Monday 8 April 2013

Re: [wanabidii] Digest for wanabidii@googlegroups.com - 25 Messages in 13 Topics

Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: wanabidii@googlegroups.com
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Mon, 08 Apr 2013 10:40:32 +0000
To: Digest Recipients<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Digest for wanabidii@googlegroups.com - 25 Messages in 13 Topics

Group: http://groups.google.com/group/wanabidii/topics

    Mark Juma <softlockt@gmail.com> Apr 08 01:37PM +0300  

    The current edition of The County Weekly is Online
     
    Top stories include:
     
    1. How lords of graft attempted to bribe Nairobi Governor Evans Kidero
    a Ksh, 22 million bribe following an internal audit he ordered;
     
    2. Governors to sue state over county commissioners;
     
    3. Mutua's big dream for Machakos County;
     
    4. Transition wars-the inside story;
     
    5. Kajiado – The melting pot for East African Universities;
     
    6. Pictorial – Rare pictures of President Uhuru capturing private
    moments;
     
    7. Hon. Ruto's rise from chicken hawker to Deputy President;
     
    8. What next for Raila loyalists in Nyanza;
     
    And much, much MORE:
     
    Login in NOW to read the latest issue of The County Weekly
     
    NOT A SUBSCRIBER? Click on http://epaper.standardmedia.co.ke/ and sign-up
     
    If you are subscribed to other ePaper's , you can login and use the ADD
    SUBSCRIPTION TAB to add The County Weekly to your subscriptions.
     
    DO NOT MISS THE ABOVE STORIES IN THE LATEST ISSUE OF The County Weekly
     
    -------------------------------------------------------------------
    -------------------------------------------------------------------

     

    Evans MACHERA <evansmachera@yahoo.com> Apr 07 02:42PM -0700  

    Tebiti,
     
    Though Ouru blasts the west when it calls for his ire,u are going to see responses that Michelle did for our cuzo Obama hence we should accept the assistance given to the president-elect.
     
    Already he has responded elsewhere that her hand is intended to remind him whenever he forgets any promise made to kenyans - what if she forgets what he would have forgotten!
     
    If Ouru is to forget anything,then for sure the manifesto that jubilee spread to us is nothing but a madohido - lets begin with seeing kids with laptops before he forgets!
     
    Na kwa kulinda na kutetea katiba,Margeret anafaa kukumbusha rais mteule kwama Kounti commissioners are in office illegaly as Justice Mumbi rules,a position aprreciated by Mkuu wa Sheria.
     
    Mrs.Kenyatta has a role cut for her already - ofisi yake itakuwa wapi ndio pia sisi tumtembelee kumkumbusha!
     
    Evans MACHERA
     
    --- On Sun, 4/7/13, Tebiti Oisaboke <tebiti42@yahoo.com> wrote:
     
     
    From: Tebiti Oisaboke <tebiti42@yahoo.com>
    Subject: (VVM Forum) Ouru Jr. to swear without a Bible?
    To: "Mwanyagetinge" <mwanyagetinge@yahoogroups.com>
    Date: Sunday, April 7, 2013, 2:26 PM
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
     
    The son of Jomo Ouru Junior requested to be sworn in as president of the Republic of Kenya without holding a Bible!! He requested his spouse Magareti Muigai to hold the Bible for him during the swearing in ceremony next Tuesday at Kasarani Sports stadium. I wonder why he decided to go this route because him as a christian should be sworn in with the Bible and there is nothing wrong about that NOT unless he has some hidden "agenda" he hasn't revealed to us. Why doesn't he want to be sworn in holding the Bible by himself? He is not a muslim and I still don't understand why!! If there are things he is planning to do while office, he should tell us so that we be aware. Days when folks like Nyayo used to take us by surprise are gone and these days things should be done across the board because this is the 21st Century and not the 19th one. He is supposed to swear that he will uphold and defend the constitution of Kenya without fear or favor and how do we know
    that he will stick to these words once in office? How sure are we that our baby constitution will be defended at all costs as per the swearing in words state? Is he planning to trash our constitution because he never held the Bible when sworn in? 
          Another strange thing happened soon after he was sworn in and he visited a Mombasa based church. At that church, a serpent imaged from nowhere and headed straight to where Junior was standing to say "Hello" Mr. President and welcome to my church!!!. This by itself tells a lot and should not just be generalized as a small thing. We need an interpretation from magician Kabwere to break this down for us in simple terms to know why the serpent specifically chose him and not anybody else in the house of God. 
    Have a great Sunday
    TOI    
    __._,_.___
     
     
     
    Reply via web post
    Reply to sender
    Reply to group
    Start a New Topic
    Messages in this topic (1)
    Recent Activity:
     
    Visit Your Group
    Vugu Vugu Mashinani (VVM) is a movement that seeks to bring together Kenyans from all walks of life in ensuring a paradigm shift in leadership. After passing of the Katiba, Kenyans have now the sole responsibility to identify, audit and choose leaders of integrity right from the grassroots level to the Executive.
    Group Email Addresses
    Post message:      VuguVuguMashinani@yahoogroups.com
    Subscribe:      VuguVuguMashinani-subscribe@yahoogroups.com
    Unsubscribe:      VuguVuguMashinani-unsubscribe@yahoogroups.com
    List owner:      VuguVuguMashinani-owner@yahoogroups.com
     

    Switch to: Text-Only, Daily Digest • Unsubscribe • Terms of Use • Send us Feedback
     
     
    .
     
    __,_._,___

     

    Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> Apr 07 07:06PM -0400  

    Evans,
     
    I hope though that this unity between Kikuyus and Kales will now facilitate
    the return of all the Kikuyu IDPs and the Kisiis who lost their lands
    during PEV. Otherwise, the Kales and Kikuyus have been conned/scammed by
    Uhuru and Ruto. We want to see real peace in RV from now on.
     
    Courage
     
     
     

     

    Kenneth Masuki <kennymasuki@gmail.com> Apr 08 12:26PM +0200  

    Does this mean that a Luo has to innovate something for a Kikuyu to adopt?
     
    Sent from my iPad
     

     

    Faiza Hassan <antihongo@gmail.com> Apr 08 01:33AM -0700  

    Can Kaspersky anti virus protect your PC if you decide to browse net?

     

    Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> Apr 08 02:04AM -0700  

    Kaspersky Antivirus ni moja ya Antivirus Bora na nzuri zaidi katika
    kipindi cha miaka 3 iliyopita kuanzia Toleo la 2011 , 2012 na Sasa
    2013 , Ubora wake unategemea na mazingira ambayo upo wewe mtumiaji na
    programu unazotumia kwenye kompyuta yako .
     
    Kuhusu kukulinda unapo peruzi kurasa za tovuti mbalimbali hii
    inategemea kama Antivirus yako iko UPDATED kwa wakati huo unavyo
    perusi kurasa mbalimbali au kudownload programu mbalimbali kwa ajili
    ya matumizi yako .
     
    USHAURI WANGU
     
    1 - Kama uko kwenye mtandao kwa muda mrefu ni vizuri utumie Kaspersky
    Internet Security kuliko Antivirus
    2 - Hakikisha unafanya update za mara kwa mara za bidhaa zako haswa
    hizi za ulinzi kama antivirus ili uweze kuwa salama zaidi
    unapotembelea tovuti mbalimbali au kufanya manunuzi wka njia ya
    mtandao .
    3 - Hakikisha Bidhaa yako ni Licenced .
     
     
     

     

    lucas haule <kisacha2003@yahoo.com> Apr 08 01:57AM -0700  

    Majambazi wenye sare walikuwa ama wanataka kutangaza kuwa wakristo wanaongozwa na wachungaji wachafu( wanatekeleza nia ya nani hatujui) ama walitaka kumtongoza wameshindwa.
     
    --- On Fri, 4/5/13, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:
     
     
    From: ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>
    Subject: Re: [wanabidii] MAELEZO YA MHE. DIWANI HILDA WOISO (VITI MAALUM) CHADEMA ALIVYOKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA KUTEKA.
    To: "wanabidii@googlegroups com" <wanabidii@googlegroups.com>, "wofatatz@yahoo.com" <wofatatz@yahoo.com>
    Date: Friday, April 5, 2013, 11:14 PM
     
     
     
     
     
     
     
    Hiji jamani nisaidieni, hivi WOFATA ni chama cha kisiasa au ni asasi ya kisiasa? Au mawazo yanayotolewa hapa na Mwanabidii huyu ni yake binafsi au ndio sauti ya WOFATA. Mara nyingi nimekuwa nataka kuchangia kwa hoja zake lakini nasita nisije kuwakossa adabu hawa wenzetu, lakini kama ni mawazo ya mtu binafsi basi naomba kujua ili niwe nachangia kwenye hoja zake.
    Sent from Yahoo! Mail on Android
     
     
     
     
     
     
    From: Women fighting AIDS in Tanzania <wofatatz@yahoo.com>;
    To: <wanabidii@googlegroups.com>;
    Subject: Re: [wanabidii] MAELEZO YA MHE. DIWANI HILDA WOISO (VITI MAALUM) CHADEMA ALIVYOKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA KUTEKA.
    Sent: Fri, Apr 5, 2013 3:39:47 PM
     
     
     
     
     
     
     
     
     
    Mheshimiwa Lutinwa,
    Pole sana kwa yote yaliyokukuta.Ama kweli Tanzania, heri ya Congo.
    Naomba Mheshimiwa Tundu Lissu, alivalie njuga suala hili.Halina tofauti na la watoto kufeli mitihani.
     
    Mungu ni mwema hakika waovu wataonekana.
     
    Wasalaam,
     
    Mpendwa  Chihimba
    ED - Women Fighting AIDS in Tanzania( WOFATA )
     
     
    --- On Fri, 4/5/13, Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com> wrote:
     
     
    From: Lushengo Lutinwa <lutinwa@gmail.com>
    Subject: Re: [wanabidii] MAELEZO YA MHE. DIWANI HILDA WOISO (VITI MAALUM) CHADEMA ALIVYOKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA KUTEKA.
    To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
    Date: Friday, April 5, 2013, 4:22 AM
     
     
     
    Utaahira wa mapolisi wetu; hii ni framed case. Pure foolishness
     
     
     
    2013/4/5 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>
     
     
    Dah kazi ipo. Apandacho mtu hakika lazima atakivuna, Mungu amtee mama Woisso na haki ya Mungu ndiyo isimame na siyo ya wanadamu
     
     
     
     
    2013/4/4 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
     
     
    MAELEZO YA MHE. DIWANI HILDA WOISO (VITI MAALUM) CHADEMA ALIVYOKAMATWA NA POLISI KWA KOSA LA KUTEKA. 
     
    Mimi nilisafiri kuanzia Jumatatu25/3/2013 kwenda kuhubiri injili Simanjiro. Nilikuwa na mkutano wa injili na semina kwa wakristo niliondoka kituo cha Mbuyuni muda wa saa 10. mikutano hii ilipangwa kufanyika kwa siku 6. Nilifika salama na kupokelewa na mwenyeji wangu Mch. Bomba wa FPCT Simanjiro Kijiji cha Ngorika A.
     
    Huduma ilienda hadi siku ya Jumapili tr. 30/3/2013 jioni saa 12.30. Baada ya kufunga mkutano nilienda kulala kwa mama Michael akaaye pale pale Ngorika A. 
     
    Tr. 1/4/2013 nilianza safari ya kurudi nyumbani Moshi mjini mtaa wa Mnazi saa 12 asubuhi. Nlifika Mjini eneo la Kiborloni saa 3.30 asubuhi. Nilikuja kwa usafiri wa basi la Sahara ambalo nililipakia Mwanga Mjini.
     
    Nliposhuka kwenye basi nikapokea simu kutoka kwa mume wangu Evans Roman Woiso akaniuliza uko wapi? Nikamjibu niko Kiborloni. Akanimbia kwamba kuna watu wako huku nyumbani ambao wamejitambulisha kuwa ni askari polisi. Wamesema wanakutafuta wewe. Wanasema wewe umeficha pampu za bomba za maji nyumbani kwako. Akaendelea kusema wamekwishapekua nyumba nzima lakini hawakukuta vitu hivyo. Kwa mujibu wa mume wangu upekuzi huo ulikuwa usio makini wa muda usiozidi dakika 10. 
     
    Wao wenyewe wakasema hakuna chochote katika hivyo walivyotaja bali wakasema kwa sasa tunataka tu kuonana na Mhe. Diwani Woiso. 
     
    Mume wangu akawauliza kwa nini mumekuja kumpekua Mhe. Diwani na kumsingizia maneno ya uongo? Hamuoni kwamba mmemdhalilisha sana Mhe. Diwani ambaye pia ni Mchungaji? Ninyi pia mmejidhalilisha kwa kumsemea uongo. 
     
    Wakamwuuliza mkeo yuko wapi? Akawajibu kuwa nilikuwa safarini na sasa nimerudi na nimeshafika Kiborloni. Wakamwomba awape mtoto ambaye ataenda nao hadi hapo Kiborloni mahali nilipokuwepo. Mume wangu akawapa binti yangu atwaye Doreen. ambaye ana umri wa miaka 20 akawaleta nilikokuwa akiwa ndani ya gari ambaye aliitambua kwamba ndiyo inayotumiwa na CID wa Moshi. 
     
    Nlipokutanishwa na hao askari polisi walinieleza kwamba wao wananitafuta kutokana na habari walizozipata zilizokuwa zikinituhumu mimi. Lakini baada ya kufika kwako na kukupekuwa tukagundua kuwa hizo habari si za kweli. Kwa kuwa niloipata shaka nikawauliza Je ilikuwaje mkafikia huko? Je mwajua mimi ni nani? Wakanijibu kwa ujasiri kabisa kwa kuniuliza. Tunakujua. Kwani wewe si ni Mchungaji? Na wewe ni Diwani wa CHADEMA. Na ya kwamba umetoka sasa hivi Simanjro kuhubiri injili? Nikawaambia "ndiyo.
    Wakaniambia hata hivyo pamoja na kutokukuta lolote, sasa unatakiwa kwa RPC kuna mambo anataka akuulize. Sisi hatuwezi kukuuliza. Wakaniuliza. Au una mashaka? Nikawajibu Ndiyo" wakatoa vitambulishao vyao nikaona kweli wao ni maaskari. Nikawaomba basi nipeleke tu haya mabegi nyumbani. Wakaniambia hapana twende tu mara moja halafu utarudi ukiishajibu hayo maswali. Wakanichukua mimi na binti yangu wakanipeleka ofisi ya Mambo ya Ndani mjini Moshi. 
     
    Tulipoingia ndani wakamwambia binti yangu abaki nje. Mmi nikaingizwa ndani na kupandishwa ghorofani. Nikaingizwa ofisi ambayo mlango wake uko opposite na ofisi ya RPC. Nlipoingizwa pale tukasalimiana vizuri na kuanza mazungumzo mazuri tu ya kuheshimiana. Tukijadili kuhusu safari yangu ya injili. Nilikaa ofisini kwake kama dakika 30. Wakanichukua pamoja na wale walionichukua Kiborloni wakanipeleka kwa RPC. 
    RPC akanikaribisha vizuri, tukasalimiana.... Ndipo aliponiuliza Je unamfahamu SAMWELI. Nkaduwaa. Akaniuliza tena unamfahamu Samweli, nikaduwaa tena. Aaniuliza kwa nini hunijibu. Nikamwambia mimi ninashindwa kukujibu kwa kuwa ninawajua Samweli wengi. 
    Nikamwambia niulize swali ambalo linafaa kujibiwa. Wakanifokea kwamba "unamjibu hivyo mkuu" na yeye akaanza kunifokea. Na mimi nikamwambia hebu sasa unaiambie umeniita hapa kufanya nini? Akanijibu kwamba ataniambia. Akaanza kwa kusema " kuna askofu mmoja ametekwa. Hadi sasa hajulikani aliko bali yuko kwako na ni wazi kwamba yuko kwako." Nikamjibu si kweli. Na kuendelea kumwambia " simjui na wala sifahamu aliko" akaniuliza ulishawahi kusikia habari za askofu wa Njombe akiwahi kutekwa? Nikamjibu " sijawahi kusikia. Akauliza hujawahi kusikia hata kwenye vyombo vya habari wala magazetini. Nikajibu " hasha" akaniambia "sasa huyu askofu utamleta. Kwa kuwa unasema uongo eti hujui aliko" nikaonyesha hasira. Akaniuliza kwa nini unakasirika?" Nikamjibu nimekasirika kwa kuwa unasema uongo na huwezi kuthibitisha uongo wangu na nina njaa. Akasema mimi ninasema ukweli. "Huyu askofu ulichart naye tarehe 29/3/2013 saa 10 jioni. Akasema hebu lete simu yako, hata hivyo
    nikakumbuka kwamba siku hiyo nilicharge simu yangu kidogo na kupiga simu nyumbani kwangu. Nilipomaliza kuongea tu na binti yangu ikaingia simu ya mtu nisiyemjua. Akaniita Hallow. Kisha simu ile ikakatika. Na mimi kwa kuwa nilikuwa na shauku ya kujua mambo ya nyumbani nikapiga ile simu na upande wa ,pili akaniuliza je kuna uwezekano wa kupata chumba cha biashara Kiborloni? Kabla sijamjibu ikakatika na charge kwenye simu yangu ikaisha. 
     
    RPC akachukua simu yangu akaanza kubonyezabonyeza. Nikakataa kwa kumweleza kuwa asifanye lolote kwenye simu yangu kwani siwezi kubambijkizwa kesi. Wale askari wenzake wakanijia juu wakisema unafikiri mkuu anaweza kukubambikiza kesi?" Nkawaambia kuwa RPC si Mungu aweza kufanya kosa lolote. Hata hivyo aliweka simu yangu mezani na kusema yafuatayo: " sisi tunajua kuwa wewe ni mtu mkubwa. Ni diwani na ni mchungaji. Hatutaki kukuchafulia wala hatutaki kukudhalilisha. Ili tusikuchafue wala kukudhalilisha tuambie ukweli kwamba huyo askofu yuko wapi" nikawaambia sijui aliko wala simfahamu. Na sina lugha nyingine ya kukuelezea ili uamini kwamba ninayosema ni ya kweli, lakini kwa hakika ninayosema ni kweli.
     
    Ndipo ghafla wakaleta karatasi yenye rekodi ya matumizi ya simu yangu kuanzia tarehe 1/3/2013 hadi 30/3/2013. Akatoa pia karatasi nyingine yenye rekodi za matumizi ya huyo askofu ambaye inasemekana kwamba ametekwa kwa siku hizo hizo. Akanionyesha namba yangu na kuniuliza: Je hii ni namba yako? Nkamjibu Ndiyo. Na akanionyesha pia ile ya anayetajwa kuwa ni askofu. 
     
    Wakanionyesha namba ile ya yule askofu kwenye chart yangu na kuniuliza Je huoni unatudanganya? Hii namba si imewasiliana na wewe tr. 29? Nkawajibu ni kweli hii namba ilinipigia kuniuliza kama ninaweza kumpa fremu pale kwangu Kiborloni. Nlipomwuuliza huyu mpiga simu kwangu kwamba yeye ni nani alinijibu kwamba nisitake kujua yeye ni nani bali nimjibu kuhusu fremu. Nlipotaka kumjibu simu yangu ikaisha charge. Nkawaambia kwamba huyu si askofu kwani hakujitambulisha kama askofu. 
     
    RPC akasema mama tunakwambia kwamba mtu huyu unamjua kwa nini simu yake iko kwako? Ilinishangaza kwamba mawasiliano yake na mimi hayaonyeshi wakati aliponipigia bali pale nilipompigia tu. akaniambia kuwa tutakaa na wewe hapa hadi useme ukweli na umlete huyu askofu. Usifikiri kuwa tumekurupuka" tumekuchunguza siku nyingi. Tumekufuatilia sana. Tunajua mengi kuhusu wewe. 
     
    Akawaita wale CID akawaambia wakanichukue maelezo. Wakati huo huo wakahakikisha kuwa simu yangu hawanipi na kuhakikisha kuwa siishiki simu yangu. Na kila simu yangu ilipoita waliikata na kuniuliza huyu apigaye ni nani! 
     
    Wakanichukua nikatoe maelezo. Wakaniletea fomu ya maelezo na kuniuliza kama ninataka awepo mtu mwigine ili ahakiki maelezo ninayotoa. Nikawaambia Ndiyo. Nileteeni Mstahiki Meya. Wakaniuliza yuko wapi. Nkawaambia waangalie kwenye simu yangu. Wakatoka nje ili wampigia wakarudi ndani wakasema Jafari hapatikani. Baada ya kumkosa wakasema basi "tunatafuta gari tumfuate nyumbani kwake" nilipoona kwamba wananipotezea muda na hivyo ningeweza kulazwa rumande, nikawaambia ni vyema mnihoji nikiwa peke yangu kwani haina tofauti yoyote? 
     
    WKaniuliza " wajua kwa nini uko hapa? Nkajibu Ndiyo. Inaonekana kwamba nimeletwa hapa kwa tuhuma za huyo askofu aliyetekwa. Wakaniuliza pia Je huyu mtu aliyekupigia simu alipata wapi namba yako? Nikawaambia kwamba nimeacha namba pale kwa binti anayeuza pumba na kinyozi hapo hapo ambao wote wamepanga fremu kwenye jengo langu pale Kiborloni. Wakanichukua na kwenda nami hadi Kiborloni kwenye jengo langu kukagua kama kweli niliyosema ni kweli. Waliangalia wakiwa kwenye gari tu na kujihakikishia kuwa yote yalikuwa kweli tupu. Wakageuza gari tukaondoka na kurudi ofisi ya Polisi. Maelezo yakakomea hapo na kuniambia kwamba nitakaa nao hadi uchunguzi utakapokamilika. Tukarudi ofisini mjini na kukaa kama dakika 10 nikawaomba niwapigie nyumbani kuwaeleza kwamba niko huku nimeshikiliwa. Wakakataa wakisem kwamba tukikuruhusu uzungumze na watu wKo utazidi kumpiteza huyo askofu. 
     
    Ilipofika saa 10 wakaniingiza kwenye gari na kunipeleka hadi Sango. Halafu wakanirudisha tena mjini. Tukakaa tena kama dakika 10 ndipo wakanichukua tena na kunipeleka kituo cha polisi Himo. Hiyo ilikuwa kama saa 11 jioni. Pale nikaingizwa rumande, nikavuliwa viatu, nikapekuliwa na kuingizwa sero. Wakaondoka hatimaye wakarudi tena muda wa saa 12.30. Wakaniambia hivi. Huyu askofu yuko hewani sasa. Sasa tunataka umpigie uongee naye" nikapiga kweli na yule askofu akapokea simu, askari wakanniambia ongea naye. Nkawauliza niongee naye nini? Wakaniambia ongea naye kuhusu ile fremu. Nikaongea naye ukweli na kumwambia mimi ni yule mchungaji uliyetaka kuongea nami kuhusu fremu. Akanijibu Hallow mama mchungaji ni mimi lakini nimeshapata fremu" nikamwambia hata hivyo mbona mimi fremu -zangu nilikuwa ninapangisha kwa bei nzuri tu? Njoo tupatane bei nzuri. Akaniambia kwamba hapana tayari nimeshapata. Basi nikamwambia hata hivyo mtumishi wa Mungu wewe ni askofu na mimi
    ni mchungaji, nina matatizo na majaribu mengi nilitaka kuonana na wewe ili unishauri na kuniombea. Yeye akanijibu "" mimi nimeshaondoka Kiborloni na nimeshaenda Arusha siko tena huku. Nikamwambia sio lazima leo niambie tu nitakupataje? Hata kama ni Arusha nije. Simu yake ikakatika na haikupatikana tena.
     
    Nnakumbuka pia kwamba RPC aliniuliza hapo awali kwamba je waweza kuitambua na kufananisha hiyo sauti ya mtu uliyeongea naye kwenye simu? Nlihisi kwamba sauti ile ilishabiiana sana na ya RPC. Nkataka kumwambia hivyo lakini nikaamua kutosema kwa hofu ya kutendwa mabaya. 
     
    Baada ya kuzungumza na yule aliyejimbulisha kama askofu nikawaambia. Naomba niwasiliane na nyumbani. Wakakataaa. Nkawaambia kwamba mume wangu ni mgonjwa akisikia ninachopitia ataumia sana na anaweza kupatwa na makubwa. 
     
    Wakawa wanafanya mizaha na mimi kwa lugha ya Kiingereza. Baadaye wakaniambia kwamba Mama Mchungaji umetudanganya. Je wewe iliposema wewe ni darasa la saba je hicho Kiingereza umekijulia wapi? Sasa tumeshauliza tukaambiwa kwamba wewe umesoma hadi Form 4 na kaendelea na masomo hadi kupata Diploma ya uongozi kwenye chuo ambacho kina makao makuu Marekani na kina tawi Morogoro. 
     
    Wakanirudisha rumande. Wakaenda kuniletea chakula na maji wakaondoka. Walinileta chips mayai na soda na maji. Kwa kuwa pale kulikuwa na harufu mbaya na ni pachafu sikuweza kula. Kinachonisikitisha sana ni kwamba nikiwa pale na baada ya kutambulishwa kwamba mimi nimeletwa kwa agizo la RPC hakuna hata mtu mmoja aliyethubutu kuongea na mimi. Yupo ndugu yangu polisi aliyekuwa pale kituoni kwa namna ilivyotambulishwa hakuthubutu kabisa kunisogelea. 
     
    Ndipo nikamwita askari mmoja nikamwuliza Je kwa cheo changu ni halali mimi kuwa mahali kama hapa. Wakanijibu hatujawahi kuona mahabusu akichagua mahali pa kukaa. Nikawaambia kwamba kama mimi niko hapa kama mahabusu basi nipelekwe mahakamani ndani ya saa 24. Vinginevyo kama niko hapa kwa kesi ya kuchunguzwa nipewe chumba tofauti. Ndiyo maana naona mnanizuia kuwasiliana na watu wangu. Hata ndugu zangu wanakatazwa kuniona. Mahabusu waliposikia hivyo wakapiga kelele wakisema "afadhali mhe. Diwani umekuja uone tunavhoteseka. Ukitoka huku ukatutetee uraiani. Nilikuta wapo mahabusu waliokaa rumande siku 10. 
     
    Mmoja wa askari akamwita yule niliyekuwa naongea naye na kumwambia " wewe hujui kuwa huyo mama unayeongea naye ameletwa hapa kwa agizo la RPC. Usithubutu kuendelea kumsikiza. Utaingia matatani. Wakaleta chakula usiku. Wakanikaribisha nile. Nikakataa. Wakawapa wale mahabusu wengine na kuwaambia wale. Kile chakula kilikuwa kama share ya watu 2 ambacho walitakiwa watu 10 wakile. 
     
    Nikalala rumande usiku ule na hadi kesho yake saa 7 mchana ndo wakanileta Moshi Mjini kwenye ofisi ya RPC. Pale wakaniambia kwamba mama kutokana na tuhuma ulizo nazo hatuwezi kukuachia hivi hivi. Nikawajibu. " mimi ni mtumishi wa wananchi pande mbili. Ninawahudumia kiroho na kama kiongozi wao kimwili/kisiasa. Mnapoendelea kunishikilia hapa mnawanyima huduma /utumishi wangu kwao. 
     
    Hata hivyo kwa maelezo uliyotupa tumeona kwamba maelezo yako hayatoshelezi kumpata huyo askofu. Lakini tutakupa dhamana uende nyumbani kwa familia yako. 
    Nlitoka kituoni nina hali mbaya kiafya. Askari wakaniuliza mbona unaoneka una hali mbaya nikawajibu kwamba ninaumwa shingo, kifua kinabana na kichwa kinauma. 
     
    Nikadhaminiwa na kuniagiza niripoti tena kituoni tarehe 3/4/2013. Nlipofika kituoni leo waliniambia kwamba "aliyekuambia uje leo alikosea bali tutakapokuhitaji tutakupigia simu. Basi nikaondoka
     
     
    My Take:
    1. Rekodi haionyeshi mawasiliano ya zaidi ya mara moja. Mawasiliano haya ambayo yameonyesha wazi kwamba huyu mtu aliomba fremu na aliendelea kuzungumzia fremu je utekeji hapo uko wapi.
    .
    2. Mchungaji mwanamke mwenye ndoa yake ya Kikristo anawezaje kusemwa kwamba amemteka Askofu mwanaume mwenye ndoa yake. Je huku si kunidhalilisha sana? 
     
    3. Hakuna askofu so far aliyetekwa!!!
     
    4. Kama polisi walitaka kuonyesha umakini kwa nini hawakuchukua mazungumzo baina ya diwani wetu huyu na huyo askofu. 
     
    5. Kwa nini askofu huyo alipozugumza na huyu diwani kwa polisi hawakuagiza kampuni ya simu isionyeshe

     

    "Peak Performance Tanzania" <info@peakperformance-int.com> Apr 08 09:58AM +0300  

    COMPANY LOGO
     
    P. O. Box 77037, DAR ES SALAAM, Tanzania
     
    Tel/Fax: + 255 222780187, Mob: +255 782222130
     
    email:info-tz@peakperformance-int.com
     
    <http://www.peakperformance-int.com> www.peakperformance-int.com
     
    OUR VISION: Transformed people; Changing Africa
     

     
    DISCLAIMER:
    This email (including any attachment) is confidential and may contain
    privileged information and is intended for the named addressee(s) only. Peak
    Performance International (T) Limited does not accept legal responsibility
    for the contents of the email if the same is found to have been altered or
    manipulated. Any views expressed by individuals within the email do not
    necessarily reflect the company views. The email does not constitute a
    binding offer, acceptance, amendment, waiver or other agreement, or create
    any obligation whatsoever, unless such intention is clearly stated in the
    body of the email.
     
    We have found your mail address through our own efforts on the web search
    and not through any illegal way. If you find this mail unsolicited, please
    notify us immediately at <mailto:info@peakperformance-int.com>
    info-tz@peakperformance-int.com and we will take care that you do not
    receive any further promotional mail.
     
    Whilst we have taken reasonable steps to ensure that this email and any
    attachments are free from viruses, recipients are advised to subject this
    email to their own virus checking, in keeping with good computing practice.
    We accept no liability for any damage sustained as a result of any viruses.

     

    daniela kalimbiya <dkalimbiya@yahoo.co.uk> Apr 08 09:22AM +0100  

     Sasa kama haaminiki si atemwe tu akae pembeni au ?
     
    ----- Original Message -----
    From: "ngupula@yahoo.co.uk" <ngupula@yahoo.co.uk>
    To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
    Cc:
    Sent: Sunday, 7 April 2013, 14:22
    Subject: [wanabidii] RE: ZITTO AHONGWA NA MWIGULU KUVURUGA CHADEMA
     
    Duh,nafikiri sasa Zitto si rahisi kuaminika tena. Hata kama yawezekana isithibitike but why kila siku tuhuma za usaliti kwa wenzio?kwa nini wewe kila siku ndo uonekane loophole?offcourse,siku zote hata kama nikijisikia kumpenda Zitto,jambo ambalo hunijia kichwani ni kuwa haaminiki.ngupula
    -----Original Message-----
    From: Jovias Mwesiga
    Sent:  07/04/2013, 1:55  pm
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Subject: Re: [wanabidii] Re: ZITTO AHONGWA NA MWIGULU KUVURUGA CHADEMA
     
     
    Kuna sababu mbali mbali zinazowafanya watu kujiunga na upinzani
    wengine kurudi kwenye chama tawala. Kwa muda mrefu tumezoea kusikia
    upakanaji matope ndani ya chama tawala sasa mdudu huyu kaingia hata
    upinzani. Siasa za kujengeana chuki wakati wote tunategemea
    kuwatumikia watanzania mwisho wake hauna wema hata kidogo. Leo hii
    mtanzani anatuhumiwa kwa ugaidi dhidi ya watanzania wenziwe si dalili
    njema. Watu wanagombea madaraka hadi unaetegemea kuhudumiwa unajiuliza
    mara mbili mbili kama huyu mtu yuko radhi aue mtu ili mradi aniongoze
    kunayo nia njema kweli. 2010 labda sera za vyama hazikueleweka huu ndo
    muda muafaka kujinadi ila sasa tunajinadi kwa tambo za ajabu na ubabe
    ulikithiri pamoja na kutishana kwa matukio ya ajabu ajabu. Siasa za
    tanzania haieleweki ziko kwa maslahi ya nani
     
    > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
    > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
     
     
    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

     

    mngonge <mngonge@gmail.com> Apr 08 11:24AM +0300  

    Mitafaruku inayoendelea ndani ya vyama vya upinzani si jambo linaloanzia
    ndani ya vyama vyenyewe bali mchawi wao ni yule yule asiyependa watoto wa
    wenzie wasome. Kila siku anataka asifiwe yeye tu, akisifiwa mwenzie kosa
    hivi kuna haja gani ya kuvichimba vyama vya wenzenu hadi muviue? Kuviua
    vyama vya upinzani ni kujitafutia misiba isiyokuwa ya lazima. Maisha bora
    imebaki hadithi , watu wana matatizo chungu mbovu kula yao matatizo mutaua
    vyama vingapi ili watu wapate maisha bora? Vyama ueni lakini pia kumbuka
    kuuwa matatizo yanayowakumba watanzania tofauti na hapo munapalilia moto
    ambao ukilipuka wote itakuwa safari
     
     
    2013/4/7 ngupula@yahoo.co.uk <ngupula@yahoo.co.uk>
     

     

    lucas haule <kisacha2003@yahoo.com> Apr 08 01:26AM -0700  

    Ngupula
    Ndugu hajawahi kuku kuta, mimi ninamfano wa kusingiziwa kwa muda wa miaka 5.  Na ilifikia kila mtu ananiambia haiwezekani usingiziwe tu. Lakini niliamua kutengeneza mfumo wa kijweka katika mazingira ya namna fulani. Kilichotokea mpakas leo watu wananiambia kwanini hukumfikisha mahakamani mtu aliyekusingizia kwa miaka 5? hekima inatutma kuona kuwa ccm safi hawezi kuwa na nia njema na chadema. Pili Zitto naamini hana bei na akiwa nayo ccm hanawa kiwango chake.
    Mwigulu chamba au nani uwezo wake wa kufikiri unapimika nje ya chama jambazi hawezi kuwa mwanasiasa labda kazi ya ukabaji.
     
    --- On Sun, 4/7/13, ngupula@yahoo.co.uk <ngupula@yahoo.co.uk> wrote:
     
     
    From: ngupula@yahoo.co.uk <ngupula@yahoo.co.uk>
    Subject: [wanabidii] RE: ZITTO AHONGWA NA MWIGULU KUVURUGA CHADEMA
    To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
    Date: Sunday, April 7, 2013, 4:22 AM
     
     
    Duh,nafikiri sasa Zitto si rahisi kuaminika tena. Hata kama yawezekana isithibitike but why kila siku tuhuma za usaliti kwa wenzio?kwa nini wewe kila siku ndo uonekane loophole?offcourse,siku zote hata kama nikijisikia kumpenda Zitto,jambo ambalo hunijia kichwani ni kuwa haaminiki.ngupula
    -----Original Message-----
    From: Jovias Mwesiga
    Sent:  07/04/2013, 1:55  pm
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Subject: Re: [wanabidii] Re: ZITTO AHONGWA NA MWIGULU KUVURUGA CHADEMA
     
     
    Kuna sababu mbali mbali zinazowafanya watu kujiunga na upinzani
    wengine kurudi kwenye chama tawala. Kwa muda mrefu tumezoea kusikia
    upakanaji matope ndani ya chama tawala sasa mdudu huyu kaingia hata
    upinzani. Siasa za kujengeana chuki wakati wote tunategemea
    kuwatumikia watanzania mwisho wake hauna wema hata kidogo. Leo hii
    mtanzani anatuhumiwa kwa ugaidi dhidi ya watanzania wenziwe si dalili
    njema. Watu wanagombea madaraka hadi unaetegemea kuhudumiwa unajiuliza
    mara mbili mbili kama huyu mtu yuko radhi aue mtu ili mradi aniongoze
    kunayo nia njema kweli. 2010 labda sera za vyama hazikueleweka huu ndo
    muda muafaka kujinadi ila sasa tunajinadi kwa tambo za ajabu na ubabe
    ulikithiri pamoja na kutishana kwa matukio ya ajabu ajabu. Siasa za
    tanzania haieleweki ziko kwa maslahi ya nani
     
    > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
    > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
     
     
    --
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
    International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

     

    Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> Apr 08 11:11AM +0300  

    Businesses known as "informal value transfer systems" (IVTS), often provide
    excellent service. IVTS tend to be cheaper, quicker, and provide greater
    anonymity than formal channels. But IVTS may also have a darker side—the
    anonymity they provide make them susceptible to abuse by criminals trying
    to hide drug money and other illicit funds. This Note seeks to address
    these problems, particularly in the remittance context, by proposing that
    policy makers focus on encouraging consumers to use formal, transparent
    money transfer channels. This Note argues that the best approach to money
    laundering is making compliance easier and cheaper. The author proposes the
    United States simplify its current regulatory regime through the enactment
    of a national scheme that seeks to make formal channels more competitive.
    Link:http://www.texaslrev.com/wp-content/uploads/Watterson.pdf
     
    --
    www.wejobs.blogspot.com Jobs in Africa
    www.jobsunited.blogspot.com International Job Opportunities
    www.naombakazi.blogspot.com

     

    Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> Apr 08 11:09AM +0300  

    The earth's climate may be heating up less in response to greenhouse-gas
    emissions than was once thought. But that does not mean the problem is
    going away. Over the past 15 years air temperatures at the Earth's surface
    have been flat while greenhouse-gas emissions have continued to soar. The
    world added roughly 100 billion tonnes of carbon to the atmosphere between
    2000 and 2010 - about a quarter of all the CO₂ put there by humanity since
    1750, but as James Hansen, the soon to retire head of NASA's Goddard
    Institute for Space Studies, observes, "the five-year mean global
    temperature has been flat for a decade." By no means does this indicate
    that global warming is a delusion, notes the Economist. Temperatures in the
    first decade of the 21st century are almost 1°C above those of the first
    decade of the 20th. But it does mean that our models may not be accurate
    enough to pinpoint the pace and severity of global warming impacts. Read
    More:<http://www.globe-net.com/articles/2013/april/4/understanding-climate-change/>
     
    --
    www.wejobs.blogspot.com Jobs in Africa
    www.jobsunited.blogspot.com International Job Opportunities
    www.naombakazi.blogspot.com

     

    anna nyanga <luguanna@yahoo.com> Apr 07 04:07PM -0700  

    Mimi najua hayo, kwa hiyo inawezekana jamaa wameona kama Mheshimiwa kawazidi kete! kwa kufuta kesi.
    Unajua pale Soni pia kulikuwa na mambo ya ajabu polisi walikuwa wanawafanyia vijana wa boda boda. Nikamweleza mkuu wa kituo wakati ule, na kumwambia kama hatachukua hatua aniruhusu mimi nichukue! 
    Vijana wakaelezwa haki zao na wajibu wao!.
     
     
    ________________________________
    From: mutabaazi lugaziya <mjlugaziya@mail.com>
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Sent: Sunday, April 7, 2013 9:04 PM
    Subject: Re: [wanabidii] KUDUNDWA HAKIMU MKAZI LUSHOTO: KILICHOTOKEA

     
     
     Anna,
     
    Wewe Lushoto unaijua. Huyu Bwana kabla ya kuja Lushoto, alikuwa Muleba. Nikiwa Hakimu Kagera, siku zile, tulikuwa na shida ya wafugaji(Wanyarwanda) kunyang'anywa mifugo yao na kisha mifugo hiyo kugawanywa kati ya mapolisi na wenye bucha Bukoba mjini.
     
    Nilisaidia kupigana na hilo. Nilipoacha uhakimu, washirika hao walijipongeza, na kadhia ikaanza tena. Nikiwa Wakili, cha kufanya, nilipoweza, ni kuwatetea hao ndugu wasidhulumiwe.
     
    Sasa kama hayo yalikuwa yanaendelea Bw. Juke akiwa huko, kwa hapa Lushoto hizo fursa hazipo. Kwa hapa, wanaishi hivyo hivyo, kufungua na kubambikia watu kesi. Kesi nyingi za Lushoto zinazoletwa mahakamani ni za "armed robbery", na baada ya "chochote" hupunguzwa na kuwa "wizi" wa kawaida, ambao baadaye huharibiwa ushahidi, na washtakiwa kuonekana "wameshinda", "Chochote"ninachokizungumzia ni mlungula, aka rushwa!!
     
    Mbona unasahau kuwa katika maofisa wa polisi waliosimamishwa hivi karibuni, RCO wa Kagere, Peter Matagi(aliyekuwa bosi wa Juke) ametuhumiwa kubambikia watu kesi zisizo na dhamana kwa nia ya kushinikiza rushwa?
     
    Nilipotoka Kagera walijipongeza kwamba "rafiki yenu mwenye kiherere kaondoka" mtaipata frresh" Nikiandika "memoirs" zangu za upande huo, wengi watashangaa!
     
    MJL --
    Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
    International Jobs - http://www.jobsunited.blogspot.com/
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
    Disclaimer:
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
    ---
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

     

    Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> Apr 08 12:19AM +0100  

    Hivi kwa nini baadhi ya police hasa na viongozi wengi wa police ni wanene sanaaa? Sasa mtu unajiuliza-ikitokea dharura huyu anakimbiaje? Anakimbizaje majambazi? Analalaje chini na kusota, kupindukapinduka ili ashughulike na silaha? Pamoja na kwamba raia na viongozi wengine ni wanene-pamoja na baadhi ya wabunge, lakini ifike wakati serikali iweke kiwango cha mwisho cha size ya kiuno na tumbo la mtu ambaye ni ASKARI-awe wa police, JKT, JWTZ, FFU, Prisons (huko wanene sana prisons). Anayezidi size hiyo iliyowekwa-aachie ngazi. Labda itapunguza rushwa na tamaa ya kubambikiza kesi ili upate ulaji. Wembamba utaleta ungangari ktk kazi. Hili ni wazo la usiku huu!!
     
     
    --- On Sun, 7/4/13, anna nyanga <luguanna@yahoo.com> wrote:
     
    From: anna nyanga <luguanna@yahoo.com>
    Subject: Re: [wanabidii] KUDUNDWA HAKIMU MKAZI LUSHOTO: KILICHOTOKEA
    To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
    Date: Sunday, 7 April, 2013, 23:07
     
    Mimi najua hayo, kwa hiyo inawezekana jamaa wameona kama Mheshimiwa kawazidi kete! kwa kufuta kesi.Unajua pale Soni pia kulikuwa na mambo ya ajabu polisi walikuwa wanawafanyia vijana wa boda boda. Nikamweleza mkuu wa kituo wakati ule, na kumwambia kama hatachukua hatua aniruhusu mimi nichukue!  Vijana wakaelezwa haki zao na wajibu wao!. 
    From: mutabaazi lugaziya <mjlugaziya@mail.com>
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Sent: Sunday, April 7, 2013 9:04 PM
    Subject: Re: [wanabidii] KUDUNDWA HAKIMU MKAZI LUSHOTO: KILICHOTOKEA

     
      Anna,
     
    Wewe Lushoto unaijua. Huyu Bwana kabla ya kuja Lushoto, alikuwa Muleba. Nikiwa Hakimu Kagera, siku zile, tulikuwa na shida ya wafugaji(Wanyarwanda) kunyang'anywa mifugo yao na kisha mifugo hiyo kugawanywa kati ya mapolisi na wenye bucha Bukoba mjini.
     
    Nilisaidia kupigana na hilo. Nilipoacha uhakimu, washirika hao walijipongeza, na kadhia ikaanza tena. Nikiwa Wakili, cha kufanya, nilipoweza, ni kuwatetea hao ndugu wasidhulumiwe.
     
    Sasa kama hayo yalikuwa yanaendelea Bw. Juke akiwa huko, kwa hapa Lushoto hizo fursa hazipo. Kwa hapa, wanaishi hivyo hivyo, kufungua na kubambikia watu kesi. Kesi nyingi za Lushoto zinazoletwa mahakamani ni za "armed robbery", na baada ya "chochote" hupunguzwa na kuwa "wizi" wa kawaida, ambao baadaye huharibiwa
    ushahidi, na washtakiwa kuonekana "wameshinda", "Chochote"ninachokizungumzia ni mlungula, aka rushwa!!
     
    Mbona unasahau kuwa katika maofisa wa polisi waliosimamishwa hivi karibuni, RCO wa Kagere, Peter Matagi(aliyekuwa bosi wa Juke) ametuhumiwa kubambikia watu kesi zisizo na dhamana kwa nia ya kushinikiza rushwa?
     
    Nilipotoka Kagera walijipongeza kwamba "rafiki yenu mwenye kiherere kaondoka" mtaipata frresh" Nikiandika "memoirs" zangu za upande huo, wengi watashangaa!
     
    MJL
     
     
     
    --
     
    Jobs in Africa - http://www.wejobs.blogspot.com/
     
    International Jobs - http://www.jobsunited.blogspot.com/
     
     
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
     
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
     
     
    Disclaimer:
     
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
    ---
     
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
     
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
     
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
     
     
     
     
     
     

     
     
     
    --
     
    Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
     
    International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
     
     
     
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
     
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
     
     
     
    Disclaimer:
     
    Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
     
    ---
     
    You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
     
    To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
     
    For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
     
     
     
     

     

    anna nyanga <luguanna@yahoo.com> Apr 07 10:54PM -0700  

    Dada Hildergarda,
    Na mimi nimewaza sana usiku, hawa ndio watu kila asubuhi wanaimba wimbo wao wa kulitumikia taifa, wanaweka crown kichwani na bendera ya taifa kiunoni.
     
    Nimefikia hatua kwanini pia viongozi wetu wanahapa kwa kutumia bibilia na misaafu ya dini wakati matendo yao hayaendani na walichohapa? je kuna aja gani kumdanganya mwenyezi mungu kama hawawezi kutenda kweli?
     
    Mwenyezi mungu awaadhibu wale wote wanakwenda kinyume na matwaka yake.
     
     
    ________________________________
    From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
    To: wanabidii@googlegroups.com
    Sent: Monday, April 8, 2013 1:19 AM
    Subject: Re: [wanabidii] KUDUNDWA HAKIMU MKAZI LUSHOTO: KILICHOTOKEA

    Hivi kwa nini baadhi ya police hasa na viongozi wengi wa police ni wanene sanaaa? Sasa mtu unajiuliza-ikitokea dharura huyu anakimbiaje? Anakimbizaje majambazi? Analalaje chini na kusota, kupindukapinduka ili ashughulike na silaha? Pamoja na kwamba raia na viongozi wengine ni wanene-pamoja na baadhi ya wabunge, lakini ifike wakati serikali iweke kiwango cha mwisho cha size ya kiuno na tumbo la mtu ambaye ni ASKARI-awe wa police, JKT, JWTZ, FFU, Prisons (huko wanene sana prisons). Anayezidi size hiyo iliyowekwa-aachie ngazi. Labda itapunguza rushwa na tamaa ya kubambikiza kesi ili upate ulaji. Wembamba utaleta ungangari ktk kazi. Hili ni wazo la usiku huu!!
     
     
     
    >From: anna
    nyanga <luguanna@yahoo.com>
    -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.    
    -- Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.    

     

    mngonge <mngonge@gmail.com> Apr 08 11:06AM +0300  

    Sasa kama polisi wenyewe ndo wanamaliza mitafaruku kwa staili hiyo sisi
    raia tutakuwa na haja gani ya kuwafikisha watuhumiwa vituo vya polisi na
    hatimaye mahakamani? Ni vyema tuanze kutengeneza taratibu za kuafikiana au
    kuwachukulia hatua watuhumiwa wetu kwa jinsi tutakavyoona inafaa. Hizi
    zipolisi ni kielelezo tosha namna mambo yanavyokwenda hapa bongo. Kama
    hakimu huyo hatendi haki inakuwaje wasimtege na kumkamata na rushwa hadi
    ziwe ngumi? Kama hakimu anafanyiwa hivyo watuhumiwe wengine inakuwaje?
     
     
    2013/4/8 anna nyanga <luguanna@yahoo.com>
     

     

    magreth Mulokozi <m.mulokozi@gmail.com> Apr 08 09:27AM +0300  

    .................................................................
     
    Mwanamke mmoja ambaye amebainika kuwa ni Kigogo wa TBC amefumaniwa katika
    fumanizi kati yake- hawala yake wa muda mrefu, mstaafu wa TBC na
    Kigogo wa TRA akiwa katika majukumu ya kazi hapa Mbeya.
     
     
     
    Safari hiyo ya kikazi kutoka D'salaam kuelekea Mbeya ilianza kwa
    Kigogo huyo
    mwanamke kuchukua fungu la pesa ili kuweza kukamilisha jukumu Nyanda za
    Juu Kusini mwa Tanzania, akiwa na wafanyakazi wengine wa TBC.
     
    Mwanamke huyu amekuwa akidaiwa kuwachanganya mno vigogo wa shirika hili
    ata katika maamuzi hadi kuweza kumpa nafasi nyeti za shirika hili.
     
     
     
    Mtoa taarifa hizi anadai kuwa mama huyo amekuwa akitumia kaumbo kake kama
    chambo kwa wanaume wakware ambapo mara nyingi wamekuwa hawawezi
    kuruka vihunzi
    vya ushawishi huo.
     
    Cha kushangazwa mara baada ya kuwasili Mbeya wakiwa katika majukumu yao
    kama kawaida mara usiku mmoja (tarehe imehifadhiwa) yalisikika
    makelele mengi
    ndipo watu wakajaa mara wakamuona mtu mmoja ambaye aliyejitambulisha kuwa
    mfanyakazi wa TRA(Jina limehifadhiwa) huku akirushiana makonde na kigogo
    mmoja mstaafu wa TBC(Jina limehifadhiwa), ambaye kutokana na umaarufu wake
    watu waliokimbilia tukio hilowalimtambua kwa haraka.
     
    Huku chumba kimoja kikiwa wazi nguo zikiwa zimetawanyika miongoni
    mwao zikiwa
    nguo za ndani, khanga na suruali moja ya mwanaume ikiwa juu ya kitanda.
     
     
     
    Kila mmoja akidai mwezake mwizi anamuibia mkewe. Lakini mtoa habari hizi
    anadai kuwa mama huyo ameolewa na mjeda mmoja. Si Bosi wa TRA wala
    mstaafu wa TBC hawana ndoa naye.
     
    Inadaiwa kuwa Kigogo wa TRA alikuwa nae kwa siku moja na siku ya pili
    aliaga na kuondoka kumbe alikuwa akimfuatilia nani anapika nae chungu
    kimoja.
     
    Ahmadi, ndipo alipotambua kuwa ni mstaafu mmoja wa TBC, alikuwa akivunja nae
    amri ya sita kama yeye alivyokuwa akifanya.
     
    Mle mle alipokuwa amelala nae jana yake ndipo alipomkaribisha yule
    mstaafu. Duu kuokoa jahazi mama mmoja kibonge aliokoa kwa kumchukua
    mwanamke mwezake na kumficha chumbani kingine cha hoteli. Ikasaidia watu
    kuondoka na walinzi wa hoteli wakalimaliza lile soo kimya kimya, huku
    waliokimbilia tukio hilo wakipatwa na bumbuazi na yaliyotokea na wengine
    wakijiokotea pesa na business cards.
     
    .....................................................................

     

    Faiza Hassan <antihongo@gmail.com> Apr 07 11:33PM -0700  

    Na hi taarifa ni moja kati ya mission ya forum hi?
     

     

    Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> Apr 08 01:37AM -0500  

    Inasikitisha ila mtoa habari kiboko kama nawaona wazee tambi tambi zao
    wakimuenzi tyson lol
     

     

    Mohamedi Mtoi <mouddymtoi@gmail.com> Apr 08 09:41AM +0300  

    Ndio maana hii forum iko chali siku hizi.
     
     
    --
    "Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia Mtema.
    --
    Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
    Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
    Skype: Mohamedi.Mtoi
    Twitter: @mohamedimtoi
    Facebook: http://www.facebook.com/mouddymtoi
    --

     

    Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com> Apr 08 09:51AM +0300  

    Mwesiga mtoa habari kweli ni kiboko maana hiyo font aliyotumia hata kipofu
    atasoma hii habari. Mtu asiseme hajaona. Hii ndio ile wanasema Live bila
    chenga
     
    Suleiman Swalehe
    2013/4/8 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
     

     

    Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> Apr 07 09:38PM -0500  

    Pengine ni ulevi wa amani kama ambavyo tumeshuhudia uhuru wa
    kupindukia wa marekani hadi wanadai haki ambazo bibi yangu angefufuka
    ghafla angezimia kwa mstuko mkubwa. Miaka yote tumeheshimiana na
    kustahiana kwa imani zetu. Nikiwa nimekulia katika familia ya
    wakatoliki wenye mapadre na masista haikuzuia kuwa na wachungaji na
    haikuzuia kuwa kuolewa na kuoa waislam. Katika familia yenye
    mchanganiko wa namna hii kila mtu anajua mipaka ya mwenziwe. Shemeji
    yangu akinitembelea siwezi pika kitimoto simply ati kaja kwangu nyumba
    ya mkristu. Lakini mwanasiasa anapokurupuka na kutoa kauli ya
    kipumbavu na wapumbavu wakaishabikia ndo upumbavu unaoendelea.
    Kijijini nakotoka waislam wachache lakini pasaka ngombe lol anachinja
    muislam lakini ukileta upumbavu wa namna hii nitaona kilamtu
    akijaribu kumuonyesha mwenzake kuwa anaweza hii ndo roho ya ubinafsi
    inayojengwa na majahili yasojali walowaweka madarakani na ndo wanataka
    wote tuwe hivyo. Unafiki ni tatizo kubwa sana ndo mana kauli za kama
    alivyosema mjumbe zinatawala.
     

     

You received this message because you are subscribed to the Google Group wanabidii.
You can post via email.
To unsubscribe from this group, send an empty message.
For more options, visit this group.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment