Tuesday 25 June 2013

Re: [wanabidii] Maulid Kitenge kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CCM


Kwa hiyo Kitenge keshashinda kura za maoni ndan ya CCM au tunaota tu?

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tue, 25 Jun 2013 06:24:16 -0700 (PDT)
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Maulid Kitenge kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CCM

Wenye uamuzi wa mwisho ni sisi wapiga kura wa Ubungo ambao hatutabiriki mimi namwambia Mnyika kama rafiki tu abadilishe hali ya ubungo kwa kipindi hiki kidogo kilichobaki tukiendelea kuwa hivi hivi nakwambia ataondoka kama maji mchangani .

Kama asipotengeneza mazingira mazuri ya watu kuendelea kuishi ubungo basi hatutampa kura tena mwaka 2015 

On Tuesday, June 25, 2013 3:32:40 PM UTC+3, MaryGlady Heri wrote:
sidhani na nilisema mwanzo kumtoa mnyika ubungo unahitaji bulldozer kama 30 hivi sasa sijui kitenge anazo????


On Tue, Jun 25, 2013 at 2:36 PM, Juma Mzuri <juma...@gmail.com> wrote:
Mtangazaji maarufu wa kipindi cha michezo na taarifa ya habari ITV na Radio One, Kitenge Maulid Kitenge kwa kupitia mtandao wa Instagram na Twitter ametangaza kugombea ubunge jimbo la Ubungo kwa tiketi ya CCM.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment