wowote wa kumdhibiti
akionekana anakwenda nje ya mstari? Hayo ni maswali ambayo tunahitaji kujua majibu yake. Itakuwa bora aaanze kuwaaambia marafiki zake wasitegemee lolote kutoka kwake na anapotafuta mtu wa kumsaidia kazi aangalie ndani ya ukawa kwanza na si kundi la rafiiki zake. Akifanya hivyo wengine tunaweza kusahau madhambi yake na kuchapa kazi.
Tatizo la Tanzania ni kwamba mpaka sasa urais si taasisi. Rais ni kila ki. Anachoamua yeye basi inakuwa sheria, unlike Marekani ambako Obama hawezi kufanya apendavyo
bila kushawishi raia na bunge.
em

2015-08-07 3:50 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Emmanuel.
Mimi ninafurahi tunapopingana. Unajua kwa nini? Hoja zikija zinapingana tunapanua mambo na ndio mwanzo wa kupata muafaka.

Napenda kwa hiyo kupingana na wewe kwa sehemu ndogo.
Ni kweli kuwa kama tunataka kujisafisha tunatumia kila nyenzo tuliyo nayo ili mradi tumeondokana na adui na tumepata muda wa kuhakikisha tunasonga mbele.
Kuna mambo mawili muhimu:
1) Tanzania Bila CCM:
Mazingira yakiwezesha, ndiyo njia ya uhakika. Nimesema mara nyingi kuwa mmi ni MwanaCCM. Tena natamani CCM itolewe madarakani ili ijirekebishe ikiwa nje kwa sababu NI VIGUMU kubadilika ikiwa madarakani.

Lowasa ni njia sahihi? Kwa kuiondoa CCM Lowasa anaweza kutumika. Hatupingani katika hilo. Tunapopingana ni hapa: Nini kitafuata baada ya Lowasa kuiondoa Madarakani?
Nguvu ya Lowasa ikiachiwa bila kuikandia humu ni kubwa. Nguvu ya Chadema ni kubwa pia. Hizi zikikubaliana mambo yanakwenda sawa. zikipingana hapo kivumbi.
Uwezekano wa kupingana nguvu hizi ni mkubwa kuliko kukubaliana. Miaka hii kumi Tanzania tumeteswa na mtandao. Niliwahi kukutana na Mkuu wa Wilaya mmoja mpaka nikajiuliza aliyemteua alilenga nini hasa? Nikagundua ni madhara ya mtandao, Lowasa ana mtandao mkubwa. ana serikali tayari. Mawaziri wake wanafahamika. Wengine hawajitokezi wasimchafue. Akiwa rais asubuhi jioni anawapa ubunge kesho yake uwaziri. Tusiwataje hapa.

Mara baada ya Lowasa kuapishwa. akaongozana na Mkuu wa majeshi kwenda Ikulu. Chadema itamuona baada ya mwezi mmoja ameisha unda baraza la mawaziri. Itamsikia gazetini. Haina la kumfanya. Hakuna mwenye ubavu wa kumuuliza mbona mbona! Anao mtandao wake na haijui Chadema yenu. Wala hakuletwa chadema na malengo ya chadema. Katika chama chake chadema is just a disposable instrument for him to become the president. Hakuingia mpaka alipohakikishiwa atakombea bila vikwazo urais.

Angalia senario hiyo Wananchi wataidai CHADEMA NA UKAWA ahadi zake kwa wananchi itaporomoka hakuna mfano.
Kuna mengi ya kuhusu Lowasa asivyoingiana na chadema. Wala hakutumwa na mtu. Yaani si njama za CCM Lowasa kuwa CHADEMA kama ni njama za CCM Lowasa hahusiki. Hii inawezekana kama CCM ilijua kuwa ikimuengua atahamia chadema na akihamia atavuruga ukawa basi wakamuengua makusudi.

2) Tanzania na CCM madarakani inawezekana:
Njia hii nayo ina njia mbili:
a) Kutarajia CCM kubadilika-Hii mimi naiona. Viongozi wa CCM walio makini wameishaona. movement za wanasiasa kipindi hiki ni fundisho kwa kila chama. CCM si mbumbumbu kiasi cha kutoona hilo. mteule wao ni dalili Kumbuka CCM imethubutu kuwagusa mafisadi. Huenda CCM ikabadilika-nani anajua? lakini ikishindikana kuna (b).

b) Kutumia kipindi cha CCM madarakani kujijenga upya. katika mkorogani huu wa UKAWA tumewaona watu waliopinga ujio wa Lowasa. Wengine wamekaa kimya lakini tumewajua. Wengine wamejitokeza wazi tumewaona. hao watasaidia kujijenga upya. Njia hii ni ndefu inahitaji watu kuondoa ushort sighted Kuwa na Long term goals
Kwangu kama UKAWA haiwezi ku-abort takeoff ya ndege yake; namba 2 ni njia sahihi. Crusade imeanza na tunarutubisha uranium ndani ya mitandao na ndani ya jamii. na tunatarajia NEC ikimtangaza Lowasa kugombea urais kwa Tiketi ya Chadema tunaanza kumuandaa Magufuli kwenda Ikulu.
Emma najua wewe si mvivu wa kusoma. Umeisoma makala hii maana ina mtililiko
Elisa
--------------------------------------------
On Fri, 8/7/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Friday, August 7, 2015, 4:41 AM

 Elisa,Kuna mambo mengi ambayo hapo awali
 nimekubaliana na wewe. Katika hili la Lowassa kuingia
 Chadema hata mimi nilipingana nalo sana tu.Lakini
 baadaye nikatafakari kama nguvu zinazodaiwa alikuwa nazo
 Lowassa ndani ya CCM tutazitumia ndani ya UKAWA kuiondoa CCM
 mamlakanibasi I will look at the big
 picture--getting rid of CCM even if we have to use the devil
 to do it. CCM wamekuwa na mbinu nyingi tu za kukandamiza
 upinzaniana hata uchaguzi wa 2010 ilibidi vyombo
 vya dola viingilie kati kumnusuru Kikwete. Sisi tulioshiriki
 kwenye uchaguzi huo kama mawakala tunajua
 Kikwetehakushinda lakini unajua matokeo yake.
 Therefore, to have Lowassa in the team is a plus on our
 side. Itakuwa ngumu kwa CCM kuiba kura this time kwa
 sababu"mwenzao" tumemnyakua na siri za
 wizi anazijua.em
 2015-08-06 14:41 GMT-04:00
 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Elisa,

 Nimekusoma. Labda nikushauri soma alichoandika Mpendazoe
 nimeweka hapa jukwaani baadhi ya hoja zako ulizozitoa hapa
 zitakuwa zimejibiwa na hivyo sihitaji kurudia.

 Ananilea Nkya

  E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com



 --------------------------------------------

 On Thu, 8/6/15, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



  Subject: Re:
 [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

  To: wanabidii@googlegroups.com

  Date: Thursday, August 6, 2015, 6:52 PM



  Ninafurahi sana kupata

  maeneo ya kutofautiana nawe Ananilea.

  1)   Kama ujio wa Lowasa kwenye

  UKAWA kuna maana sasa nani katika CCM akija UKAWA
 haitakuwa

  sahihi au hatapokelewa katika harakati za ukombozi wa

  watanzania?



  2)   Mazingira yaliyomleta Lowasa

  kwenye UKAWA yakoje? kweli mazingira haya yanaonyesha

  anakuja na kujiunga na harakati za UKAWA kulikomboa
 kutoka

  mikononi mwa CCM au anatafuta kutimiza azma yake
 binafsi?



  Mawazo yangu ni kuwa kama

  tunapigana vita hatuwezi kuokota kila aliyeshika Bunduki
 na

  kumwambia karibu jeshini kwetu. Hapo ndipo wengine
 tunaona

  UKAWA imepoteza mwelekeo. Lakini pia tunachelea kujua
 kama

  ni UKAWA imepoteza mwelekeo au ni mtu mmoja?
 hatutarajii

  taasisi kama UKAWA kuwa na 'a STRONG MAN'.

  Tulitarajia kuona collective leadership. Sasa unapoona
 watu

  ambao walitarajiwa kuwa sehemu ya uamuzi wanaonekana
 sio,

  hapo ndipo tunaanza kujiuliza kuliwahi kuwa na UKAWA?
 kwa

  maana ya neno UMOJA! Umoja unaotegemea mtu mmoja sio

  umoja.



  Nkya nakubaliana na

  wewe kuwa CCM ilivuruga mchakato wa wananchi kuandaa
 katiba

  yao. Tulitarajia UKAWA kutuongoza. Sasa kwamba nako

  tunapoteza matumaini kuna njia mbili:



  a) CCM ikiona mbele inaweza kula matapishi yake

  na kurudi kwenye utashi wa wananchi kwa kuanzia
 ilipopotelea

  yaani toleo la pili la tume ya Warioba. Hii ni njia
 nyepesi

  na rahisi. Tunasubiri kusikia watasemaje katika kampeni

  hizi. Wakiwa ngangali njia ya pili itatupeleka
 tuendako.



  b) Kama CCM itashikilia

  msomamo wake basi baada ya uchaguzi Vyama hivi
 (wasirika

  katika UKAWA) vitajiunga na kujenga imani yake kwa
 wananchi

  na kuanza mchakato upya. Tunawatarajia viongozi kama
 Lipumba

  na Slaa ambao wamejitenga na machafuko yanayoivuruga
 UKAWA.

  hayo ndiyo matumain i yangu.

  Elisa

  --------------------------------------------

  On Thu, 8/6/15, 'ananilea nkya' via

  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:



   Subject: Re:

  [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU FISADI TU?

   To: wanabidii@googlegroups.com

   Date: Thursday, August 6, 2015, 4:25 PM



   Elisa niliwahi kuandika

   humu kwamba mapambano ya kuwarejeshea wananchi

  wa Tanzania

   mamlaka yao yaliyoporwa na

  CCM  siyo lelemama.  Nilitoa



  mfano   CCM kupora mamlaka ya wananchi 



  walipozika  pale Dodoma  mwaka 2014 Rasimu ya Katiba
 ya

   wananchi.

    

    Kuleta

   mabadiliko ya

  kuwarejeshea  wananchi  mamlaka yao,



  kunahitajika nguvu kubwa ya umma na viongozi wenye

  dhamira

   na uvumilivu.   Kunahitajika

  uongozi  wa

   upinzani usioyumba na wenye

  maono.  Kunahitajika viongozi 

   wa

  upinzania wenye dhamira ya dhati, ujasiri, uthubutu na

   uvumilivu maana  ukombozi   ni kazi

  ngumu 

   yenye misukosuko na maumivu sana. 

  Wengine wakitiwa

   msukosuko kidogo tu

  wanabwaga manyanga.  Hao hawafai

   kuongoza

  mapambano ya kurejesha mamlaka ya wananchi. 

   Lakini zaidi wasaliti katika mapambano ya

  kujeresha 

   mamlaka ya wananchi  ni 

  wengi.   Waoga  nao

   ni wengi zaidi. 

  Wanaotishwa na kutishika kirahisi  nao 



  wamo kibao.

   

   Jambo

  muhimu 

   katika UKAWA ni  je  viongozi 

  wa vyama vyote 

   vilivyounda  umoja huo 

  wana dhamira ya dhati—kuweka

   maslahi ya

  wananchi mbele?   Je wote wana dhamira



  ya kweli na maamuzi yasiyoyumba? Ni aibu kubwa sana kwa

  mtu

   aliyejinasibu  kuwa  mpigania maslahi

  ya wananchi kusaliti

   mapambano ya ukombozi

  wa wananchi.  Anajilaani mwenyewe. 



  Mpigaji wa kweli anayeweka maslahi ya umma mbele hata

   akijeruhiwa kiasi gani-hawezi kubaga

  manyanga—maana kubaga

   manyanga  ni

  kuwaaambia unaowapigania kuwa umechoka.

    



   Lakini ninachoamini mimi ni

   kwamba kwa ujio wa Lowassa ndani ya UKAWA, 

  kwa vile

   alikuwa upande wa watawala,  umma

  utawafahamu  viongozi na

   baadhi ya

  wanachama wa vyama vya upinzani ambao walikuwa

   wanafanya kazi  ya kusaliti mapambano ya

  ukombozi wa

   wananchi.



   Pengine chaguzi

   wa mwaka huu

  utatuonyesha mengi ambayo yalikuwa



  yanakwamishwa  jitihada ukombozi  wa pili  wa

   kuhakikisha  wananchi wa taifa hili ndio

  wenye mamlaka ya

   mwisho . Tusubiri.



   Ananilea



  Nkya

    E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com





  --------------------------------------------

   On Thu, 8/6/15, 'ELISA MUHINGO' via

   Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

   wrote:



   

  Subject:

   [wanabidii] MBOWE::: NI KABURU AU

  FISADI TU?

    To: wanabidii@googlegroups.com

    Date: Thursday, August 6, 2015, 1:49 PM

   

    Ndani ya mtandau huu

  toka

    tumeuanza matusi yanakemewa, na

  hayaruhusiwe.

   niliwahi

   

  kufungiwa na nikarudi kwa neema

   tu.

    Lakini

    hata kwa

   wanaonijua si mtu wa matamshi ya ajabu.

  Nina

    heshima zangu.

   

  Kichwa cha

   mjaddala

   

  hakinistaki na dhamiri

   hainihukumu.

  nimetumia maneno makali

    tu

   lakini ni ya kiswahili cha kawaida.



   Tanzania imetoka mbali na

  humu sijadili safari

    yetu lakini ukweli

  watanzania Tumeichoka CCm

   na yenyewe

    (kama ipo) inajua kuwa



  tumeichoka

    Watu

   

  wanaiba

   wanatoa rushwa. Rushwa imekua sasa

  inaitwa ufisadi.

    Mtu anaweza kuunguza

  benki kuu ili kuficha

   wizi. Viongozi

    wamejirundikia marupurupu



  yaliyokuwa haramu yakawa

    halali.

    Toka lini sitting alowance ikawa

    laki tano na mtu anaweza kukaa vikao

  vitatu

   kwa siku.

   

  Sijawahi kukutana nayo nami

   nimetembea

  kidogo

    Watanzania polepole

   wakajikusanya nguvu kupitia

   

  taasisi zake

   moja wapo ikiwa vyama vya

  siasa. NCCR



   ilinyongwa

  ikaumia inafufufa. CUF nayo ilifurukuta TLP ah

    usiseme

    CHADEMA

  ikafanikiwa

   kuwakusanya

   

  watanzania na wakaitumaini. CCM



  ilipolinyonga tumaini lao la

    kupata

  Katiba

   mpya tumaini la watanzania ilikuwa

  CHADEMA Ni

    kupitia hiyo tukaipata

  UKAWA



   Siku zote

    tunajua watanzania maamuzi magumu

   tutayafanya kupitia

   

  uchaguzi mkuu 2015.

   Tumeishachungulia na

  kuiona serikali

    ndani

   ya

  ukawa. Fulani rais, Fulani PM fulani vile

   



    Gnafla tunasikia Lowasa

    anahamia CHADEMA tukacheka. apite wapi?

    Mara

    tukasikia CHADEMA

   imenunuliwa kama timu ya Manchester Mara



   ah! nani alisema Lowasa

  fisadi? leta ushahidi

    Mwisho tukasikia

  yamekuwa> Wenye akili

    tukasema basi

  sisi na CCM yetu na madhambi

   yake. UKAWA

  basi.

    Ghafla tunasikia Slaa na

   wengine hawamo ila ni Mbowe

   

  kalazimisha.

   Slaa haonekani kwenye vikao na

  sasa Lipumba



   kajitoa.

  Mbatioa achana naye. Yuko kazini.



   Sasa kama Mbowe anasema walikubaliana

  katika

    kamati kuu iweje katibu mkuu wake

  hayupo? kama

   huu ni uamuzi

    wa UKAWA mbona wenzake



  wanajitoa? UKAWA ni Mbowe kwongeza



   Mbowe??????

    Kama kweli

  kaahidiwa fedha

   basi

    ni

  fisadi nambari wani. Kawasaliti

   watanzania

  kwa manufaa

    yake. la sivyo basi

   ni kaburu tu. Mpaka awe mweupe ndiyo

    tuseme

   ni kaburu. kuwabagua

  wote hao bado unaweza kusema

   

  nimetukana????????????? Sikubali  --

   

   

   

      Send

   Emails to wanabidii@googlegroups.com

     

       



    

   

      Kujiondoa Tuma

   Email

  kwenda

     

     

   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

     Utapata Email ya

     

    kudhibitisha ukishatuma

   

   



       

     

     

   

  Disclaimer:

     

     

  Everyone

    posting to this Forum bears the

  sole

   

   

  responsibility

      for any legal

  consequences



   of his or

  her postings, and

     hence

      statements and facts must be presented

    responsibly. Your

     

   continued membership

   

  signifies that you

   agree to this

     





  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

     Guidelines.

     

      ---

     



    

    You

  received this message because you

   are

  subscribed to

     the

   

   

   Google Groups

   

  "Wanabidii"

   group.

     

      To

   unsubscribe from this group and stop



   receiving emails

      from it, send an



  email

    to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

     

      For more

  options,

    visit

   





  https://groups.google.com/d/optout.



    

   

    

    

   --

   

    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

    

     Kujiondoa Tuma

  Email

   kwenda

   

     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

    

     Disclaimer:

   

    Everyone posting to

  this

   Forum bears the sole

    responsibility

     for any

  legal consequences



   of his

  or her postings, and hence

   

    statements and facts must be presented

   responsibly. Your

    

  continued membership

   signifies that you

  agree

    to this

    

  disclaimer and pledge to abide by

    our

  Rules and Guidelines.

    



  ---

     You received this message

  because

   you are

   

  subscribed to the

     Google Groups



   "Wanabidii"

  group.

     To



  unsubscribe

    from this group and stop

   receiving emails

   

    from it,

   send an email to

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

     For more options, visit

   



    https://groups.google.com/d/optout.

   

    --

   

  Send

   Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

    Kujiondoa Tuma Email

   kwenda

   

   

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

   

    Disclaimer:



   Everyone posting to

    this Forum bears the

   sole

  responsibility for any legal



   consequences of his or her postings, and hence

  statements

    and facts must be presented

  responsibly. Your

   continued

    membership signifies that you

   agree to this disclaimer and

    pledge to

   abide by our

  Rules and Guidelines.

    ---

    You received this message





   because you are subscribed to the Google

  Groups

    "Wanabidii" group.



   To unsubscribe

    from this group and stop



  receiving emails from it, send an

    email

  to

   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

    For more options, visit



   https://groups.google.com/d/optout.



   --

   Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com



   Kujiondoa Tuma Email

  kwenda



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



   Disclaimer:



  Everyone posting to

   this Forum bears the

  sole responsibility for any legal



  consequences of his or her postings, and hence
 statements

   and facts must be presented responsibly. Your

  continued

   membership signifies that you

  agree to this disclaimer and

   pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.

   ---

   You received this message



  because you are subscribed to the Google Groups

   "Wanabidii" group.



  To unsubscribe

   from this group and stop

  receiving emails from it, send an

   email to

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

   For more options, visit



  https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:

  Everyone posting to

  this Forum bears the sole responsibility for any legal

  consequences of his or her postings, and hence
 statements

  and facts must be presented responsibly. Your continued

  membership signifies that you agree to this disclaimer
 and

  pledge to abide by our Rules and Guidelines.

  ---

  You received this message

  because you are subscribed to the Google Groups

  "Wanabidii" group.

  To unsubscribe

  from this group and stop receiving emails from it, send
 an

  email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit

  https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment