Thursday 28 March 2013

Re: [wanabidii] HADITHI YA PANYA!

good story with a good 'moral', only that the interpretation is faulted


2013/3/28 Sylvanus Kessy <frkessy@yahoo.com>
Siku moja Panya aliona mtego wa Panya uvunguni mwa kitanda cha Mwanadamu. Akahisi hatari. Panya akamwendea rafikie Kuku/Jogoo na kumwambie. Rafiki maisha yangu ya hatarini maana kuna mtego. Tafadhali nisaidie kuutegua. Jogoo akasema hiyo ni hatari yako mwenyewe. Utajiju. Pole sina nafasi.

Panya akamwendea rafikie mwingine Mbuzi. Mbuzi akasema we, tangu lini nikaingia uvunguni? Panya akasema wewe ni mkubwa unaweza tumia hata fimbo ukategua? Mbuzi akasema nenda zako Bwana. Sina muda huo.

Panya akamwendea Ng'ombe kwa shida yake. Ng'ombe akamcheka akasema mie naweza ponda pomba kitanda na hata hako kamtego. Lakini sitaki. Hatari ni kwako tu. Omba Mungu uwe na umbo kubwa kama mimi. Ndipo utasalimika. Sisi wakubwa hakuna hatari kama yako.

Panya akakwama kila upande.

Katika hali hiyo; nyoka mwenye simu akaingia ndani mwa Mwanadamu akiwinda panya yule yule. Kwa bahati mbaya, akanaswa mkiani kwenye mtego. Akawa anatapatapa. Mwenye nyumba akaja bila kujua akaketi kitandani. Katika kujihami Nyoka akamgonga Mwanadamu. Kwa vile alikuwa na sumu kali mwanadamu akafa pale pale.

Mipango ya maziko ikaanza. Siku ya kwanza walikuja watu wachache. Jogoo akachinjwa. siku ya maziko wakaja watu wengi; Mbuzi akachinjwa. Na siku ya kuondoa Matanga wakaja watu wengi zaidi. Ng'ombe akachinjwa.

Kumbe Panya akaishi na waliokataa kumsaidia wote wakafa.

Swali la kujiuliza, je Jogoo au mbuzi au ng'ombe wangemsaidia rafiki yao Panya wangefikwa na Mauti? Jibu unalo.

Serikali imeambiwa na kila mpenda amani kuwa ifanye kitu. Ina uwezo wa kuondoa matatizo yanayokabili wananchi wake, hususani suala la usalama. Kuna wakorofi wachache na ina uwezo wa kuwathibiti. Serikali aidha inakaa kimya au inadharau. 

Nadhani sasa wanangoja nyoka wa sumu. Atawaletea madhara makubwa.

Mwisho wa hadithi.

Kessy

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment