2012/10/2 paul lawala <pasamila292000@gmail.com>
Natoa ushauri huu (mimi ni mzoefu wa fani)
Hospitali (vituo vya afya) binafsi mara nyingi hawana
wataalamu(qualified) wa maana kutambua magonjwa na kutoa tiba sahihi
Endapo ni dharura kutibiwa huko uulizie kama kuna mtaalamu yeyote
(angalau medical officer na kuendelea) akutibie katika mazingira hayo
Hapo kwa dr. ngoma hapana sifa ya kuitwa hospitali,panatakiwa paitwe
kituo cha afya
2012/10/2 Monica Malle <moninaike@hotmail.com>:
> Mmenikumbusha mwanangu alivyopoteza maisha hapo kwa Dr. Ngoma (2005) baada
> ya kumtoa shuleni akiwa na homa ya malaria wakashindwa kugundua kumbe
> alikuwa na malaria ya uti wa mgongo. wakamwekea madrip yao ya quinini
> akapoteza uhai.
> Makanjanja sana hao kama mtu unajipenda kabla ya kwenda hapo jiulize mara
> mbili. Kama unajipenda au hujipendi. Gharama juuuu lakini wachakachuaji. RIP
> My beloved Daughter Dorine.
>
> ________________________________
> Date: Tue, 2 Oct 2012 16:59:36 +0300
> Subject: Re: [wanabidii] Hospitali ya Dr Ngoma wataka kunitoa Roho
> From: tracykwetu@gmail.com
> To: wanabidii@googlegroups.com
>
>
> Ndio zake huyo mzee muogopeni
>
> 2012/10/2 weston mbuba <matutetz@yahoo.com>
>
>
> Pole kaka.
> Hizi hosp nadhani nazo zina makanjanja. Shangazi yangu aliwahi kupewa dawa
> za ukoma ilhali anaumwa malaria. Mke wangu aliwahi kuambiwa ana sifilisi
> nikashangaa. Binafsi ninamwamini sana. Tuwe makini na hosp
> hizi.------------------------------ On Tue, Oct 2, 2012 05:59 PDT Juma Mzuri
> wrote: >Ebwana ehh nilijisikia vibaya kichwa kinaniuma jana nikaamua kwenda
>>hospitali ya dr ngoma iliyopo mwenge karibu na gorofa za jeshi . > >Ebwana
> wakanipiga sindano na kunitaka nilazwe hapo mwili wote ukaanza >kufura mpaka
> baadaye jamaa yangu alipokuja kunicheki akagundua dawa >walizonipa sio
> sahihi nikaondolewa hospitalini hapo > >-- >Karibu Jukwaa la
> www.mwanabidii.com >Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
>>Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com > >Kujiondoa Tuma
> Email kwenda >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma > >Disclaimer: >Everyone posting to this Forum bears
> the sole responsibility for
> any legal consequences of his or her postings, and hence statements and
> facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies
> that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
> Guidelines. > >
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
0 comments:
Post a Comment