Monday, 24 August 2015

Re: [wanabidii] Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa

Mike
it changes nothing on my side.... ipo agenda lakini itashindwa.

On Aug 24, 2015 1:02 PM, "'Mike Zunzu' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Wewe na wenzako wachumia tumbo ndiyo mnamawazo ya "The Northern Corridor" There no any thing called northern corridor, probably I kindly advise to be patient,  if there is a fair election then wait for tsunami, and for you safety better to move far away from the see shore. 




On Monday, 24 August 2015, 9:58, fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com> wrote:


Ludo umeniwahi nilitaka kuandika hivyo hivyo
On Aug 24, 2015 11:52 AM, "Joseph Ludovick" <josephludovick@gmail.com> wrote:
Emma
nina mashaka na hofu kuu... na haya mambo yako na mama nkya.. na northen corridor.
On Aug 23, 2015 12:40 PM, "'Jovi kamuntu' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Magwayega, mbona Kikwete kasema tangu aingie mahakamani hajasaini kunyonga mtu hata mmoja pamoja na kuwepo hukumu hizo nyingi? Kwahiyo anadharau mahakama? Kwahiyo kutoa maamuzi kama hayo kwa mamlaka yake inawezekana. Pia kama kweli kuna ushahidi kwamba kulikuwepo kuingilia maamuzi wa mahakama Rais akae kimya eti ni kuingilia muhimili mwingine?

Mbona Bunge lilipoingilia Muhimili wa mahakakama na kutengua maamuzi ya mahakama kuhusu mgombea binafsi hawakusilizwa. It is possible kukomesha uonevu wa viongozi wakubwa kwa kisingizio cha kutoingilia uhuru wa mahakama. Kama uhuru wa mahakama upo lazima uonekane kweli upo. Watu wanafungwa kwa uonevu wa makusudi na kwa amri za wakubwa au kwa vitendo vya rushwa.

Jovin Bifabusha

DIRECTOR
KWFF LTD
P. O. Box 313
Skype: jovin.bifabusha
Karagwe, Tanzania
+255 784 709200

--------------------------------------------
On Sun, 8/23/15, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Sunday, August 23, 2015, 3:54 AM

 Kehencha absolutely ur
 right man, na ndio hapo lowasa aliposema kwa namna ilivyo
 atawaachia hata kina mzee mzima mwanamuziki ngul babu seya,
 huenda kaona there was no fair judgement na kulikua na
 executive intervention ktk judgement, we dont know coz we
 are far from them yeye ashakaa anajua siri nzito za mle na
 ndio maana jk anahaha kila time yuko na magufulii
 Lesian

 'Kehancha Kehancha' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Kuna kweli
 mbili lazima tuzikubali katika mjadala huu.1. Ukwelli
 wa kwanza: Kwa Tanzania, mhimili wa mahakama si huru kutoka
 kwenye ushawishi wa executive. Kuna mianya mingi ya
 executive kuingilia uhuru wa mahakama.2. Kweli
 wa pili: Kuna watu wengi wasio na hatia lakini wako gerezani
 kwa matakwa ya vigogo au matajiri fulani.

    Da: 'leonard
 magwayega' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
  A:
 "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>
  Inviato: Venerdì 21
 Agosto 2015 18:19
  Oggetto: Re:
 [wanabidii] Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa

 Nimeshasema
 yapo makosa ambayo Rais anaweza akasamehe na mengine hawezi
 likiwamo hilo. naongea kitaalamu zaidi usilete siasa hapa.
 Pia inategemea huyo mtu kifungo chake ni cha muda gani, huyo
 babu seya wenu ni cha maisha.




      On Friday, August
 21, 2015 6:56 PM, 'jbifabusha' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:



  Ebu
 nijuze Rais mamlaka yake ya kusamehe wafungwa yakoje
 kisheria?

 Sent from Samsung
 Mobile


 -------- Original message
 --------
 From: 'leonard magwayega'
 via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 Date:
 To:
 wanabidii@googlegroups.com
 Subject: Re:
 [wanabidii] Mbeya wahoji uadilifu viongozi wa Ukawa


 Kesi ya
 Babu Seya nilowatumia ni ya uamuzi wa Mahakama kuu. Sasa
 natuma ya Mahakama ya rufaa halafu tumpime Lowassa na Mbowe
 wake kama hawataingilia uhuru wa Mahakama.Adv.
 Leonard Elias Magwayega (a.k.a Bob Leo)





  On Friday, August 21, 2015 6:30 PM,
 leonard magwayega <bobittz@yahoo.com> wrote:


  Hongera
 sana mwandishi wa habari hii gazeti la Raia mwema. Kimsingi
 hata mimi nilishtuka sana kumsikia Rais mtarajiwa akiahidi
 hadharani ku frustrate maamuzi ya Mhimili wa mahakama bila
 hata kusema atatumia sheria ipi. Tunajua Rais ana mamlaka ya
 kutoa msamaha kwa wafungwa kwa mujibu wa Katiba na Sheria
 nyingine. Lakini msamaha huo hautolewi kihorelahorela na kwa
 kosa lolote tu bila kufuata guideline zilizopo. Babu Seya
 kwa kosa aliloshtakiwa na kufungwa kwalo haliko na muda wa
 kifungo alichopewa (Maisha) halimo katika orodha ya makosa
 ya kusamehewa na kutolewa jela. Sijui huyu atakuwa ni Rais
 wa aina gani. Nadhani Lowassa amepoteza uwezo wa kutafakari
 kwa kina na anaoambatana nao pia ni laymen kwa mambo mengi
 tu achana kuwa laypersons wa kisheria tu.Huyo mwenyekiti wa
 CDM ndo layman wa mambo mengi sana na hata anayodhani anajua
 anayajua kijuujuu tu na nadhani hata washabiki wao wengi ni
 wa aina hiyohiyo. Wakipewa viroba, wakawekewa mafuta kwenye
 bodaboda, posho kidogo iso zidi 20000 wako tayari kuandamana
 na kushangilia lolote litokalo vinywani mwa hao wakubwa zao.
 Hivi wewe ambaye una mtoto wako wa kike au kiume mwenye umri
 wa miaka 10 na kurudi chini hadi 6 anapobakwa tena kwa namna
 ile ya kuchangiwa na watu zaidi ya mmoja na akaharibiwa
 sehemu zake za siri mbele na nyuma utakuwa na ushujaa wa
 kumshangilia rais ajaye anyesema atawaachia huru wabakaji wa
 aina ya Babu seya? Mahakama ya Rufaa ndiyo chombo cha juu
 kabisa cha utoaji haki nchini kwetu na ina majaji weredi
 sana na kwa hiyo uamuzi wake ni wa mwisho. Leo unawezaje
 kuwa na rais ambaye anasisitiza kuwa ataingilia uhuru wa
 Mahakama? kwa wale msiojua hukumu hiyo ngoja niwatumie
 angalau mpate mawili matatu kisha tutaendelea na majadiliano
 ikiwa mtaona inafaa.Leonard
 Elias Magwayega (Esq)




      On Thursday, August
 20, 2015 10:43 AM, 'Lesian Mollel' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com> wrote:



  Hizi mbwembwe tu bro emma subiri filimbi
 ipulizwe watakimbia wenyewe,ukawa tumejipanga vilivyo na jk
 atfute mbeleko yenye kamba ya katani original ambebee huyu
 mtu wake cc wwtunatasukumwa na nguvu ya umma,peeeoples
 Lesian

 Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
 wrote:

 Naona
 kampeni zimeshaanza. Lakini ngoma ya mwaka huu ni
 ngumu.em
 2015-08-19
 7:07 GMT-04:00 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>:





 Felix
 Mwakyembe

  

   Chadema
 sasa wakwepa ajenda ya
 ufisadi

    
 Kauli ya kumwachia Babu Seya yashtua
 polisi


 MKUTANO wa Umoja wa
 Katiba ya Wananchi (Ukawa) uliofanyika
 katika viwanja vya Shule ya Msingi Luanda jijini Mbeya wiki
 iliyopita, umeacha
 simulizi na mikanganyiko miongoni mwa wakazi wa jijini
 hapa.

 Umati
 uliohudhuria mkutano huo umeacha simulizi kutokana na
 wingi wa watu wakiwa kutoka wilaya zote za Mkoa Rukwa,
 Iringa na Ruvuma.


 Kwa mujibu
 wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ujio wao
 ulikuwa mahsusi kwa ajili ya kutafuta wadhamini wa mgombea
 wao, Edward Lowassa,
 ambaye naye alihutubia mkutano huo kwa muda usiozidi dakika
 ishirini.

 Hotuba ya
 mgombea huyo iliacha mkanganyiko pale alipotoa
 ahadi ya kumwachia mwanamuziki nguli wa dansi nchini, Nguza
 Vicking
 anayetumikia kifungo baada ya kukutwa na hatia, ikiwamo ya
 kuwanajisi watoto.


 Baadhi ya
 watu waliokuwapo mkutanoni hawakusubiri
 kuitafakari ahadi ile baadaye, bali walianza mjadala muda
 ule ule, wakihoji
 mantiki ya ahadi ya mgombea huyo kumwachia huru mtu ambaye
 hata Mahakama ya
 Rufaa nchini ilimtia hatiani.


 "…kumwachia
 Babu Seya tena, hii kali ya mwaka, wale majaji
 wa Mahakama ya Rufaa wako vizuri sana, asingekuwa na hatia
 wangemwachia,"alisikika askari mmoja wa Jeshi la Polisi
 aliyekuwapo mkutanoni
 pale mara baada ya ahadi hiyo kutolewa.


 Mbali ya ahadi hiyo
 yenye shaka kutoka kwa mgombea huyo wa
 Ukawa, ahadi yake hiyo, iwapo itatekelezwa, inatajwa kuwa ni
 sawa na uvurugaji
 wa utawala bora, lakini pia naye Mwenyekiti wa Chadema
 alifanya tukio
 lililodhihiri baadaye kuwa ni kituko cha aina
 yake.


 Mbowe, kwa
 mbwembwe, aliwatangaza wanachama wapya
 waliojiunga na chama hicho siku hiyo ya mkutano, na miongoni
 mwao ni wabunge
 wawili waliomaliza muda wao, Mchungaji Luckson Mwanjale,
 Jimbo la Mbeya
 Vijijini na Modestus Kilufi, Jimbo la Mbarali. Wote wakiwa
 kutoka CCM.

 Hata hivyo ni Kilufi
 pekee aliyejitokeza uwanjani pale na
 kutambulishwa, wakati Mwanjale aliitwa mara kadhaa na Mbowe
 pasipo kutokeza.
 Akiwatambulisha, Mwenyekiti huyo wa Chadema alisema;
 "walipokuwa katika chama
 chao cha zamani walitufanyia nanihino,
 tuwapokee!"


 Mwenyekiti
 huyo aliitikiwa na umati uliokuwepo wakisema
 wapokee, lakini muda wote huo Mchungaji Mwanjale hakuwepo
 uwanjani hapo, hatua
 iliyosababisha Mbowe kutoa kauli nyingine tata akidai
 inawezekana mbunge huyo
 amechelewa kutokana na msongamano wa magari lakini angefika
 uwanjani hapo.


 Kutokana na tukio hilo
 la kutangazwa na kutonekana,
 waandishi wa habari walianza kumtafuta Mwanjale ili kupata
 kauli yake na
 alipopatikana alionyesha kushangazwa na taarifa hizo za yeye
 kujiunga Chadema,
 akisema hajawahi kuwaza jambo hilo na kwamba asingeweza
 kujiunga na chama hicho
 kabla ya kushauriana na familia yake.


 Katika mahojiano yake na
 Raia Mwema kwa njia ya simu,
 Mchungaji Mwanjale alisema kuwa wakati msafara wa Lowassa
 ukiwasili katika
 Uwanja wa Ndege Songwe, naye alikuwepo akiwa pamoja na jamaa
 zake na kwa sababu
 ni mtu wanayefahamiana alisalimiana naye.


 Mchungaji
 Mwanjale anasema inawezekana lile tukio la yeye
 kusalimiana na Lowassa lilichukuliwa kimakosa na baadhi ya
 watu wakiwemo
 viongozi wa Chadema, kwamba kwao alikuwa amejiunga tayari na
 chama hicho.

 "Makamo haya unaenda
 Chadema ili iwe nini, pamoja na makosa
 ya chama, wengine kutotendewa haki, sina mawazo ya kuhama
 chama," alisema
 Mwanjale.


 Wakati
 mchungaji huyo akikanusha, baadhi ya wadau wa siasa
 za Mbeya nao wanahoji mantiki ya kiongozi mkuu wa Chadema
 kutangaza jambo
 ambalo hana uhakika nalo. Wanabainisha kuwa kama ni kweli
 hakukuwa na
 mawasiliano basi viongozi hao wanawakosea wenzao
 staha.


 Wakati Mchungaji
 Mwanjale akitangazwa kwenye mkutano wa
 hadhara, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile
 naye alizushiwa
 kuhamia Chadema lakini katika kipindi kifupi kiongozi huyo
 alikanusha, akisema
 hajawahi kuwazia jambo hilo na kwamba bado yupo CCM na
 hajabadilika.


 "Kwa umri wetu huu,
 sio kuhama vyama, bali unampigia yule
 unayemuona anafaa na mwenye uwezo wa kutuongoza," anasema
 Mzee Mwakipesile
 katika mahojiano ya simu na mwandishi wetu, na kuongeza;
 "Lowassa tunafahamiana
 na alikuwa kiongozi wangu, tumefanya naye kazi akiwa Waziri
 Mkuu mimi nikiwa
 Mkuu wa Mkoa, tulikuwa naye bungeni kwa miaka 10,
 inawezekana watu wanatumia
 vibaya uhusiano wetu huo."


 Taarifa za kuhama kwa
 wanasiasa hao zilikuwepo kabla ya ujio
 wa Lowassa Mbeya, na wote, sababu kuu ya kuzushiwa ikiwa ni
 ukaribu wao na
 mgombea huyo wa Chadema.

 "Tatizo
 Chadema wanatafuta watu wote waliokuwa jirani na
 Lowassa akiwa CCM, wanachanganya urafiki na itikadi, huo ni
 udhaifu mkubwa,"
 anasema Charles Mwakipesile aliyekuwa miongoni mwa watangaza
 nia wa CCM na kushika
 nafasi ya tatu katika kuwania ubunge Jimbo la Mbeya
 Mjini.


 Mwakipesile ambaye pia
 anashikilia nafasi mbalimbali za
 uongozi ndani ya CCM anasema kuwa wanachama wenzao
 wanaokimbilia Chadema baada
 ya kushindwa kwenye kura za maoni wanadhihirisha umamluki
 wao walipokuwa ndani
 ya chama hicho.


 "Mtu
 amekuwa kiongozi wa miaka mitano, leo anaondoka baada
 ya kuanguka huku akitoa kashfa lukuki kwa chama kile kile
 alichokitumikia, ni
 udhaifu mkubwa," anasema Mwakipesile na kuongeza;
 "….mimi nawaheshimu sana
 wanaohama bila ya msukumo wa kuanguka kwenye uchaguzi, hao
 ni wakomavu wa
 kisiasa."


 Chanzo cha
 ndani, waliokuwapo Uwanja wa Ndege Songwe
 kumpokea Lowassa vinabainisha kilichojitokeza Mchungaji
 Mwanjali alipokwenda
 kumsalimia Lowassa ni utani uliokuwepo akihamasishwa kuhamia
 Chadema naye
 akajibu, "tupo pamoja."

 Chanzo hicho
 kinabainisha kuwa yawezekana Chadema
 walichukulia kauli ile kama jibu la kukubali kwa Mchungaji
 huyo kuhamia kwao.
 Katika kuthibitisha hilo, chanzo hicho kinasema ndio maana
 hata Mbowe alitoa kauli
 mbili, kwanza akisema yupo hapa, kwa maana ya mkutanoni na
 ilipobainika hayupo
 akasema inawezekana amekwama njiani kutokana na msongamano
 wa magari.


 Katika mkutano huo
 walikuwepo viongozi mbalimbali wa vyama
 vinavyounda Ukawa akiwamo, Mgombea Mwenza katika urais wa
 Jamhuri ya Muungano
 wa Tanzania, Juma Duni, Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James
 Mbatia na Dk.
 Emmanuel Makaidi.


 Mbunge wa
 Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi alikuwa miongoni mwa
 wazungumzaji katika mkutano huo, ambapo pamoja na mambo
 mengine alikituhumu
 Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuingiza mkoani humo shahada
 5,000 za kupigia kura
 na kutishia akisema; "…wakijaribu kufunga goli la mkono
 tutatuma beki kuzuia,
 kule pembezoni akifunga tunakata kiganja kwa nyengo, mteule
 wa CCM kaingizwa
 bweni la zeluzelu."


 Mwenyekiti wa NCCR
 Mageuzi, James Mbatia alimshauri Rais
 Jakaya Kikwete kuwa mtulivu na msikivu pamoja na chama chake
 katika kipindi
 hiki. Pamoja na ushari kwa Rais Kikwete, aliwasihi pia
 wananchi wa Mkoa wa
 Mbeya kuhubiri amani ili uchaguzi uwe wa amani pasipo
 kubaguana.


 Hata hivyo Mwenyekiti
 Mwenza kwenye Ukawa, Freeman Mbowe
 alisema umoja huo hautapiga magoti kuwabembeleza Tume ya
 Taifa ya Uchaguzi
 (NEC) iwapo wataona wanaonewa bali watajibu kwa
 vitendo.

 "Ukawa
 hatutopiga magoti tukiona tunaonewa, tutachukua…,"
 akajibiwa na umati uliohudhuria "action!"


 Pamoja na ahadi yake ya
 kumwachia Babu Seya iwapo ataingia
 madarakani, Lowassa pia aliahidi kulibadili Jiji la Mbeya na
 kuwa la kimataifa
 pamoja na Uwanja wa Ndege wa Songwe nao uwe wa kimataifa.
 Nao baadhi ya
 wasikilizaji katika mkutano huo wakasemezana wakihoji;
 "kwani sasa sio wa
 kimataifa?"


 Katika
 jambo lililowashangaza baadhi ya wafuatiliaji wa
 siasa mkoani humo, ni hatua ya viongozi wa Ukawa kukwepa
 ajenda yao ya ufisadi,
 ajenda iliyowajenga na kuwapambanua kama viongozi makini
 wanaochukizwa na hali
 hiyo nchini ambayo imekuwa ikifichuliwa karibu kila mwaka na
 ripoti za Mdhibiti
 na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).


 Katika
 mkutano wa Mbeya, sio Mbowe wala Mbatia au Makaidi
 aliyethubutu kutamka neno, fisadi au ufisadi. Hatua hiyo
 iliwafadhaisha
 baadhiya wapenzi wa mageuzi mkoani humo, wakibainisha kuwa
 wametelekezwa na
 viongozi wao.


 "Watu wamepoteza
 maisha, Mwalukali alipigwa risasi hapa na
 leo hii ana ulemavu wa mkono, tuliwaamini kuwa wanapigania
 haki, tukaingia
 barabarani, leo hii wamethamni pesa zaidi kuliko sisi, siasa
 chafu kabisa
 hizi," alisikika mkazi wa Soweto beya
 akilalamika


 Chanzo Raia Mwema Toleo
 la 419, 19 Aug 2015





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment