Thursday 29 January 2015

Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'

kasomea sheria ukubwan nahis na hata hivyo hakua makini darasani nahis maana naona hoja zako anataka kuona kua lawyer ndio mtu muhim sanaaa, kuna watu si lawyers lakini ni bush lawyers nao woote ni lawyers....ila simshangai hata anachoongea humu sijamwelewe sana ushaur wake usichukuliwe seriously,lawyer kubiase masuala ndio kwa mara ya kwanza namsikia huyu sawa na journalist alitakiwa kua neutral na kutetea kwenye haki kama akipewa chance......anyway ni kawaida ya dada yetu msomi ya sheria


From: 'geofrey msemwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 29, 2015 8:53 AM
Subject: Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'

Bila shaka huyu mwandishi ni Mwanasheria wa Shetani, haiwezekani mwanasheria wa kweli mada zake iwe kutetea Ufisadi na Uvunjifu wa haki za binadamu. Hiyo sheria unayosoma haina component za haki za binadamu, utawala wa sheria na yanayoendena na hayo. Kama kweli we ni msomi wa sheria, kazi ipo. Inaonekana una mahaba sana na mafisadi.
--------------------------------------------
On Thu, 1/29/15, 'kokulibe@yahoo.com' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, January 29, 2015, 5:54 PM


Yaani kweli ukikosa HEKIM umekosa kitu
muhimu sana katika maisha.
Sent from my HTC Phone
----- Reply message -----
From: "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
Date: Thu, Jan 29, 2015 14:55
Allan.
Mimi nafikiri huyu anawakilisha haiba ya chuo. Ndivyo
kilivyo. Isingekuwa hivyo angeishaondolewa. Haiwezekani
wakawa hawajayaona haya anayoyawakilisha humu na haiwezeka
akawa na sura tofauti akiwa chuoni
--------------------------------------------
On Wed, 1/28/15, 'allanlawa@yahoo.co.uk' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

  Subject: Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI
MEN'
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, January 28, 2015, 11:06 PM
 
  Happiness tumia lugha yenye staha
  katika maandishi yako kwani unabeba haiba ya chuo kikuu cha
  Bagamoyo. Wewe ni mwanafunzi wa sheria na siyo msomi wa
  sheria. Huu ni ushauri wangu kwako utaheshimika kwa kujenga
  hoja na siyo kwa kutukana.
  Sent
  from Yahoo Mail on Android
             
                 
                     
 
                     
                         
                             
                             
                                  From:
                             
                              'lucas haule' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>;             

             
 
                             
                                  To:
                             
                             
  <wanabidii@googlegroups.com>;                       

                                                   
 
                             
                                  Subject:
                             
                              Re: [wanabidii] PROFESSA
LIPUMBA
  'UMEBUGI MEN'                           
 
                             
                                  Sent:
                             
                              Wed, Jan 28, 2015 11:26:58 AM 

                         
 
                         
                             
 
                              Maumivu ya kichwa huanza
  polepole.
  --------------------------------------------
  On Wed, 1/28/15, 'Happiness Katabazi'
  via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
 
  Subject: [wanabidii] PROFESSA
  LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
  To:
  "WANABIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, January 28, 2015, 2:24 PM
 
  PROFESSA LIPUMBA
  'UMEBUGI MEN'
 
  Na
  Happiness Katabazi
 
 
  JANUARI 27 Mwaka huu, jeshi la Polisi Mko wa Kipolisi
  Temeke, liliamua kutumia Nguvu kuwatawanya
  wafuasi
  wa Chama
  cha Wananchi (CUF) na kufanikiwa
  kumkamata Mwenyekiti wa
  Taifa wa Chama
  hicho Profesa Ibrahim  Lipumba na
  wenzake
  .
 
  Polisi walidai
  wamekiuka sheria za nchi ikiwemo Kutenda
 
  kosa  la kukaidi amri ya Jeshi Hilo iliyozuia
  wasiandamane.
 
  Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi ,
  ilisema CUF il
  iliandika barua ya kuomba
  Kibali cha kufanya maandamano na
  mkutano
  eneo la Mbagala Zakhem Jana lakini Jeshi Hilo
  lilikataa ombi Hilo na Kabla ya kufika siku ya
  Jana Jeshi
  Hilo lilikuwa limeishakipelekea
  Chama cha CUF, barua ya
  Jeshi Hilo
  inayozuia CUF isifanye maandamano Jana na CUF na
  Lipumba hadi Jana alikuwa hajawasilisha
  maandishi pingamizi
  la amri hiyo ya Jeshi
  la Polisi.
 
  Matokeo yake
  Profesa Lipumba na wafuasi wake Jana waliamua
  kutoka ofisini Kwao huku wakitembea  kwa
  miguu kwa
  kisingizio Kuwa wanaenda
  kuairisha mkutano huo.
 
 
  Lakini Wakati Lipumba na wenzake wakitumia mbinu hiyo ya
  kutoti waliyofikiti itawasaidia kuwapiga
  chenga ya mwili
  Polisi ,na CUF wakisahau
  Msemo usemao 'katika msafara wa
 
  Mamba,Kenge Pia wamo'.
 
  Jeshi la  Polisi kupitia 'mawashawasha
  wao' yaani
  makachero wao ,muda mrefu
  sana Kumbe walikuwa wameishaibini
  mbinu
  hiyo ya Lipumba na wafuasi wao ya kukaidi kiaina amri
  ya jeshi la Polisi iliyotaka CUF
  wasiandamane.
 
  Hiyo Polisi
  gani kwenye akili timamu angeshindwa kubaini
  hiyo mbinu ya CUF waliyoitumia
  Jana ilikuwa na Lengo la
  kukaidi amri ya
  Jeshi la Polisi iliyowataka za
 
  wasiandamane?
 
 
  Ndipo Jeshi la Polisi lipoutangazia umati ule
  wa CUF Kuwa
  watawanyike kwasababu
  wanachokifanya ni kinyume cha Sheria
  lakini
  baadhi ya wafuasi waliokaidi ndiyo Polisi waliamua
  kutumia mabomu ya Machozi na kuwaadhibu
  waliokaidi na Kisha
  Kumtia nguvu ni 
  Lipumba Ambaye ndiye alikuwa Kinara wa
 
  maandamano hayo haramu.
 
 
  Ieleweke wazi kuna taarifa Kuwa Lipumba anataka Kugombea
  Ubunge jimbo la Temeke kwasababu amechoka
  Kugombea nafasi ya
  urais ambayo
  ameishagombea zaidi ya Mara Tatu na amekuwa
 
  akishindwa.
 
  Kwa hiyo
  kumbukizi hiyo ya Mauji ya waliokuwa wanachama wa
  CUF kule
  Pemba ambayo alikuwa akiyaongoza Jana ,ilikuwa ni
  Karatasi ya kisiasa iliyokuwa imepangwa
  kutumiwa na Lipumba
  kuanza kujipitisha kwa
  wakazi wa Jimbo la Temeke lakini
  wajuzi wa
  mambo wamelibaini Hilo Mapema wanamcheka Ujinga.
 
  Wafuatiliaji wa siasa za
  nchi hii tunajiuliza  ni
  kwanini kabla ya
  mwaka Huu wa uchaguzi mkuu , Lipumba na CUF
 
  yake imekuwa haifanyi kumbukizi hiyo kwa Maandalizi
  makubwa
  kiasi hicho hadi Mwaka huu wa
  uchaguzi Mkuu wa 2015 ndiyo
  Lipumba na
  Chama Chake kiwe na kimuemue cha kufanya
 
  kumbukizi hiyo kwa Maandalizi kabambe?
 
  Kuna ajenda gani ya siri ya kumbukizi hii ya
  mauji ya
  Pemba.Yaani msiba utoke Pembe -
  Zanzibar halafu maandamano
  ya kumbukizi
  ikafanyiwe Mbagala - Dar es Salaam, wakati
 
  wakazi wa Mbagala siyo wafiwa wa Msiba wa kumbukizi hiyo
  ya
  Mauji ya Pemba?
 
  Watoto wa mjini tunasema Profesa Lipumba una
  Lako jambo na
  Si jingine ni unataka Ubunge
  wa Jimbo la Temeke. Lipumba
  Umebugi Men.
 
  Hao marehemu mnaowafanyia
  kumbukizi nao waliotuhumiwa
  kuwachinja
  Askari wa Jeshi la Polisi huko Zanzibar , Mbona
  CUF haifanyi kumbukizi ya kukumbuka Askari
  wale
  waliochinjwa?
 
    Kila siku wabunge Bungeni wanaomba Jeshi la
  polisi
  liongezewe fedha za kununulia
  vitendea kazi kama mabomu,
  silaha za
  kisasa, virungu, uniform Na Polisi waboreshewe
  mishahara na makazi Yao.
 
  Nauliza mnataka hivyo virungu Vya
  Polisi,mabomu ya Machozi
 
  yanayomilikiwa na Jeshi la Polisi  hayo mabomu ya
  Machozi yakatumike kufanyia Uvuvi haramu wa
  Samaki? Au hivyo
  virungu Vya Polisi mnataka
  Wapewe watu wa Kabila la Wamasai
  wakatumie
  virungu hivyo kuchungia Ng'ombe na Mbuzi?
 
  Virungu na Mabomu ya Machozi
  ni matumizi sahihi kwa watu
  wakorofi Kama
  Lipumba na wenzake .
 
  Cha
  Msingi hapa ni wananchi watii Sheria bila shuruti
  .Ukitii Sheria bila shuruti utakuwa umeepuka
  kupigwa virungu
  na mabomu ya
  machozi,mitama,nakozi na Matoke na kung'atwa na
  Mbwa wa Polisi.
 
  Binadamu wote ni sawa Mbele ya Sheria na Ibara
  ya 13(1) ya
  Katiba ya Jamhuri ya Muungano
  wa Tanzania ya Mwaka 1977 ,
  inasomeka HIvi;
  ' Watu wote ni sawa mbele ya Sheria  na
  wanayo haki , bila ya ubaguzi wowote
  ,kulindwa  na
  kupata haki sawa  Mbele ya
  Sheria'.
 
  Kwa Tafsiri
  nyepesi ya Ibara hiyo ,Jeshi la polisi
 
  limetekeleza matakwa ya ibara hiyo kwa kukukamata wewe na
  wenzako licha unayo madaraka makubwa na
  kukufikisha katika
  mkondo wa sheria
  kwasababu watu wote ni sawa mbele ya
 
  sheria.
 
  Kwani wasomi wa
  sheria tunaposema  Usawa mbele ya
  sheria 
  basi usawa huo auangalii umri wa ,elimu
 
  ,itikadi wala rangi kwani binadamu wote ni sawa mbele ya
  jicho la sheria.
 
  Nalipongeza Jeshi la Polisi chini ya IGP-
  Ernest Mangu kwa
  kuzinduka usingizini sasa
  kuanza kuwatia 'displine' viongozi
 
  wa juu wa vyama Vya siasa Kama Lipumba Jana
  mlivyomtia adabu
  .
 
  Nalipongeza sana mAana hawa viongozi wa juu wa
  baadhi ya
  vyama siasa ni Kama mashetani
  wamekuwa na tabia chafu ya
  kuwana na ajenda
  zao binafsi za kuleta Uvunjifu wa Amani
 
  nchini ambazo wafuasi wao Wengi hawazijui wanaamua
  kuwaunga
  mkono mwisho wa siku wafuasi wao
  Ndio wanaishia
  kushughulikiwa na Jeshi la
  Polisi.
 
  Rais wa
  Zimbambwe  Robert Mugabe na Rais wa Uganda
 
  ,Yoweri Mseveni  huwa hawataki kuendekeza viongozi wa
  aina hiyo, wanausalama wa majeshi hayo uwa
  wanaanza
  kuwashughulikia kwa vipigo
  vitakatifu Hao viongozi wa juu wa
  vyama Vya
  upinzani na viongozi wa juu wa Makundi mengine
  ambayo yanaamasisha wafausi Hao washiriki
  maandamano
  haramu.
 
  Tulimshuhudia Rais Mugabe alivyotoa adabu
  aliyekuwa kiongozi
  wa upinzani nchini
  Zimbabwe ,Tsvangirai na rais Mseveni
 
  alipomtia adabu Besige hadi Leo hii hao vinara wa
  Chokochoko
  wamefyata Mkia.
 
 
  Enzi za Utawala wa Rais Benjamin Mkapa
  wakati jeshila Polisi
  likiongozwa na IGP-
  Omar Mahita aliweza kudhibiti na
  kumaliza
  Nguvu za baadhi ya wanasiasa wa upinzani na
 
  wanaharakati uchwara waliokuwa hawana ajenda zenye
  mashiko
  waliokuwa wakikaidi amri ya Jeshi
  la Polisi .
 
 
  Mchana wa Leo ,Mbunge wa kuteuliwa James
  Mbatia aliliomba
  Bunge liairishwe ili
  waweze kujadili hoja ya kwanini Jeshi
  la
  Polisi limempatia ' mkong'oto heavy ' Lipumba
  Jana Kwani
  eti Lipumba ni kiongozi
  mkubwa,watoto na
  waandishi wa Habari
  walioumizwa Jana.
 
  Spika Anne Makinda akitumia
  mamlaka yake na Kusema ametumia
  madaraka
  yake kuimuru serikali Kesho ije kujieleza bungeni
  kuhusu tukio Hilo.
 
  Wakati Makinda akitoa agizo Hilo, baadhi ya
  wabunge 
  kwakweli mi nadiriki kuwaita ni
  wendawazimu na ambao hawana
  nidhamu wala
  staha,waliinuka na kuanza kupinga agizo Hilo la
  Makinda tena bila kutoa kipengele gani
  kinawaruhusu kufanya
  hivyo hali
  iliyosababisha zogo Kuzuka bungeni utafikiri watu
  wapo Sokoni.
 
  Jamani, Kama Bunge la Tanzania ambalo wabunge
  wake ndiyo
  watunga Sheria na Ndio baadhi
  Yao wanakuwa wakwanza
  kutoheshimu na kutii
  maagizo ya kiongozi wao yaani Spika,
  HIvi
  tunaweza Kusema
  tunawatunga Sheria kweli ?
 
  Nikisema kuna baadhi ya wabunge wa upinzani ni
  wendawazimu
  nitakuwa nakosa?Nidhamu na
  busara kwa wabunge Hao wa
  upinzani Iko
  wapi? Eti hawa ndiyo Watanzania turuhusu vyama
  Vya upinzani kiongozi taifa hili kwa tabia
  Kama hizi za
  kiuwenda wazi?haiwezekani.
 
  Mbatia aliyoyasema Leo
  Bungeni HIvi haramu Mbele ya
  Wanasheria wa
  namuona ni Mtu wa ajabu sana?
 
  Maana Kifungu cha 8 cha Sheria ya Kanuni ya
  Adhabu ya Mwaka
  2002, inasema kutofahaumu
  Sheria siyo kinga yakutoadhibiwa.
 
  Mbatia haelewi Sheria na Huyo Lipumba
  hawaelewi Sheria hivyo
  ndiyo mAana
  wanafikiri hawawezi kufadhiliwa.Mnajidanganya.
  Mbatia Leo bungeni Kasema eti waliwahi
  kuzungumza na Rais wa
  Nchi wakasema eti
  viongozi wa juu nawatapigwa?
 
  HIvi rais wa nchi, IGP ni Sheria?Rais wa nchi,
  IGP wote
  Taasisi zao zimeanzishwa kwa
  mujibu wa Sheria na wanatakiwa
  wafanyakazi
  zao kwa mujibu wa Sheria.Kama kweli mlikubaliana
  hiyo basi waliamua kuwageuza viongozi wa
  upinzani
  'Mambululala' kwasababu
  hamfahamu Sheria na Nyie kwa Ujinga
  wenu
  mkakubaliana.
 
  Mbatia acha
  Sheria Ufuate mkono wake , Mbona Halima Mdee,
  Sheikh Ponda Issa Ponda walivyoamua tea na
  kufikishwa
  mahakamani Mbona hatukukona
  ukisimama bungeni kuomba Bunge
  liarishwe
  ili Mjadili kwanini Mdee ,Ponda wamepigwa na
  kufikishwa mahakamani?
 
  Na kwa taarifa yenu Nyie wabunge ambao
  mmezusha zogo Bunge
  Leo kwa
  Shinikizo la kutaka ombi la Mbatia la kujadili
  kipigo kwa Lipumba lijadiliwe Leo, kwa taarifa
  yenu sisi
  wasomi wa Sheria tunasema imekula
  kwenu, Kwani Tayari
  Mkurugenzi wa Mashitaka
  (DPP), Biswalo Mganga
  kaishamwandilisha
  hati Mashitaka Lipumba na atafikishwa
 
  mchana huu Katika Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam .
 
  Na akishasomewa Mashitaka ya
  nayomkabili ndiyo basi tena
  Bunge linakuwa
  limefungwa mikono kujadili Kesi iliyopo
 
  mahakamani. Kwa Tafsiri nyepesi  Nyie wabunge
  'wendawazimu' mliozusha zogo Leo
  Bungeni mmejiaribia wenyewe
  .
 
  Mlijiona mnaakili sana
  kuliko Spika Makinda.Mnamzarau
  kwasababu ni
  mwanamke? Sasa mjanja nani Kati ya Nyie wabunge
  'machizi' na Makinga?Mjanja ni Makinda
  na
  Jeshi la Polisi na
  Ofisi ya DPP.
 
  Kama mnampenda sana Lipumba
  jichangisheni Fedha
  kumuwekee  Mawakili
  wazuri au pandeni  Ndege
  nendeni
  makamuwekee dhamana Katika Mahakama ya Kisutu.
 
  Nashauri Kanuni na sheria ya
  Bunge ifanyiwe mabadiliko
  ambayo
  yataingizwa kipengele cha kuruhusu matumizi ya
  virungu na mabomo ya machozi  yatumike ndani
  ya bunge
  pindi wabunge wakorofi wanapozusha
  ukorofi ndani ya bunge n
  kusababisha muda
  wa bunge kuairishwa kwasababu ya vuugu
 
  hizo.
 
  Tumeishabaini
  Sababu ya wewe Lipumba kuamisha  msiba wa
 
  Pemba Kuja Mbagala ni kwasababu  wewe Lipumba
  umeanza  kampeni za Ubunge jimbo la Temeke
  Kama
  mlivyokubalana na viongozi wenzio wa
  UKAWA katika
  vikao
  vyenu vya siri  kuwa nyie viongozi
  wa juu wa vyama
  vinavyounda UKAWA  mgawane
  majimbo yaani mkagombee
  ubunge badala ya
  urais kwani tayari mmeishaona nafasi ya
 
  urais hampati.Hilo limejulikana.
 
  Profesa Lipumna Kama una huruma na Marehemu 
  wale
  siungeenda Pemba ukawakusanya wafiwa
  Ukawapikia  Pilau
  na Biliani na Tende na
  Haruwa ungewapatia na ungeita na
  viongozi
  wa dini na Kisomo mngewasomea marehemu wale.
 
  Fanya Kama Mwenyekiti wa
  Makampuni  ya IPP, Reginal
  Mengi yeye
  anawaonea huruma Maalbino,walemavu wa viungo
  hivyo kila Mwaka amenitengea siku Moja
  kuwaandalia Mlo wa
  Mchana anakula nao na
  kuwasaidia.
 
  Lipumba Janja
  yako ya kutaka Ubunge jimbo la Temeke
 
  imejulikana, na siyo kosa kisheria kutaka Kugombea jimbo
  ila
  kosa ni kukaidi amri Hali za mamlaka
  husika.Usitumie
  Kumbukumbu za misiba ya
  watu kujifanyia kampeni katika jimbo
  ka
  Temeke, mizimu ya marehemu Hao itakusurubu. Lipumba
  umebugi  Men.
 
  Chanzo: Happy Katabazi
  Blog:
  www.katabazihappy.blogspot.com
  Januari 28
  Mwaka 2015.
  0716 774494
 
 
 
  Sent from my iPad
 
  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
  responsibility
  for any legal consequences
  of his or her postings, and hence
 
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
  to this
  disclaimer and pledge to abide by
  our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message because you are
  subscribed to the
  Google Groups
  "Wanabidii" group.
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
  https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
  Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
  Everyone posting to
  this Forum bears the sole responsibility for any legal
  consequences of his or her postings, and hence statements
  and facts must be presented responsibly. Your continued
  membership signifies that you agree to this disclaimer and
  pledge to abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message
  because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.
  To unsubscribe from this group and stop
  receiving emails from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
                     
                 
             
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings, and
hence
  statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment