Thursday 23 May 2013

Re: [wanabidii] RE: Dr Kingwangallah hii imekaaje?

Kwa mantiki hii Kigwangala naye ni mbaguzi kidini. Serikali ya Tanzania haiendeshwi kidini
em

2013/5/23 alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>

Dr. Hii habari imekaaje? imejadiliwa sana Jamii Forum unaweza kutusaidia kutupa maelezo.

REF: Wabunge wa CCM wamemrarua waziri wa mambo ya nje Bernard membe kuwa ni kinara wa Fujo na vurugu zinazoendelea mtwara, wa Kwanza kuchangia alikuwa ni mbunge wa newala ,alisema membe ni mtu hatari na ni kirusi Ndani ya chama kwani anamtumia mbunge mtwara mjini murji na misikiti kumchafua waziri wa serekali za mitaa Hawa Ghasia, Baada ya munde alifuata Hawa Ghasia ambaye naye alimshtutumu Membe kuwa anamfitini kwa kumtumia murji ,na murji kupiga misikiti anaendesha mkakati kupitia misikiti ,''vurugu za mwezi January nyumba yangu pamoja na ya Mhe Anna Abdala zilichomwa moto Mhe mwenyekiti Jana tena wamechoma nyumba yangu na ofisi za chama moto nimefanya utafiti nimegundua ni waziri mwanzagu ndie anaenifitini kwa wananchi wa mtwara hii ni hatari sana kwa mustakabali wa chama na Taifa kwa Ujumla'

Waziri Ghasia alienda mbali zaidi kwa Kusema Kama investment membe anazo za kutosha mtwara lakini hazichomwi wala hazirushiwi mawe,hii inasikitisha ,Wakati Huo Huo mbunge wa nzega Dk kigwangallah ameitaka serekali imuondoe mkuu wa mkoa wa mtwara Simbakali kwakuwa Hana mahusiano mazuri na mashekhe na ili mkoa Huo utulie aondolewe mkotoliki apelekwe muislamu
.

Alexander

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment