Friday 12 October 2012

RE: [wanabidii] Mabomu Mbagala Kizuiani

Nashukuru Joseph;

Nilikwisha waomba walimu wa shuleni kwa mwanagu wabadili njia ya basi wakati wa kumrejesha nymbani.

 

Rgds

Marcus

 

From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of Joseph Beda Rupia
Sent: Friday, October 12, 2012 1:41 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Mabomu Mbagala Kizuiani

 

Inasemekana kuna kijana aliikojolea Koran Tukufu jana, sasa leo Waislamu wanamsaka wamuue ndio chanzo cha ugomvi au vurugu hizo na polisi.

Joe Beda
MHARIRI TABIBU

2012/10/12 Marcus FALINZUNGU <marcus.falinzungu@wfp.org>

 

Wanabdii;

Mimi niko Kigoma, familia iko Mbagala-DSM

Nasikia kuna ugomvi na mabomu kati ya Waislamu na polisi kituo cha Kizuiania

Mlio karibu tuambieni kulikoni??

 

Rgd

Marcsu



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment