Wednesday 26 June 2013

Re: [wanabidii] WANAFUNZI WALIOSOMA SHULE ZA KATA MPAKA VYUO VIKUU WATOA SHUKRANI ZAO KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA

Yaani wapuuzi wanaosema kuwa shule hazina vifaa? wapuuzi wanosema shule hazina walimu, na wakiwepo hawana ari ya kufundisha?
Ama kweli kuku si namba ya miaka, ila upanuzi wa fikra.
Kwenye vijiji fulani wakati wa miaka ya nyuma, kila mtoto ukimuuliza unataka kuwa nani ukikua, anakwambia padre, watu wazima wakazani watoto wao wanamiito ya kuwa mapadre. nenda leo kaulize kanisa katoliki linauhaba wa nini? Mapadre, wale waliokuwa wanautaka zamani ni kwasababu kijiji kizima au wilaya nzima, aliyekuwa anavaa vizuri ni parde, gari au pikipiki ni padre, mwenye moyo wa huruma ni parde.
Lbda mapochopocho waliyowekewa walipoenda kumtembelea yamefanya midomo ipinde.
Muda njoo ukweli na uje.
--------------------------------------------
On Wed, 6/26/13, richard bahati <ribahati@gmail.com> wrote:

Subject: [wanabidii] WANAFUNZI WALIOSOMA SHULE ZA KATA MPAKA VYUO VIKUU WATOA SHUKRANI ZAO KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASSA
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, June 26, 2013, 2:00 AM


Wanafunzi
wa Chuo Kikuu cha DODOMA, maarufu kama UDOM, ambao walifika
hapo
wakitokea zile shule za makabwela (Shule za Kata), wamemtaka
Mbunge wa
Monduli na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowasa, achukue fomu
za kugombea
urais 2015 muda
utakapowadia.















Pia
wameahidi kujichangisha fedha kwa ajili ya malipo ya fomu
hizo endapo
italazimika....................

http://goldentz.blogspot.com/2013/06/wanafunzi-waliosoma-shule-za-kata-mpaka.html





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

 

 



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment