Mimi i mmoja kati ya wanaomwandama Lowasa. nikijibu kwa nafsi yangu simwandami kwa sababu amehamia CHADEMA. nilimwandama akiwa ndani ya CCM na wakati huo tukisaidiana na Chadema. Lengo lilikuwa asipate nafasi ya kugombea. nakusudi ni kuwa mtu mwenye nguvu kama yeye na mtandao mkubwa hafai kuwa Rais wetu. Uzoefu tulioupata kwa JK unatutosha hatumtaki tena mtu wa namna hiyo. kama CHADEMA ingemteua Slaa mathalan na CCM ikamteua Magufuli mimi binafsi ningekuwa naandika maswala ya sera na ilani. Kwa hiyo namuandama kama nilivyomuandama akiwa ndani ya CCM na ndiyo maana haikumchagua maana ilijua ataiangusha. Na sasa wanafurahi kwa sababu wanajua kabla ya uchaguzi 25 October wapiga kura watakuwa wamejua na watafanya uamuzi sahihi.
--------------------------------------------
On Tue, 8/25/15, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, August 25, 2015, 9:35 PM
Nauliza
swali. Hivi tunamwandama Lowassa kwa sababu kahamia
upinzani? Kwa sababu kama ni makosa ya kimfumo chama chote
cha CCM akiwemo Magufuli kinapaswa kubebeshwa lawama. Kama
ni usanii, hakuna msanii anayemzidi Kikwete kwa kutoa ahadi
za uongo na tukampigia makofi na kumtajirisha yeye na
familia yake in the process.Mpaka pake Tanzania
tutakapoamua kuwa na institutional presidency tutaendelea
kuchezewa na wasanii, including
Magufuli.em
2015-08-25 14:02 GMT-04:00
'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Jee-ameshawahi kwenda ktk vijiji
vyake Monduli kuinama chini kunywa maji ya kijani machafu ya
mvua yaliyovchanganyika na kinyesi cha mifugo, miguu ya watu
imepita hapo na kina mama na maguduria na punda wanachota
hapo au watoto kuinama kunywa ili aone tabu ya maji
itokanayo na environmental degradation ya shughuli za
ufugaji na kilimo kisicho endelevu. Ina maana siku zote hizo
akipita na gari toka awe na vyeo serikalini alikuwa haoni
msingamano wa magari, daladala mbovu zilizokufa barabarani,
matakataka yaliyotupwa hovyo mitaroni na barabarani na mama
ntilie anauza mlo hapo na ghasia zote za magari na vendors
miji mikuu, midogo na vijijini? Hekaya za abunuasi na
hadithi za alinacha. Njaa ya vyeo zitaleta mengi. Viini
macho too much
--------------------------------------------
On Tue, 25/8/15, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] LOWASA NA DIGREE YA SANAA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 25 August, 2015, 14:35
--
Niliwahi kusoma mahala kuwa Digree ya kwanza ya Edward
Lowasa, Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, ni ya
sanaa.
Jana 24 August 2015 yeye na mgombea mwenza walijitokeza
stand ya daladala Gongo la mboto na wakapanda daladala
na
kulipa nauli.
Ikatafsiriwa na watu kuwa hiyo ni kuonyesha kuwa yeye ni
mtu
wa watu maana amepanda daladala. Mimi sikuona hivyo.
Nilitaka kufikiri kuwa anataka kuyaelewa matatizo ya
watu.
Nikasita kuamini hivyo. Ingekuwa hivyo kama angekwenda
huko
kabla ya kugombea ili tufikiri kuwa alipoyaona matatizo
ndipo akaamua kugombea. Wakati nikitafakari nikasikia
kuwa
leo ameibukia sokoni Tandale. Nimeona picha akinywa
chai
(kama alikuwa haigizi).
Nimeyajumlisha nikashindwa kukubali kuwa hiyo ni dalili
ya
kuonyesha kuwa huyu ni kiongozi bora. jambo ambalo
wengi
tunaweza kukubaliana ni kuwa anafanya maigizo.
Dr Mwakyembe wakati anajaribu treni za dar Es salaam
aliwahi
kusafiri nayo. Rais wa Zanzibar wakati ule Aboud Jumbe
aliwahi kusafiri na train nadhani kutoka Dar mpaka
tabora.
Alikuwa na sababu. alikuwa kazini.
Hii ya Lowasa sio. Na kama kuna mtu akivutwa na hilo
akaamua
kumpa kura huyo mtu ana matatizo makubwa.
Sitarajii kusikia kuwa sasa anachangamana na watu kwa
hiyo
anafaa. najua wasanii wengi wamejaribu kuingia siasa.
Wamegombea wengi . Wengine wamekosa nafasi za kuendelea
mbele. Kwa nafasi za ubunge na udiwani twaweza
kuwajaribu
wakachangamshe mijadala bungeni na mabaraza wa
madiwani.
Elisa
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment