Sunday 31 March 2013

Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Pole Mwahija lakini Pinda unataka kumuonea tu bure, yeye kwani ni Mhandisi?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

From: Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 31 Mar 2013 04:27:31 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Akifanya majumuisho katika hotuba ya matumizi ya ofisi yake bungeni kwamwaka 2008/09. Waziri Mkuu alizungumzia jinsi tume ya Lowassa ilivyofanya kazikatika sakata la ghorofa kuanguka jijini Dar es Salaam.

Pinda alilithibitishia Bunge kuwa zaidi ya maghorofa 100jijini Dar es Salaam yalibainika kuwa yalijengwa kinyume cha taratibu za ujenzi.Kwa mujibu wa ripoti iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa,kati ya maghorofa 505 ambayo waliyakagua, 147 yalikutwa hayana nyaraka zaujenzi.

Lowassa aliunda tume baada ya jengo la Hoteli ya Chang'ombe Village Inn, Keko,Dar es Salaam kuanguka mwaka 2006 na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.Ilidaiwa kwamba ulikuwapo ukiukwaji katika ujenzi wake.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliliambia Bunge kuwa tume hiyo ya Lowassa, ilibainikuwa ukaguzi huo, pia maghorofa 81 yalikutwa yamekiuka masharti ya ujenzi hukumaghorofa mengine 22 wenyewe hawakupatikana na yalikuwa yamejengwa bilakuzingatia sheria za ujenzi pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wakiwamowahandisi wa manispaa husika.


1.Pinda asemebaada ya kukabidhiwa ripoti hii alimwajibisha nani tangu 2008 hadi sasa?
2.Watanzaniatupo tayari kuletewa danganya toto ya Tume nyingine ikalete majibu yaliyoko kwaPinda mezani?
3.Kwa Uzembehuu, Pinda ameshiriki kwa kuwa hawakuwawajibisha waliojenga kinyume nautaratibu hadi watanzania wengine wakafa. Zamu hii hata akilia anahusika!
4.Tangu tumezianze kuundwa kuhusu maafa ni akina nani walichukuliwa hatua. – Tangu MVBukoba hadi Tume ya matokeo ya Kidato cha Nne.
5.Watanzania Tumechokakuneemesha mifuko ya wajumbe wa Tume, na kufilisi rasilimali zetu. PINDAAJIUZULU.



0 comments:

Post a Comment