Thursday 29 January 2015

Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'

Inasemwa, wajenga kichuguu ni mchwa. Na kila kichuguu kina mchwa wake ; hutoona mchwa kamwe kapotea kichuguu, maana huo ndo utakuwa mwisho wake.

On Thursday, 29 January 2015 12:55:43 UTC+1, ELISA MUHINGO wrote:
Allan.
Mimi nafikiri huyu anawakilisha haiba ya chuo. Ndivyo kilivyo. Isingekuwa hivyo angeishaondolewa. Haiwezekani wakawa hawajayaona haya anayoyawakilisha humu na haiwezeka akawa na sura tofauti akiwa chuoni
--------------------------------------------
On Wed, 1/28/15, 'alla...@yahoo.co.uk' via Wanabidii <wana...@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
 To: "wana...@googlegroups.com" <wana...@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, January 28, 2015, 11:06 PM
 
 Happiness tumia lugha yenye staha
 katika maandishi yako kwani unabeba haiba ya chuo kikuu cha
 Bagamoyo. Wewe ni mwanafunzi wa sheria na siyo msomi wa
 sheria. Huu ni ushauri wangu kwako utaheshimika kwa kujenga
 hoja na siyo kwa kutukana.
 Sent
 from Yahoo Mail on Android
             
                 
                     
 
                     
                         
                             
                             
                                 From:
                             
                             'lucas haule' via
 Wanabidii <wana...@googlegroups.com>;              
             
 
                             
                                 To:
                             
                             
 <wana...@googlegroups.com>;                        
                                                   
 
                             
                                 Subject:
                             
                             Re: [wanabidii] PROFESSA LIPUMBA
 'UMEBUGI MEN'                            
 
                             
                                 Sent:
                             
                             Wed, Jan 28, 2015 11:26:58 AM  
                         
 
                         
                             
 
                             Maumivu ya kichwa huanza
 polepole.
 --------------------------------------------
 On Wed, 1/28/15, 'Happiness Katabazi'
 via Wanabidii <wana...@googlegroups.com> wrote:
 
  Subject: [wanabidii] PROFESSA
 LIPUMBA 'UMEBUGI MEN'
  To:
 "WANABIDII" <wana...@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, January 28, 2015, 2:24 PM
 
  PROFESSA LIPUMBA
 'UMEBUGI MEN'
 
  Na
 Happiness Katabazi
 
 
 JANUARI 27 Mwaka huu, jeshi la Polisi Mko wa Kipolisi
  Temeke, liliamua kutumia Nguvu kuwatawanya
 wafuasi
  wa Chama
  cha Wananchi (CUF) na kufanikiwa
 kumkamata Mwenyekiti wa
  Taifa wa Chama
 hicho Profesa Ibrahim  Lipumba na
  wenzake
 .
 
  Polisi walidai
 wamekiuka sheria za nchi ikiwemo Kutenda
 
 kosa  la kukaidi amri ya Jeshi Hilo iliyozuia
  wasiandamane.
 
  Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi ,
 ilisema CUF il
  iliandika barua ya kuomba
 Kibali cha kufanya maandamano na
  mkutano
 eneo la Mbagala Zakhem Jana lakini Jeshi Hilo
  lilikataa ombi Hilo na Kabla ya kufika siku ya
 Jana Jeshi
  Hilo lilikuwa limeishakipelekea
 Chama cha CUF, barua ya
  Jeshi Hilo
 inayozuia CUF isifanye maandamano Jana na CUF na
  Lipumba hadi Jana alikuwa hajawasilisha
 maandishi pingamizi
  la amri hiyo ya Jeshi
 la Polisi.
 
  Matokeo yake
 Profesa Lipumba na wafuasi wake Jana waliamua
  kutoka ofisini Kwao huku wakitembea  kwa
 miguu kwa
  kisingizio Kuwa wanaenda
 kuairisha mkutano huo.
 
 
 Lakini Wakati Lipumba na wenzake wakitumia mbinu hiyo ya
  kutoti waliyofikiti itawasaidia kuwapiga
 chenga ya mwili
  Polisi ,na CUF wakisahau
 Msemo usemao 'katika msafara wa
 
 Mamba,Kenge Pia wamo'.
 
  Jeshi la  Polisi kupitia 'mawashawasha
 wao' yaani
  makachero wao ,muda mrefu
 sana Kumbe walikuwa wameishaibini
  mbinu
 hiyo ya Lipumba na wafuasi wao ya kukaidi kiaina amri
  ya jeshi la Polisi iliyotaka CUF
 wasiandamane.
 
  Hiyo Polisi
 gani kwenye akili timamu angeshindwa kubaini
  hiyo mbinu ya CUF waliyoitumia
  Jana ilikuwa na Lengo la
  kukaidi amri ya
 Jeshi la Polisi iliyowataka za
 
 wasiandamane?
 
 
  Ndipo Jeshi la Polisi lipoutangazia umati ule
 wa CUF Kuwa
  watawanyike kwasababu
 wanachokifanya ni kinyume cha Sheria
  lakini
 baadhi ya wafuasi waliokaidi ndiyo Polisi waliamua
  kutumia mabomu ya Machozi na kuwaadhibu
 waliokaidi na Kisha
  Kumtia nguvu ni 
 Lipumba Ambaye ndiye alikuwa Kinara wa
 
 maandamano hayo haramu.
 
 
 Ieleweke wazi kuna taarifa Kuwa Lipumba anataka Kugombea
  Ubunge jimbo la Temeke kwasababu amechoka
 Kugombea nafasi ya
  urais ambayo
 ameishagombea zaidi ya Mara Tatu na amekuwa
 
 akishindwa.
 
  Kwa hiyo
 kumbukizi hiyo ya Mauji ya waliokuwa wanachama wa
  CUF kule
  Pemba ambayo alikuwa akiyaongoza Jana ,ilikuwa ni
  Karatasi ya kisiasa iliyokuwa imepangwa
 kutumiwa na Lipumba
  kuanza kujipitisha kwa
 wakazi wa Jimbo la Temeke lakini
  wajuzi wa
 mambo wamelibaini Hilo Mapema wanamcheka Ujinga.
 
  Wafuatiliaji wa siasa za
 nchi hii tunajiuliza  ni
  kwanini kabla ya
 mwaka Huu wa uchaguzi mkuu , Lipumba na CUF
 
 yake imekuwa haifanyi kumbukizi hiyo kwa Maandalizi
 makubwa
  kiasi hicho hadi Mwaka huu wa
 uchaguzi Mkuu wa 2015 ndiyo
  Lipumba na
 Chama Chake kiwe na kimuemue cha kufanya
 
 kumbukizi hiyo kwa Maandalizi kabambe?
 
  Kuna ajenda gani ya siri ya kumbukizi hii ya
 mauji ya
  Pemba.Yaani msiba utoke Pembe -
 Zanzibar halafu maandamano
  ya kumbukizi
 ikafanyiwe Mbagala - Dar es Salaam, wakati
 
 wakazi wa Mbagala siyo wafiwa wa Msiba wa kumbukizi hiyo
 ya
  Mauji ya Pemba?
 
  Watoto wa mjini tunasema Profesa Lipumba una
 Lako jambo na
  Si jingine ni unataka Ubunge
 wa Jimbo la Temeke. Lipumba
  Umebugi Men.
 
  Hao marehemu mnaowafanyia
 kumbukizi nao waliotuhumiwa
  kuwachinja
 Askari wa Jeshi la Polisi huko Zanzibar , Mbona
  CUF haifanyi kumbukizi ya kukumbuka Askari
 wale
  waliochinjwa?
 
   Kila siku wabunge Bungeni wanaomba Jeshi la
 polisi
  liongezewe fedha za kununulia
 vitendea kazi kama mabomu,
  silaha za
 kisasa, virungu, uniform Na Polisi waboreshewe
  mishahara na makazi Yao.
 
  Nauliza mnataka hivyo virungu Vya
 Polisi,mabomu ya Machozi
 
  yanayomilikiwa na Jeshi la Polisi  hayo mabomu ya
  Machozi yakatumike kufanyia Uvuvi haramu wa
 Samaki? Au hivyo
  virungu Vya Polisi mnataka
 Wapewe watu wa Kabila la Wamasai
  wakatumie
 virungu hivyo kuchungia Ng'ombe na Mbuzi?
 
  Virungu na Mabomu ya Machozi
 ni matumizi sahihi kwa watu
  wakorofi Kama
 Lipumba na wenzake .
 
  Cha
 Msingi hapa ni wananchi watii Sheria bila shuruti
  .Ukitii Sheria bila shuruti utakuwa umeepuka
 kupigwa virungu
  na mabomu ya
 machozi,mitama,nakozi na Matoke na kung'atwa na
  Mbwa wa Polisi.
 
  Binadamu wote ni sawa Mbele ya Sheria na Ibara
 ya 13(1) ya
  Katiba ya Jamhuri ya Muungano
 wa Tanzania ya Mwaka 1977 ,
  inasomeka HIvi;
 ' Watu wote ni sawa mbele ya Sheria  na
  wanayo haki , bila ya ubaguzi wowote
 ,kulindwa  na
  kupata haki sawa  Mbele ya
 Sheria'.
 
  Kwa Tafsiri
 nyepesi ya Ibara hiyo ,Jeshi la polisi
 
 limetekeleza matakwa ya ibara hiyo kwa kukukamata wewe na
  wenzako licha unayo madaraka makubwa na
 kukufikisha katika
  mkondo wa sheria
 kwasababu watu wote ni sawa mbele ya
 
 sheria.
 
  Kwani wasomi wa
 sheria tunaposema  Usawa mbele ya
  sheria 
 basi usawa huo auangalii umri wa ,elimu
 
 ,itikadi wala rangi kwani binadamu wote ni sawa mbele ya
  jicho la sheria.
 
  Nalipongeza Jeshi la Polisi chini ya IGP-
 Ernest Mangu kwa
  kuzinduka usingizini sasa
 kuanza kuwatia 'displine' viongozi
 
 wa juu wa vyama Vya siasa Kama Lipumba Jana
  mlivyomtia adabu
  .
 
  Nalipongeza sana mAana hawa viongozi wa juu wa
 baadhi ya
  vyama siasa ni Kama mashetani
 wamekuwa na tabia chafu ya
  kuwana na ajenda
 zao binafsi za kuleta Uvunjifu wa Amani
 
 nchini ambazo wafuasi wao Wengi hawazijui wanaamua
 kuwaunga
  mkono mwisho wa siku wafuasi wao
 Ndio wanaishia
  kushughulikiwa na Jeshi la
 Polisi.
 
  Rais wa
 Zimbambwe  Robert Mugabe na Rais wa Uganda
 
 ,Yoweri Mseveni  huwa hawataki kuendekeza viongozi wa
  aina hiyo, wanausalama wa majeshi hayo uwa
 wanaanza
  kuwashughulikia kwa vipigo
 vitakatifu Hao viongozi wa juu wa
  vyama Vya
 upinzani na viongozi wa juu wa Makundi mengine
  ambayo yanaamasisha wafausi Hao washiriki
 maandamano
  haramu.
 
  Tulimshuhudia Rais Mugabe alivyotoa adabu
 aliyekuwa kiongozi
  wa upinzani nchini
 Zimbabwe ,Tsvangirai na rais Mseveni
 
 alipomtia adabu Besige hadi Leo hii hao vinara wa
 Chokochoko
  wamefyata Mkia.
 
 
  Enzi za Utawala wa Rais Benjamin Mkapa
 wakati jeshila Polisi
  likiongozwa na IGP-
 Omar Mahita aliweza kudhibiti na
  kumaliza
 Nguvu za baadhi ya wanasiasa wa upinzani na
 
 wanaharakati uchwara waliokuwa hawana ajenda zenye
 mashiko
  waliokuwa wakikaidi amri ya Jeshi
 la Polisi .
 
 
  Mchana wa Leo ,Mbunge wa kuteuliwa James
 Mbatia aliliomba
  Bunge liairishwe ili
 waweze kujadili hoja ya kwanini Jeshi
  la
 Polisi limempatia ' mkong'oto heavy ' Lipumba
 Jana Kwani
  eti Lipumba ni kiongozi
 mkubwa,watoto na
  waandishi wa Habari
  walioumizwa Jana.
 
  Spika Anne Makinda akitumia
 mamlaka yake na Kusema ametumia
  madaraka
 yake kuimuru serikali Kesho ije kujieleza bungeni
  kuhusu tukio Hilo.
 
  Wakati Makinda akitoa agizo Hilo, baadhi ya
 wabunge 
  kwakweli mi nadiriki kuwaita ni
 wendawazimu na ambao hawana
  nidhamu wala
 staha,waliinuka na kuanza kupinga agizo Hilo la
  Makinda tena bila kutoa kipengele gani
 kinawaruhusu kufanya
  hivyo hali
 iliyosababisha zogo Kuzuka bungeni utafikiri watu
  wapo Sokoni.
 
  Jamani, Kama Bunge la Tanzania ambalo wabunge
 wake ndiyo
  watunga Sheria na Ndio baadhi
 Yao wanakuwa wakwanza
  kutoheshimu na kutii
 maagizo ya kiongozi wao yaani Spika,
  HIvi
 tunaweza Kusema
  tunawatunga Sheria kweli ?
 
  Nikisema kuna baadhi ya wabunge wa upinzani ni
 wendawazimu
  nitakuwa nakosa?Nidhamu na
 busara kwa wabunge Hao wa
  upinzani Iko
 wapi? Eti hawa ndiyo Watanzania turuhusu vyama
  Vya upinzani kiongozi taifa hili kwa tabia
 Kama hizi za
  kiuwenda wazi?haiwezekani.
 
  Mbatia aliyoyasema Leo
 Bungeni HIvi haramu Mbele ya
  Wanasheria wa
 namuona ni Mtu wa ajabu sana?
 
  Maana Kifungu cha 8 cha Sheria ya Kanuni ya
 Adhabu ya Mwaka
  2002, inasema kutofahaumu
 Sheria siyo kinga yakutoadhibiwa.
 
  Mbatia haelewi Sheria na Huyo Lipumba
 hawaelewi Sheria hivyo
  ndiyo mAana
 wanafikiri hawawezi kufadhiliwa.Mnajidanganya.
  Mbatia Leo bungeni Kasema eti waliwahi
 kuzungumza na Rais wa
  Nchi wakasema eti
 viongozi wa juu nawatapigwa?
 
  HIvi rais wa nchi, IGP ni Sheria?Rais wa nchi,
 IGP wote
  Taasisi zao zimeanzishwa kwa
 mujibu wa Sheria na wanatakiwa
  wafanyakazi
 zao kwa mujibu wa Sheria.Kama kweli mlikubaliana
  hiyo basi waliamua kuwageuza viongozi wa
 upinzani
  'Mambululala' kwasababu
 hamfahamu Sheria na Nyie kwa Ujinga
  wenu
 mkakubaliana.
 
  Mbatia acha
 Sheria Ufuate mkono wake , Mbona Halima Mdee,
  Sheikh Ponda Issa Ponda walivyoamua tea na
 kufikishwa
  mahakamani Mbona hatukukona
 ukisimama bungeni kuomba Bunge
  liarishwe
 ili Mjadili kwanini Mdee ,Ponda wamepigwa na
  kufikishwa mahakamani?
 
  Na kwa taarifa yenu Nyie wabunge ambao
 mmezusha zogo Bunge
  Leo kwa
  Shinikizo la kutaka ombi la Mbatia la kujadili
  kipigo kwa Lipumba lijadiliwe Leo, kwa taarifa
 yenu sisi
  wasomi wa Sheria tunasema imekula
 kwenu, Kwani Tayari
  Mkurugenzi wa Mashitaka
 (DPP), Biswalo Mganga
  kaishamwandilisha
 hati Mashitaka Lipumba na atafikishwa
 
 mchana huu Katika Mahakama ya Kisutu Dar es Salaam .
 
  Na akishasomewa Mashitaka ya
 nayomkabili ndiyo basi tena
  Bunge linakuwa
 limefungwa mikono kujadili Kesi iliyopo
 
 mahakamani. Kwa Tafsiri nyepesi  Nyie wabunge
  'wendawazimu' mliozusha zogo Leo
 Bungeni mmejiaribia wenyewe
  .
 
  Mlijiona mnaakili sana
 kuliko Spika Makinda.Mnamzarau
  kwasababu ni
 mwanamke? Sasa mjanja nani Kati ya Nyie wabunge
  'machizi' na Makinga?Mjanja ni Makinda
 na
  Jeshi la Polisi na
  Ofisi ya DPP.
 
  Kama mnampenda sana Lipumba
 jichangisheni Fedha
  kumuwekee  Mawakili
 wazuri au pandeni  Ndege
  nendeni
 makamuwekee dhamana Katika Mahakama ya Kisutu.
 
  Nashauri Kanuni na sheria ya
 Bunge ifanyiwe mabadiliko
  ambayo
 yataingizwa kipengele cha kuruhusu matumizi ya
  virungu na mabomo ya machozi  yatumike ndani
 ya bunge
  pindi wabunge wakorofi wanapozusha
 ukorofi ndani ya bunge n
  kusababisha muda
 wa bunge kuairishwa kwasababu ya vuugu
 
 hizo.
 
  Tumeishabaini
 Sababu ya wewe Lipumba kuamisha  msiba wa
 
 Pemba Kuja Mbagala ni kwasababu  wewe Lipumba
  umeanza  kampeni za Ubunge jimbo la Temeke
 Kama
  mlivyokubalana na viongozi wenzio wa
 UKAWA katika
  vikao
  vyenu vya siri  kuwa nyie viongozi
 wa juu wa vyama
  vinavyounda UKAWA  mgawane
 majimbo yaani mkagombee
  ubunge badala ya
 urais kwani tayari mmeishaona nafasi ya
 
 urais hampati.Hilo limejulikana.
 
  Profesa Lipumna Kama una huruma na Marehemu 
 wale
  siungeenda Pemba ukawakusanya wafiwa
 Ukawapikia  Pilau
  na Biliani na Tende na
 Haruwa ungewapatia na ungeita na
  viongozi
 wa dini na Kisomo mngewasomea marehemu wale.
 
  Fanya Kama Mwenyekiti wa
 Makampuni  ya IPP, Reginal
  Mengi yeye
 anawaonea huruma Maalbino,walemavu wa viungo
  hivyo kila Mwaka amenitengea siku Moja
 kuwaandalia Mlo wa
  Mchana anakula nao na
 kuwasaidia.
 
  Lipumba Janja
 yako ya kutaka Ubunge jimbo la Temeke
 
  imejulikana, na siyo kosa kisheria kutaka Kugombea jimbo
 ila
  kosa ni kukaidi amri Hali za mamlaka
 husika.Usitumie
  Kumbukumbu za misiba ya
 watu kujifanyia kampeni katika jimbo
  ka
 Temeke, mizimu ya marehemu Hao itakusurubu. Lipumba
  umebugi  Men.
 
  Chanzo: Happy Katabazi
  Blog:
 www.katabazihappy.blogspot.com
  Januari 28
 Mwaka 2015.
  0716 774494
 
 
 
  Sent from my iPad
 
  --
  Send
 Emails to wana...@googlegroups.com
 
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
  wanabidii+...@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence
 
 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message because you are
 subscribed to the
  Google Groups
 "Wanabidii" group.
  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails
 
 from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
  For more options, visit
 
  https://groups.google.com/d/optout.
 
 --
 Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+...@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 To unsubscribe from this group and stop
 receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
 For more options, visit
 https://groups.google.com/d/optout.
                     
                 
             
 
 
 
 --
 
 Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
  
 
 Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 wanabidii+...@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma
 
  
 
 Disclaimer:
 
 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.
 
 ---
 
 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
 
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment