Mkitaka muamini kwamba Mwigulu na CCM yake, wakisaidiana na polisi (POLICCM), alihusika katika huu ugaidi, someni hiyo link (kwa wale ambao bado hamjasoma Mwananchi la leo).
Katika habari hii kuna taarifa zenye utata kama hizi:
1. Taarifa zilidai kuwa kuna mtu alionekana akirusha kitu kinachodaiwa bomu kwenye eneo la jukwaa karibu na gari la matangazo la chama hicho, lakini alipokuwa akifuatiliwa baada ya kutokea mlipuko huo, polisi nao walianza kuwakudhibiti watu kwa kulipua mabomu ya kutoa machozi na kupiga risasi za moto hali iliyozidisha taharuki.
From: steven aloys <stevenaloys05@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, June 17, 2013 3:47 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: BOMU LA ARUSHA. MWIGULU NCHEMBA
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Katika habari hii kuna taarifa zenye utata kama hizi:
1. Taarifa zilidai kuwa kuna mtu alionekana akirusha kitu kinachodaiwa bomu kwenye eneo la jukwaa karibu na gari la matangazo la chama hicho, lakini alipokuwa akifuatiliwa baada ya kutokea mlipuko huo, polisi nao walianza kuwakudhibiti watu kwa kulipua mabomu ya kutoa machozi na kupiga risasi za moto hali iliyozidisha taharuki.
2. Hali hiyo ilifanya barabara zote za mji wa Arusha kujaa watu waliokuwa wakikimbia ovyo.
Tukumbuke kwamba sasa hivi ni high season na tunatarajia watalii wengi kutoka nje kuja kutalii hapa nchini. Kwa matukio haya ya milipuko ya mara kwa mara ktk nchi hii, tutarajie kutopata watalii wa kutosha na hivyo kupoteza mapato ya serikali kwa sababu za kipumbavu za watu ambao wanatumia ghasia kuendelea kukaa madarakani. Tafakari, chukua hatua!
Hali hiyo ya watu kukimbia ovyo kuliwafanya askari polisi wengi kuingia mitaani kudhibiti watu na hivyo nao kulazimika kutumia mabomu ya machozi hali ambayo ilizidisha taharuki.
MASWALI YA KUJIULIZA KUFUATIA TAARIFA HIZI TATA:
1. Kwanini polisi waliwazuia wananchi wasimfukuze muuaji kwa kuwapiga mabomu na risasi za moto badala ya kusaidaiana nao (wananchi) kumfukuza na kumkamata?
2. Kulikuwa na haja gani polisi kupiga mabomu na risasi za moto eti KUWADHIBITI watu waliotaharuki ambao walikuwa wanakimbia ovyo kuepuka hatari iliyotokea? Yaani badala ya kuwatuliza na kuwalinda wananchi, wao (polisi) wanawapiga kwa risasi za moto na mabomu? Hivi hawa polisi wetu wanafikiri kwa kutumia masaburi au vichwa vyao vimejaa konokono? Hapa kuna jambo nyuma ya pazia. Vituko hivi vya polisi vinaonyesha kabisa kwamba kulikuwa na mtu (CCM) nyuma yao, sio bure!
NYUMA YA PAZIA:
Kuna taarifa zinadai kwamba yule gaidi aliyerusha bomu alikimbia na kuingia kwenye gari la polisi ambao walimtorosha haraka kutoka eneo la tukio. Ndio maana baada ya kuona wananchi wanamkimbiza, wakaanza kuwadhibiti kwa kuwapiga mabomu ili wasifanikiwe kumkamata "shujaa" wao na kumuua kwa hasira. Hapa iko namna. Kuna siri nzito ya kisiasa imejificha nyuma ya tukio zima.
MADHARA KWA UCHUMI WA ARUSHA NA TANZANIA:
From: steven aloys <stevenaloys05@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, June 17, 2013 3:47 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: BOMU LA ARUSHA. MWIGULU NCHEMBA
kama kweli mwigula nchemba kafanya hivyo au kashiriki kufanya kitendo hicho na mimi nakuunga mkono kuwa alaniwe yeye na uzao wake wote.
From: godfred mbanyi <mbanyibg@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, June 17, 2013 2:39 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: BOMU LA ARUSHA. MWIGULU NCHEMBA
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, June 17, 2013 2:39 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: BOMU LA ARUSHA. MWIGULU NCHEMBA
----- Forwarded Message -----
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
OMG!!! Siamini kama inaweza kuwa kweli! Na kama ni kweli, Mungu atafanya kitu! Hata huyo kibaka ambaye angeuawa, ni mwanadamu aliyeumbwa na Mwenyezi Mungu. Hivyo kumuua,ni kutenda dhambi mbele za Mungu!! Lakini, yote haya ya nini??? Madaraka ya dunia?? Mungu tusaidie!! --- On Mon, 6/17/13, Matthew Mdidi <matthew.mdidi@yahoo.com> wrote:
|
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment