Ina maana nchi nzima hatuna hata wanataaluma waliosomea mambo ya conflict resolutions? Watu walio kwenye tension hawatulizwi kwa bunduki au mabomu.
Mbona tunatumia nguvu zaidi kuliko maarifa? Tukiendelea hivi huko mbele tusubiri Sodoma na Gomola!
From: amour chamani <abachamani@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Thursday, May 23, 2013 5:48 AM
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
Kiwasila,
Kanisa kanisa kanisa kwani kwenye vurugu hizi nayo yamechomwa?
Unanini wewe na kanisa?
Ulishasikia wanachosema watu wa Kusini?
Ni wajinga ndiyo kwa maana hiyo hawawezi kuamua vema lakini basi kwanini sisi wajuzi na wastaarabu hatuendi tukawasikiliza na kuwaelimisha badala ya kuongeza askari.
Kiwasila watu kama wewe ni sehemu pana ya tatizo linalotukabili.
Walewale.
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, May 22, 2013 6:28 PM
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Kanisa kanisa kanisa kwani kwenye vurugu hizi nayo yamechomwa?
Unanini wewe na kanisa?
Ulishasikia wanachosema watu wa Kusini?
Ni wajinga ndiyo kwa maana hiyo hawawezi kuamua vema lakini basi kwanini sisi wajuzi na wastaarabu hatuendi tukawasikiliza na kuwaelimisha badala ya kuongeza askari.
Kiwasila watu kama wewe ni sehemu pana ya tatizo linalotukabili.
Walewale.
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, May 22, 2013 6:28 PM
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
Ndio huu ufinyu wa akili tusemao wengine. Badala ya kujibidiisha ukalima mwenyewe asikulimishe Mkenya au Mburundi, Mkorea, Mchina uliyomuuzia ardhi kinyemela jirani kahamia TZ-unalimishwa. Ungelima mwenyewe na kujiunga kikundi mkapata mkopo mkalima na kuuza nje ungesomesha watoto. Ukaacha kuoa na kuoza vichanga wake kibao, kutwa upo barazani unaona kanisa ndio adui yako. Jielimishe, jenga skill uajiriwe katika mitambo ya gas na ktk ajira nyingine. Usitatute adui ambapo mwenyewe mshiriki wa kujidumaza. Unachoma moto. Ukisha kuchoma moto hakuna maendeleo kwako. Hapa adui serikali-unachoma moto ambulance, ofisi, mabweni, bomoa madaraja kisa umekasirishwa. Kumbe mngetumia mikakati ya kuweka kamati wakilishi ya wasomi wenu ya kudai mafao na mkapanga mikakati yake. Gas itakwenda kuendesha viwanda Dar, Bagamoyo, Morogoro etc kama wewe utumiavyo umeme wa Kihansi hapo Ligula hospital na maofisi na majumbani kwenu. Kulikoni? Mfano serikali na makampuni yaseme Gas basi haitochimbwa kabisa. Mtakuwa mmepata au mmepatikana? wale ambao wana wagonjwa wa kupasuliwa hospitali na gari ya daktari wameishona na hawaruhusu watu kutembea, wagonjwa si wanakufa leo? hawa ni ndigu na jirani zao. UJINGA --- On Wed, 22/5/13, salum mkango <salumkango@yahoo.com> wrote:
|
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment