Wednesday 24 October 2012

[wanabidii] Fw: TAMKO LA MAASKOFU WA KKKT JUU YA UCHOMAJI WA MAKANISA



--- On Tue, 10/23/12, danielmarura@yahoo.com <danielmarura@yahoo.com> wrote:

From: danielmarura@yahoo.com <danielmarura@yahoo.com>
Subject: Unaweza kudhani unelewa kumbe hauelewi
To: yesu-atosha@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 23, 2012, 12:25 PM

Ndugu Salum upo uwezekano wa mtu kudhani kuwa anaelewa unachokisema kumbe haelewi! Anahitajika aingizwe darasani. Wewe unasema baada ya kusoma tamko la Maaskofu unegundua kuwa "hatuna amani miyoni mwetu." Je baada ya kusikia uchomwaji wa makanisa uligundua nini? Tena unasema busara za viongozi wa dini bado, si watoa tamko wala wakiislamu.Je umepimaje busara ya viongozi wa kiislamu katika tamko la Maaskofu? Je unafahamu maana ya msamaha? Au unasema tu kwa sababu unataka kusema? Kama Maaskofu wanawataka wakristo ambao makanisa yao yamechomwa "wasamehe na kuendelea kuwa raia wema katika nchi ya Tanzania." Wewe unapata wapi ujasiri wa kuropoka kuwa kwa mwenendo huu bado? Je ni suluhu gani unayoitaka ifikiwe? Kama hauna cha kusema sio lazima useme.

Daniel Marura

--
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Yesu Atosha" group.
To unsubscribe from this group, send email to yesu-atosha+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment