Tuesday 14 May 2013

RE: [wanabidii] MLIPUKO ARUSHA TUNAPAPASA TU BADO HATUJASEMA TATIZO HASA NI LIPI

Usemalo sawa but it is too long inapoteza meaning yake jaribu kusamarizi mada zako.
 

Date: Mon, 13 May 2013 05:09:27 +0100
From: khildegarda@yahoo.co.uk
Subject: Re: [wanabidii] MLIPUKO ARUSHA TUNAPAPASA TU BADO HATUJASEMA TATIZO HASA NI LIPI
To: wanabidii@googlegroups.com


Hata kama hakuna kiwanda cha mabomu TZ mabomu yapo Nd shirima.

Kumbuka kuna biashara ya chuma chakavu. Ilitokea milipuko ya hand grenades kiwanda kimohawapo mwenge akafa mmoja au kuumia makuli waliokuwa wakipakua mzigo nikiweka kumbukumbu yangu. Hawa walipakia vyuma chakavu vilivyotoka vijijini ambako wananchi waliokota mabomu hayo maeneo ya mazoezi ya majeshi ambayo hukatazwa wananchi kuingia. Maeneo hayo huingiwa na wananchi kuokota kuni, kuchunga mifugo lakini hukatazwa hata mabango huwekwa ila huingia na kuokota vyuma hivyo. hata ukielekea monduli Mjini kuna chuo cha kijeshi utaona wafugaji ndani ya maeneo ya jeshi yasiyoruhusiwa. Ni hivyo maeneo ya Mikumi kuelekea Kilosa-Ruaha. Usiingie, wanaingia na uchao miguu inabaraswa. Iliandika magazetini huko nyuma mzee aliokota bomu la vita kuu za dunia. Jinsi ilivyokaa alidhania ameokota 'tunguri' ya mganga labda aliipoteza huko porini. Akawa anatafuta mteja, akaiweka uvunguni nyumbani kwake. Wakati akiota moto chumbani akaamua aichukue aiangalie vizuri-Likaripuka na moto/joto lile ikampata kisawasawa na kuumiza wajukuu. hii ikala kwake. Yapo mabomu ya mkoloni yanakata watu miguu na kuua.

Zipo barudi na hutumika kuripua wakati wa ujambazi-wanapiga kutishia watu pia kubomoa milango. Kimara Baruti ni jina la eneo ambako serikali/jeshi wakiwa na vibanda vya kuhifadhi baruti ambazo hutumika katika upasuaji mawe ya kutengeneza kokoto au mawe ya ujenzi. Hii huenda ilianza ukoloni maana majengo ya Mwarabu, Mjerumani na Mwingereza mijini na miji ya kale (Bagamoyo, ZNZ, Tanga) na maeneo mengi hata DSM posta yalikuwa yamejenga kwa mawe mpaka ghorofa zake na kwa miti migumu dari zake. Majambazi wanatengeneza viripuko kwa kubomoa majuja, safe za hela na kuiba-utaalamu huu wameupata wapi si Uarabuni wala ughaibuni kokote ni humu bongoland. Nchi imeitwa 'Bongoland kutokana na kuta na utaalamu na mbinu za kila aina hasa za ubunifu mwema na wa uovu na uchakachuaji kwa kutumia utaalamu asilia. Gari unaiona nje Ford ya 1962 inatembea ndani engine ya Toyota 1990. Hakusoma shule lakini fundi mjenzi mzuri, fundi magari kutokana na kujifunza kwa vitendo lakini amesoma ana madigrii-Fisadi anaangamiza uchumi wa nchi. anahamasisha uovu lakini familia yake anahamishia ulaya inasoma na kukaa huko. Mengine ni ya Ujinga/Upumbavu bila ya kujali madhara yake.

Kwani wachimbaji wadogo wadogo wanaripua mawe kuchimba madini wanapata wapi viripuzi kiasi kwamba ishindikane kutengeneza bomu la misumari au la waya nchini na baruti zipo? Hawa wanaripua miamba mpaka wanajizika wenyewe huko chini wanaporomokewa na udongo. Yaani unachimba chini kwa chini futi mia plus na huna vifaa vya usalama na ukiipata hela hiyo kwa tabu unaishiwa kulewa na ngono si salama!! Ni vibanda vya pombe, video chafu, ngono!

Mkorogo wa waya na misumari unaweza kutengeneza bomu unaweza kutengenezwa Mererani, au Nyarugusu, Nyangarata au Kisumu ukaingia Arusha. Bomu linaweza likanununliwa kutoka wahamiaji maharamia kutoka nchi zinazopigana vita-Burundi, Congo. si huuza bunduki na wanaweza kuuza mabomu? Mbona ujambazi nchini umetumia kuripua hand grenades? Majambazi wanavamia nyumba kadhaa vijijini, wanavamia gulio au soko na silaha na vibomu?  Wanaona tulivyo wajinga na tamaa, twawakaribisha na silaha, mabomu, wanatuuzia na huwasaidia kuvamia vijiji, mabasi ya abiria, bank, wafanya biashara. Twanakuja mwanya kukata miti, kuchunga mifugo na wana silaha. Tunawalaza lodging zetu. Tulifanya hivyo kwa wasomali Loliondo na hivyo kwa hao toka Burundi na tunawabeba wahamiaji ndani ya magari, pikipiki, container na kufunga silaha kama maiti ndani ya jeneza. Twasafirisha bangi na unga kama mzigo tunafisha ndani ya viroba vya unga, pamba etc na tuna bandari bubu kuanzia Tanga hadi Bagamoyo, DSM, Kisiju, Rufiji, Mtwara kupitia Indian Ocean. Bado Misitu ya kuwapitisha-Rombo, Loliondo, Tarime, Kigoma etc-tatizo gani bomu la aina yoyote lisiingie? Itashindikana vipi mabomu yasiingie? Tuweke kambi za JWTZ, JKT, Prisons mipaka ambayo ni nyeti.

Wanaweza hao waovu wa Arusha kutoka mfano nchi jirani kusema 'Tuwaone hao na Arusha yao na Tourism na sasa inazidi kukua na makao makuu ya kila aina na mlima wao na kila kitu chao sasa wanauwezo wa kutangaza kuwa kipo kwao. Vijana wao ktk Tourism sasa wamejifunza sio kiingereza tu bali hata lugha nyingine sasa utalii unahama kwetu upo kwao. Ngoja tuichafue Arusha utalii uhame. Si kuna kiongozi mwakilishi wa Papa? Wacha tukaripue itaonekana ni UDINI kumbe ni kiuchumi au kisiasa kutaka kuichafua CCM na serikali yake kuwa-haiwezi. Yote yawezekana bila ya kujali unaumiza wasiohusika. Kuna wasioogopa kufa kwani-utaona gari/lori la mafuta linatembea (Ubungo-Buguruni Road) na vijana wanafungua tankers kutoa petroli. wanafanya hivyo wakitumia mifuko ya rambo na maguduria. Moto ukiwaka hapo ni DSM yote ukizingatia vifaa vya zima moto duni na mbanano wa nyumba-twapita njiani sote tunawaangalia wakitutengenezea kifo. Twaogopa kuwasema au kuwazuia watoto wetu wenyewe kwa kuogopa kupigwa nondo au kisu. Ila, polisi akikwapuliwa bunduki na majambazi ikafyatuka risasi na kuua mtu-tunaandamana vikali. Hawa-tunawatazama. Ukiwaka moto-serikali haijali usalama wa raia ambao hucheza na petroli na kuiweka majumbani mitaani-kuganga njaa. na huyo wa bomu akiganga njaa pia.

Mbongo/Mswahili tabia yake ni maneno mengi, visingiszio vingi, upeo mfupi kutokana na mbinu zake za ubinafsi na kupenda lawama. kujituma ni hadimu hata kama ni kwa maendeleo yake mwenyewe. Kupenda rahisi rahisi cha haraka au chapuchapu bila kujali sustainability-kula leo na kesho na vizazi vijavyo. Desturi na tabia ya uvivu, muono mfupi nakupenda misifa/Sifa inatuumiza na ndio tupo ktk baraza za malumbano badala ya vitendo. Maendeleo hayashuki kama mvua-ni kwa kazi. hakuna GVT itakayotuletea maendeleo bure. Wakati wa bure umekwisha-ule wa kuletewa Uhisani ambapo hela zake zikitoka walipakodi nchi hizo za kutuma uhisani. Bila ya kuzalisha mali kwa faida ili kugharimia maendeleo yetu-tutakuwa watumwa wa kujiripua daima. Bila ya kuwa na utaifa moyoni ukajiona u mzungu ndani ya moyo au mwarabu-tutajimaliza.

Adui wako si dini nyingine au rangi ingine, adui wako ni uvivu wako mwenyewe, kutokupenda shule na kujituma kimasomo na kuchangia elimu (kunywa bombe, ugoro, kuoa wake wengi, nyumba ndogo poa!!) ndio tatizo. Hupati ajira na kuweza ujasiriamali uwe na skills kama hutojifunza ukawa na elimu au skills. Elimu ya dini pekee haikupi ujasiriamali na ajira au kujiajiri. Kuna ubaya gani kuwa na Sheikh au Padri ambaye ni fundi makanika? Mwalimu wa sekondari au chuo kikuu cha taaluma? Tatizo nini kuwa na mwalimu wa madrasa ambaye ana cheti cha ualimu wa vidudu ambapo atafundisha dini pia taaluma ya mtaala wa vidudu? Bila kubadili mifumo ya dini third world countries ikawa na taaluma-adui daima atakuwa UDINI. Tutatupiana mabomu, kuuana kama inavyoendelea Somalia, Nigeria, afghanistan. Ifike iwe kama Misri, IRAN-unaongea kiarabu, unasali sala 5 lakini ni daktari unatibu hospitali, unafanya upasuaji na matibabu. Kiarabu ni lugha tu na quran inaijua. Na hivyo ndivyo tanzania inavyokwenda sasa na vyuo vya kidini iwe St augustino, Islamic secondary school or University. Sasa tusirudi nyuma kwenye kupambana KIDINI tena academics na uzalishaji mali. Makanisa yalianza zamani toka yaje. kanisa ina shule na karakana za magari vijana wanajifunza car mechanics, useremala, ufugaji, elimu dunia, kushona, mapishi, kufuma. Padri, Sister ana degree, professor, medical doctor ila padri. Josho la kanisa la RC la 1868  huko Bagamoyo lipo na watumwa waliokombolewa wakristu na waliobaki kuwa waislamu hawakubatizwa wakijifunza skills nyingi na ufugaji. Josho lipo hadi leo na karakana za enzi hizo za 1868. Lakini eneo lililotolewa mahali paitwapo Nchi Pana karibu na Msikiti wa Ijumaa kujengwe chuo cha Kiislamu-kumejengwa jumba la fahari la mtu. Alichokifanya ni kuipa ofisi ya Kata ya chama chenye bendela hapo. Mchawi hapa nani na chuo tegemewa kiliwekwa jiwe la msingi na Mkuu mmojawapo wa dini hiyo? Angalieni haya. Tunajichakachua wenyewe.

Watendaji katika NGO-wawe na shughuli za uzalishaji mali sio kutegemea Grants tu toka nje-ndio inabidi uhamasishe visivyo ili uendelee kupata grants. Wana siasa-aonyeshe kafanya nini kwake kijijini na jimboni kwa kutumia raslimali watu na natural resources sio kelele tu? Kuna mito 50 inaingia baharini-jee, umehamasisha traditional irrigation farming? umeshirikiana vipi na distric agricultural officer, chuo cha kilimo kilichopo wilayani/mkoani (Naliendele, Ilonga, Sokoine) na Funding NGO-Aga Khan Foundation, Jane Goodal, CONCERN, SNV waliopo wilayani.Mkoani na ktk vijiji jimboni kwao au jimbo jirani wanafanikisha na kusaidia kilimo? unapiga kelele tu Bungeni hata chuo cha Kilimo jirani yako hujafika???? Mbona halmashauri ina miradi ya kilimo na wahisani wanazalisha value added cassava, dwarf eleucine, millet, sorghum na mbegu za maharage, soya beans etc. wana kituo cha mifugo ya kisasa mbuzi anatoa lita 3 kwa siku ng'ombe 6 kwa siku? umefika? pamoja na hayo kuna chuo cha Afya na hospitali kuu jimbo lako na chuo cha maendeleo-umewatumia wakaweka pilot villages ktk vijiji vyako kufanikisha Kilimo na Ufugaji kwanza?

Tutalaumu na kutumia UDINI lakini kitovu vya umasikini kinachohamasisha UDINI na chuki kisiana tunacho wenyewe. Bomu linaweza kununuliwa au kutengenezwa nyumbani utaalamu upo na linaweza likaingizwa nchini mbona yapo na yanatumika ktk ujambazi na tunaona yakionyeshwa ktk TV? Kikulacho kikiwa nguoni mwako Si rahisi kukigundua. na bado makubwa yanakuja-wanyanga'nyeni waliojilimbilizia ardhi za serikali wakajipa hati miliki na kuzungushia kuta; boboeni maghorofa beach maeneo ndani ya uwio wa bahari usio ruhusiwa; bomoeni majumba yaliyojengwa ktk open space na hao wenye hela ambao baadhi yao hudiriki hata kubomoa nyumba ya mtu hata kama kesi ameshinda-ubavu mkubwa huo. Bomoeni mali za hao itupate ya kutupata, yataripuka kote na hapo ndipo tutakapoamini kuwa ndani ya UDINI kuna UGAIDI Kiuchumi na ulafi wa Vyeo Kisiasa kwa visingizio vya UDINI.



--- On Sun, 12/5/13, Fratern Shirima <shirima.fratern@yahoo.com> wrote:

From: Fratern Shirima <shirima.fratern@yahoo.com>
Subject: [wanabidii] MLIPUKO ARUSHA TUNAPAPASA TU BADO HATUJASEMA TATIZO HASA NI LIPI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sunday, 12 May, 2013, 4:40



--- On Fri, 5/10/13, Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com> wrote:

From: Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, May 10, 2013, 5:26 AM

Mtandao wa wanabidii umepooza. Yona anatafuta namna ya kuuchangamsha. Naona kama anafanikiwa.



From: Selemani Rehani <srehani@hotmail.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, May 10, 2013 8:08 AM
Subject: RE: [wanabidii] Re: URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga

Matinyi,
 
Niliposema mada hii na nikaona aliyekuja na hoja hii ni Yona, wala sikuhangaika kuumiza akili yangu. Kwani naelewa malengo yake.
 
Selemani
 

From: matinyi@hotmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: RE: [wanabidii] Re: URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga
Date: Thu, 9 May 2013 13:50:47 +0000

Yona,
 
Hakuna kitu kama hicho - eti tutafute mtu anayependwa na jumuiya ya kimataifa, ili akaifanyie nini?
 
Mjadili Dkt. Mahiga kwa uwezo wake na sifa zake na uzalendo, siyo hii kitu ya ajabu. Mfano wako wa Mkapa hauna mantiki kwa sababu kwenye mchakato wa CCM aligombea na watu ambao walikuwa hawajawahi kuwa mawaziri wa mambo ya nje na hata yeye alikuwa kweye nafasi hiyo enzi tunapigana na Amin, siyo wakati huo.
 
Suala la Kikwete kuingia kwenye urais halikuja kwa sababu alikuwa waziri wa mambo ya nje bali kutokana na sababu za ndani zikiwemo kampeni kali za muda mrefu na alishindana na watu ambao pia hawakuwa na sifa hii.
 
Lakini kwani Mwinyi aliwahi kuwa kwenye nafasi hiyo? Nyerere je? Vipi Uhuru Kenyatta? Moi je? Museveni? Kagame? Nkurunziza? Kabila? Mugabe? Zuma? Obama? Holland wa Ufaransa je?
 
Hakuna kitu kama hiki duniani ingawa kuyafahamu masuala ya kimataifa ni sifa muhimu lakini tunahitaji zaidi ya hapo. Tusitumie vigezo rahisi kwenye mambo makuu.
 
Matinyi.
 

Date: Thu, 9 May 2013 06:45:29 -0700
Subject: Re: [wanabidii] Re: URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga
From: pasamila292000@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Tumpende sisi kwanza ,jumuia ya kimataifa baadaye


2013/5/9 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Katika anga ya kimataifa kwa sasa hivi Tanzania tuna waziri ya mambo
ya nje na ushirikiano wa kimataifa mhe ben membe na huyu dr mahiga –
angalau kwa sasa kwenye masuala ya kimataifa hawa wawili ndio
wanaonyoosha mambo yetu kwa kiasi Fulani .

mNAkumbuka mwaka 1995 aliyemrithi mwinyi ni mhe mkapa aliyewahi kuwa
waziri wa mambo ya nje , aliyemrithi mkapa akawa jk na kwa jinsi mambo
yanavyoenda mwaka 2015 tusije kuwa surprised .

Yote tisa kumi ni kwamba jumuiya ya kimataifa inapenda watu
inaowajua .

On May 9, 3:49 pm, isack mchungu <isackmn1...@gmail.com> wrote:
> Sio kwamba humu nchini hatuna watu wazuri hata CCM kuna watu wazuri TATIZO
> NI MFUMO WA KIONGOZI NDANI YA CHAMA HICHO.
>
> 2013/5/9 paul lawala <pasamila292...@gmail.com>
>
>
>
>
>
>
>
> > Hii kanuni ya kutoa shilingi huwa naisikia tu,ila sijaijua kiundani
>
> > 2013/5/9 anna nyanga <lugua...@yahoo.com>
>
> >> Watanzania, wakati wa kuangalia sura umepitwa na wakati.
>
> >> Ni vizuri kutumia wakati huu kabla ya uchaguzi kuweka bayana ni Tanzania
> >> ya namna gani tunahitaji.. Tutengeneze sifa za Tanzania tunayoitaka kwanza.
> >> Then hao mnaowanadi sasa hivi tuone je wataweza kutengeneza Tanzania
> >> tunayoitaka.
> >> Tunataka Tanzania bora sio bora Tanzania.
>
> >> Ila tusisahau Tanzania iliyobora inajengwa na Watanzania walio bora. Tuwe
> >> wa kweli na nchi yetu.
>
> >>    *From:* Bariki Mwasaga <bmwas...@gmail.com>
> >> *To:* wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> >> *Sent:* Thursday, May 9, 2013 2:11 PM
> >> *Subject:* Re: [wanabidii] URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga
> >>  **
> >> Adding in the list Samuel Sitta**
> >> Reference - Tanzania Daima 09/Mei/2013****
> >> Sitta amuokoa Nchimbi
> >> •  Makombora ya Lissu yamtoa jasho
> >> **
> >> na Edson Kamukara
>
> >>        WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta, juzi
> >> alimuokoa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi, dhidi ya
> >> makombora ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA).
> >>  Busara za Sitta ndizo zilizomfanya Lissu abadilishe nia yake ya kuondoa
> >> shilingi kwenye bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
> >>  Hatua hiyo ilikuja wakati Bunge limekaa kama kamati kupitia vifungu vya
> >> wizara hiyo, ambapo Lissu alitaka Waziri Nchimbi afafanue serikali
> >> imetekelezaje mapendekezo ya tume yake iliyoongowa na Jaji Ihema pamoja na
> >> ile ya Haki za Binadamu zilizoshauri Jeshi la Polisi kusukwa upya ili
> >> lifanye kazi bila kufuata matakwa ya wanasiasa wa chama tawala.
> >>  Lissu alitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa kikao hicho, Anne Makinda, kuwa
> >> anakusudia kuondoa shilingi kwenye mshahara wa Waziri Nchimbi endapo majibu
> >> yake yataendelea kuwa mafupi na mepesi.
> >>  Hata hivyo, kama alivyokuwa amejibu mapema wakati akihitimisha hoja za
> >> wabunge, Nchimbi alisema ni kweli kwamba Jeshi la Polisi halipaswi kufanya
> >> kazi kwa maelekezo ya wanasiasa na kwamba ndiyo sababu Kamanda wa Polisi wa
> >> Mkoa wa Iringa, Michael Kamuhanda, anaendelea kuwa kazini.
> >>  Nchimbi aliongeza kuwa ripoti hizo wamezisoma lakini wanajipa muda
> >> kuzifanyia kazi, kwani endapo watakurupuka pasipo kuangalia mazingira
> >> mwisho wake unaweza kuwa mbaya.
> >>  "Unajua ukikutana na mtu aliyetoka kuombwa rushwa na trafiki halafu
> >> ukamuulizia utendaji wa jeshi hilo, atakwambia hakuna watu wabaya kama hao.
> >> Lakini ukikutana na dereva aliyepata ajali akakatika mguu halafu akaokolewa
> >> na trafiki, ukimuuliza kuhusu utendaji wa jeshi hili, atasema hakuna watu
> >> wazuri kama hao," alisema.
> >>  Hivyo, Dk. Nchimbi alisema ripoti hizo hawawezi kuzifanyia kazi moja kwa
> >> moja bali wanapima kuona wakati zinafanyiwa kazi wajumbe waliegemea kwenye
> >> nini.
> >>  Majibu hayo yalimwinua tena Lissu na kutoa hoja ya kuondoa shilingi
> >> akisema Waziri Nchimbi ametoa maelezo ya mzaha wakati tume aliyoiunda yeye
> >> na ile ya Haki za Binadamu iliyoundwa na rais ni kwanini wameshindwa
> >> kuzifanyia kazi.
> >>  Hoja hiyo iliungwa mkono na wabunge wengi wa upinzani ambao walianza
> >> kuichangia wakidai jeshi hilo linafanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa,
> >> hata kufikia hatua ya kushindwa kuwachukulia hatua vigogo wa CCM kwa amri
> >> za wakuu wa mikoa na wilaya.
> >>  Kabla ya Waziri Nchimbi kujibu hoja hizo, Makinda alimuita Waziri Sitta
> >> ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya waziri mkuu ili aweze kutoa maelezo
> >> kuhusu sakata hilo.
> >>  Sitta alisema wanasiasa wanapaswa kuwatendea haki wananchi, akifafanua
> >> kuwa: "Hapa kuna tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi, kuna tuhuma nzito
> >> dhidi ya serikali ya CCM na zinatolewa na wenzetu wabunge tunaowaheshimu
> >> kutoka upande wa upinzani.
> >>  "Nataka kushauri mheshimiwa mwenyekiti, kanuni ya 103 si mahala pake
> >> kuzungumza jambo zito namna hii, kwa sababu inahitaji hoja ikae vizuri, iwe
> >> na ushahidi, majibu yawepo."
> >>  "Sasa wakati wa kuondoa shilingi tuzungumze suala la polisi kutumiwa na
> >> wanasiasa, na pande zote ziweze kupeana taarifa kulingana na mujibu na
> >> pengine upande wa serikali wana jambo la kusema, maana tunakerwa na kauli
> >> za viongozi wa vyama vingine wanaotoa eti saa 24 fulani aondoke," alisema.
> >>  Alisema kuwa kuna wanasiasa wanataka kuonesha serikali haifai, ni
> >> goigoi, kwamba hakuna serikali inayoendeshwa hivyo.
> >>  "Sasa haya ukiyachanganya ni furushi kubwa kwa wananchi wetu,
> >> ningemshauri Mheshimiwa Lissu atumie kanuni nadhani ya 53, apewe nafasi
> >> kwenye mkutano ujao alete hoja binafsi kwa mujibu wa kanuni, tuwe na muda
> >> wa kuijadili vizuri na tutoe majibu yanayostahili," alisema Sitta.
> >>  Hoja hiyo ilikubaliwa na Lissu akisema kuwa Sitta ametoa majibu
> >> yanayoeleweka, ambayo si ya kuokoteza kama ya Dk. Nchimbi, maelezo ambayo
> >> baadaye yaliruhusu kikao kuendelea na kupitisha vifungu na hatimaye
> >> kuipitisha bajeti ya wizara hiyo.
> >> **
> >> ****
> >> ****
> >> On 9 May 2013 13:10, denis Matanda <denis.mata...@gmail.com> wrote:**
>
> >> Add my name on the list!
> >> ****
> >> On Thu, May 9, 2013 at 10:03 AM, Bariki Mwasaga <bmwas...@gmail.com>wrote:
> >> **
>
> >> Potential candidates**
> >> ****
> >> On 9 May 2013 13:01, denis Matanda <denis.mata...@gmail.com> wrote:**
>
> >> Sijaelewa. Unamaanisha kuwa anafaa kuwa rais 2015?
> >> ****
> >> On Thu, May 9, 2013 at 9:55 AM, Yona Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:**
>
> >> *Augustine Philip Mahiga* (born 28 August 1945) is a Tanzanian<http://en.wikipedia.org/wiki/Tanzania> diplomat.
> >> He is the current United Nations<http://en.wikipedia.org/wiki/United_Nations> Special
> >> Representative and Head of the United Nations Political Office for
> >> Somalia <http://en.wikipedia.org/wiki/Somalia>.
>
> >> Mahiga is a former Permanent Representative of Tanzania to the United
> >> Nations<http://en.wikipedia.org/wiki/Permanent_Representative_of_Tanzania_to_...>
> >> .[1] <http://en.wikipedia.org/wiki/Augustine_Mahiga#cite_note-1> He is
> >> married and has three children.
> >> In 1971, he earned a Bachelor of Arts (Education) at the University of
> >> East Africa <http://en.wikipedia.org/wiki/University_of_East_Africa> in Dar
> >> es Salaam <http://en.wikipedia.org/wiki/Dar_es_Salaam>. That same year,
> >> Mahiga completed his Masters of Arts at the University of Toronto<http://en.wikipedia.org/wiki/University_of_Toronto> (U
> >> of T). He received his PhD in International Relations in 1975 from U of T.
> >>http://en.wikipedia.org/wiki/Augustine_Mahiga
>
> >>    - Biography of Ambassador Mahiga<http://www.tanzania-un.org/dynamicdata/data/docs/cvmahiga%20short%20f...>
> >>    - Interview with Augustine Mahiga<http://www.english.rfi.fr/africa/20110127-somali-tfg-must-extend-its-...>
> >>     - Radio France Internationale<http://en.wikipedia.org/wiki/Radio_France_Internationale>
>
> >> **
> >> --
> >>http://www.wejobs.blogspot.com/Jobs in Africa
> >>http://www.jobsunited.blogspot.com/International Job Opportunities
> >>http://www.naombakazi.blogspot.com/
> >>  --
> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >> mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com<wanabidii%2Bunsubscribe@goo glegroups.com>Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> >> Disclaimer:
> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> >> legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts
> >> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
> >> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> >> ---
> >> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> >> "Wanabidii" group.
> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> >> email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com<wanabidii%2Bunsubscribe@goo glegroups.com>
> >> .
>
> >> For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> >> --
> >> Wasalaam,
>
> >> Denis Matanda,
> >> Mine Planning Supt,
> >> Tanzania.
>
> >> *" Low aim, not failure, is a crime"*
> >>  --
> >> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >> mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com<wanabidii%2Bunsubscribe@goo glegroups.com>Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> >> Disclaimer:
> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> >> legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts
> >> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
> >> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> >> ---
> >> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> >> "Wanabidii" group.
> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> >> email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com<wanabidii%2Bunsubscribe@goo glegroups.com>
> >> .
>
> >> For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> >> ******-- **
> >> Bariki G. Mwasaga,**P.O. Box 3021,**Dar es Salaam, Tanzania**+255 754
> >> 812 387**
> >> -- ** Send Emails to wanabidii@googlegroups.com**  ** Kujiondoa Tuma
> >> Email kwenda ** mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com<wanabidii%2Bunsubscribe@goo glegroups.com>Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
> >> **  ** Disclaimer:** Everyone posting to this Forum bears the sole
> >> responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence
> >> statements and facts must be presented responsibly. Your continued
> >> membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide
>
> ...
>
> read more »

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.




--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment