Saturday 20 April 2013

Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA


Ahsante kijana, kweli kabisa usemayo. Sheria msumeno. Hata hakimu aliacha simu yake wazi ikalia akiwa katika kusoma hukumu, akajisomea hukumu mwenyewe akajikabidhi polisi alipomaliza kikao, akatoa faini na kuingia ndani kwa masaa yaliyohitajika.

Wachawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe. Unasoma gazeti la Kulikoni unaambiwa  kampuni ya Grumeti Reserve Company imeloa 4 million 1 au TAS 1.6 bilion  kwa mwaka kwa Ikona Wildlife Management Area asilimia 10 (10%) ya mafao yao kwa mwaka lakini hazijulikani zimefanya nini. wakili alihusika kusaini mkataba hela na kuna NGO inahusika kuona kuwa inasaidia maendeleo ya vijiji 5 hivyo husika lakini hakieleweki. sasa NGO ipo, wakili yupo, District Council ipo kinachoshindikana kunyoosha kisichoeleweka ni nini? matokeo wananchi wanaweza wakaacha ulizi wakavamia watalii na kampuni husika kumbe alae ni mtanzania msomi kabisa. Kwa nini wasifanye auditing na performance evaluation wa WMA hiyo kuleta ufanisi katika utendaji? Bado ile ambapo nyumba imejenga kuta mpaka barabarani, kuta imewekwa X lakini anaendelea kujenga halibomolewi. Bado unakuta gari trela limesimama barabarani limeharibika na pilice anapita hapo anaiona hiyo hatari hachukui sheria.

Mwananchi Boston kaona damu kuelekea boat yake akapiga simu police wakaja kumshughulikia. Sisi hapa tungeandamana kuangalia chama na udini hata kama walivamia na kumomoa mali za mtu-tunatetea na kuweka mawakili ghali kuangalia udini. Wenzetu sheria msumeno na mzazi akasema hapa wasisingizie dini au uislamu wala nini ajitokeze mwenyewe.

Ukiangalia yale magari ya police katika mtandao (mfano daily mail uk) utashangaa kuwa police wa kule wana magari ya namna hiyo kama vile ya Jeshi lao kuu mfano kama JWTZ yetu. Huyo police alivyovaa na vifaa vyake tofauti na hawa wa kwetu. Wananchi wanawashangilia na kuwasaidia sio kuwarudhia mawe wanapoingia nyumba hadi nyumba. Camera kila mahala na zimetumika kiinteligensia. Sisi kwetu hadi leo hatujawapata waliomuua padri ZNZ na hata kama yupo nyumbani tunamficha na akienda mahakamani tunajaa dunia nzima kutaka kuleta vurugu na hata kupiga sala hapo nje na kunyoosha vidole vya ushindi ndani ya mahakama kudharau mahakama. Tu punda milia -wenye rangi mchanganyiko tunataka haki na huku tunavunja sheria. Fikiria hata kutaka kumpiga speaker-sijui kwa vile ni mwanamke? Mbona speaker wengine hawakuvamiwa kutaka kupigwa. hii ni gender humiliation.

Kweli tuna haja ya kujifunza kutekeleza wajibu na sheria. Kuwapa vifaa vya kisasa askari wetu. Kujitahidi tuweze kujituma kujiletea maendeleo yetu wenyewe. Ajabu-Afrika ni vita daily na kubaka awtoto, wamana na hata wanaume kwa sasa, kuwatia vilema watu mbio daima halafu unataka uchaguliwe uwe kiongozi wa nchi. Nchi nzima 90% HIV positive kutokana na vita na ubakaji-wazungu wanatucheka vita daily vikaragozi tunakubali kutumika.

Nina kijana nyumbani kwangu ninamsaidia age 23. mama yake kafariki ameacha nyumba ina vyumba 8 na mabanda huko Tanga. mjomba wake anamdhulumu. hana pa kula wala kulala. Ana shangazi masikini. Kesi mahakamani tanga inachukua muda. Mjomba anadai nyumba ni yake, wosia umeandikwa unamtaja yeye mrithi. Kesi mahakama ya Ardhi Wilaya Handeni anasema ya Mjomba-tayari amekula fedha. Hivyo inakwenda Mkoani. Ni usumbufu. Kisha wakamfanyia njamna yeye mjomba na watoto wake wakiume walamfanyia uchafu kumkomoa-sodomy. Mjomba yupo nje hajakamatwa-si ana hela ila watoto wake wapo ndani. Sasa huyu mtoto atapata wapi hela ya kuhonga-rushwa. Mimi ninamsaidia kutokana na kukutana naye kwenye study ya mashoga ambapo sana ninapata tabu kuwajua wenye shida wapo mgongoni daima kuomba msaada. Mwafrika mtanzania-mwanasheria anadiriki kumtesa mtoto kama huyu kutokana na hela za rushwa. jee hao wengine?   Tunarudisha nyuma jamii yetu wenyewe na maendeleo yetu-wachawi sisi wenyewe pamoja na external factors zipo ila tunazibeba.
Mungu atusaidie.

--- On Sat, 20/4/13, salum mkango <salumkango@yahoo.com> wrote:

From: salum mkango <salumkango@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, 20 April, 2013, 11:33

Ndugu yangu Emanuel sikubaliani nawe kwa kusema eti sisi akili zetu duni. SI KWELI. Europe au nchi zilizoendelea mambo mengi magumu waafrika utawakuta wanayafanya. tena kwa ufanisi mkubwa. tatizo tunalo wenyewe hasa ktk kulindana kwa ushkaji na rushwa na mfumo legelege usiowachukulia hatua wakubwa na wenye pesa.
 
Nchi nyingi zilizoendelea si kwa sababu watu wake wana akili sana bali ni kwa sababu utaratibu uliowekwa unafuata equally na watu wote awe waziri, mtoto wa raisi au mkulima wa nyanya. Ukifanya kosa hakuna kubagain ni kuchukua hatua moja kwa moja. Kama kufungwa ama kulipa faini. Lkn bongo hakuna kitu kama hicho. nadhani unafahamu hilo.
 
Niko Australia kwa sasa naona jinsi watu wanavyoishi huku. Hakuna tajiri wala masikini wote ni sawa. Kama una pesa ni zako lkn huwezi kupewa feva eti kwa sababu una pesa. NO. Unafanya kosa barabarani watu hawasumbuki na wewe. Unaandikiwa faini yako nenda kalipe na unapunguzwa point kwenye leseni yako huku wakitabasamu. Tusipoteze muda bure wachawi wa maendeleo yetu ni sisi wenyewe.

From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, April 20, 2013 2:06 PM
Subject: Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Kwanini sisi AFRICA kila siku tunasema tusijilinganishe na wenzetu lakini yakifika masuala mengine tunasema binadamu wote ni sawa? Kwahiyo tukubali kuwa sisi akili zetu duni, mbinu zetu duni na basi kila kitu hoi. Me binafsi sikubaliani moja kwa moja na usemi huu maana kama ni akili tunazo ila tu tumezoea kujifanya wazembe na kukosa uongozi madhubuti!




On Sat, Apr 20, 2013 at 12:54 PM, salum mkango <salumkango@yahoo.com> wrote:
sio uwajibikaji mdogo ni kwamba wanalindana kwani unafikiri hawamjui basi????
 

From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, April 20, 2013 11:13 AM
Subject: Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Kwetu usanii mwingi sana. Uwajibikaji almost zero kama siyo negative!


On Sat, Apr 20, 2013 at 10:12 AM, <nevilletz@gmail.com> wrote:
Waliomtesa Kibanda bado wanatafutwa na timu ya makachero 10 iliyoundwa na polisi, leo ni zaidi ya siku 40 tangu Kibanda alipofanyiwa unyama!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: richard bahati <ribahati@gmail.com>
Date: Sat, 20 Apr 2013 00:54:39 -0700
Subject: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Dzhokhar Tsarnaev hatimaye ametiwa nguvuni na vyombo vya usalama vya marekani baada ya wakazi wa Boston kuwa katika wakati mgumu wakati wa kumtafuta mtuhumiwa huyo.

Residents who have been holed up in their homes, media and law enforcement officials who have been engaged in a day-long manhunt for the at-large suspect in the Boston Marathon bombing let out a cheers after it was confirmed that Dzhokhar Tsarnaev had been apprehended.

Video, picha na maelezo ya kina zaidi tazama hapa:

http://goldentz.blogspot.com/2013/04/mshukiwa-wa-mabomu-boston-maekani.html
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment