Sunday 2 June 2013

Re: [wanabidii] KONGAMANO LA WAISILAMU JIJINI DAR, Sheikh Ponda aunguruma, Awasihi waisilamu kuwa na umoja, Nuru inakaribia.

Ukifuatilia typology ya kueneza uislam katika pwani ya Afrika mashariki utagundua kwamba kulikuwa na tatizo lililofanywa na waarabu katika mikakati ya kueneza uislam.  Walipokuja wamissionari wakawa na mikakati iliyoziangalia jamii za kiafrika na kuweza kujipatia wafuasi kiulaini. Kama ni shule waarabu ndo wa kwanza kuzianzisha hapa kwetu lakini zilishindwa kuimarika kama za wenzao ambao waliokuja baadaye.

Wawe waarabu au wazungu hakuna aliyekuja na lengo moja tu la kueneza dini kama dini, walikuja na lengo jingine ambalo ni uchumi. Tatizo watu wengi tunalibeba tatizo hilo la kihistoria na kuliingiza katika jamii ya kizazi kingine kwa namna tunavyotaka liwe badala ya kuangalia ualisia tangu zilipoletwa kwetu. Ni vyema watu wakaisoma historia vizuri tangu mwanzo wa ujio wa dini hizi maana ukianzia mbele lazima kutakuwepo mkanganyiko


On Sun, Jun 2, 2013 at 7:29 PM, richard bahati <ribahati@gmail.com> wrote:
Sheikh Ally Basaleh nae hakusita kuwaambia serikali kuwa kwenye daladala waliopanda watanzania kuna watu wamevaa ndala na kuna wengine wamevaa buti wenye ndala wanakanyagwa ndio maana wanasema! Kwahiyo badala ya kufanya hasira na kuchukua maamuzi ya nguvu bora wawasikilize wanaosema wanakanyagwa.....................

http://goldentz.blogspot.com/2013/06/kongamano-la-waisilamu-jijini-dar.html

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment