Saturday 18 May 2013

[wanabidii] Hotuba Yangu Chuo Kikuu Cha Tumaini Iringa Jana Mchana...

Ndugu zangu,

Naitwa Maggid Mjengwa, mmiliki wa Mjengwablog na mtandao wa Kwanza Jamii. Baadhi yenu ni watembeleaji wa Mjengwablog, nawashukuru sana, na wengine ambao hamjawahi kuitembelea, basi, karibuni sana.

Nianze kwanza kwa kueleza jambo ambalo sijapata kulisema kabla. Mimi nina historia na chuo hiki.

Mwaka 2005 nilijiunga na Chuo hiki kwa minajili ya kujifunza kozi za Social na Cultural Anthropology. Nilifundishwa na marehemu Profesa Mshana.

Dhumuni la pili lilikuwa ni kujifunza juu ya mazingira wanakojifunza wasomi wa Kitanzania vijana kama nyinyi. Maana, mimi sikuwahi kusoma Chuo Kikuu hapa nchini. Nimegruduate nchini Sweden.

Nilimaliza kozi zile katika kipindi cha miezi minne na nilifaulu vema. Kisha nikaondoka. Sikuhitaji cheti.

 

Ndugu zangu,

Taaluma ya habari inahusiana kwa wanahabari kusema yalo ya ukweli kwa jamii. Na jambo hili lina changamoto zake katika jamii zetu hizi.

Maana, ukweli.... Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/2780-hotuba-yangu-chuo-kikuu-cha-tumaini-iringa-jana-mchana.html

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment