Habari za asubuhi,
Tafadhali pokea CODES
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Baada ya Safari ndefu ya nchini Oman ambako Bendi Inayotikisa nchini kwa sasa Skylight Band walitoa Burudani ya Nguvu huko ughaibuni na kuacha historia isiyofutika kirahisi, Sasa Bendi yako imerejea nchini Tanzani. Leo Kama kawaida yetu Skylight Band tutakuwa kiwanja cha nyumbani Thai Village kukuletea burudani ya nguvuuu kabisaaaaa ikiwa na kikosi kamili na masong mapyaaaaa,Usikose Leo kuanzia Sa Tatu Kamilii......</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Divas wa Skylight Band walisongesha vya kutosha kutoa burudani ya nguvu kutoka kushoto ni Aneth Kushaba, Digna Mbepera na wa mwisho kulia ni Mary Lucos.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Digna Mbepera akizipiga vocal vilivyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Hashimu Donode akiimba kwa hisia kaliii kutoa Burudani ya Nguvu</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Sam Mapenzi akiimba kwa raha zake kutoa burudani ya nguvuuu kwa mashabiki wake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Ni Kiafrika zaidi.....mrembo wa Skylight Band Mary Lucos akiwa na furahaaa kubwaaa kuona mashabiki wake wanafurahaaa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Aneth Kushaba AK47 akiimba kwa hisia kali ndani ya Thai Village Ijumaa ileeeee iliyopita kabla ya kuelekea nchini Oman.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Majembe ya Skylight Band wakiongozwa na Joniko Flower(wa kwanza kushoto) wakiyarudi vilivyo kuwapa burudani mashabiki wao</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Sam Mapenzi (wa kwanza kulia) akifuatiwa na Sony Masamba (katikati) na Joniko Flower (kushoto) wakiyarudi mauno.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Vijana wa kazi wakiendelea kupiga mzigooo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Baba ya Congo Joniko Flower akiongoza mashambulizi</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Daudi Tumba kwa rahaaa zake akichezea Tumbaaaa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Tophy Bass akilicharaza Bass Gitaa vilivyooooo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Idrissa akizicharanga Drums zake kwa rahaaa kabisaaaaaa</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mpiga Solo wa Skylight Band Joshua akizicharazaaaa nyuziiii.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Rahaaaa sana ukipewa burudani na Skylight band Aneth Kushaba akiwaimbisha mashabiki wake!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mose Kinanda akizipiga ala vilivyooooooo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Tophy Bass akimuonesha Mary Lucos Jinsi anavyolicharaza Bass Gitaa lakeeee</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Aneth Kushaba Mzuka Ukampandaa akaamua kwenda kucheza na mashabiki wake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mashabiki wakijirusha kwa rahaaa zaooo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Rahaaa kabisa kila unapokutana na burudani toka Skylight Band</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Haya sasa wale wa mduaraaaa haoooo kwa rahaaa zaoo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Hapooo kati sasa ni viuonooooo viunoooooo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Blogger Hussein akiwa na wa ubani wake wakipata ukodak wa nguvuuuu,</strong></em></span></p>
KAWAIDA
Baada ya Safari ndefu ya nchini Oman ambako Bendi Inayotikisa nchini kwa sasa Skylight Band walitoa Burudani ya Nguvu huko ughaibuni na kuacha historia isiyofutika kirahisi, Sasa Bendi yako imerejea nchini Tanzani. Leo Kama kawaida yetu Skylight Band tutakuwa kiwanja cha nyumbani Thai Village kukuletea burudani ya nguvuuu kabisaaaaa ikiwa na kikosi kamili na masong mapyaaaaa,Usikose Leo kuanzia Sa Tatu Kamilii......
Divas wa Skylight Band walisongesha vya kutosha kutoa burudani ya nguvu kutoka kushoto ni Aneth Kushaba, Digna Mbepera na wa mwisho kulia ni Mary Lucos.
Digna Mbepera akizipiga vocal vilivyo.
Hashimu Donode akiimba kwa hisia kaliii kutoa Burudani ya Nguvu
Sam Mapenzi akiimba kwa raha zake kutoa burudani ya nguvuuu kwa mashabiki wake.
Ni Kiafrika zaidi.....mrembo wa Skylight Band Mary Lucos akiwa na furahaaa kubwaaa kuona mashabiki wake wanafurahaaa.
Aneth Kushaba AK47 akiimba kwa hisia kali ndani ya Thai Village Ijumaa ileeeee iliyopita kabla ya kuelekea nchini Oman.
Majembe ya Skylight Band wakiongozwa na Joniko Flower(wa kwanza kushoto) wakiyarudi vilivyo kuwapa burudani mashabiki wao
Sam Mapenzi (wa kwanza kulia) akifuatiwa na Sony Masamba (katikati) na Joniko Flower (kushoto) wakiyarudi mauno.
Vijana wa kazi wakiendelea kupiga mzigooo.
Baba ya Congo Joniko Flower akiongoza mashambulizi
Daudi Tumba kwa rahaaa zake akichezea Tumbaaaa
Tophy Bass akilicharaza Bass Gitaa vilivyooooo.
Idrissa akizicharanga Drums zake kwa rahaaa kabisaaaaaa
Mpiga Solo wa Skylight Band Joshua akizicharazaaaa nyuziiii.

Rahaaaa sana ukipewa burudani na Skylight band Aneth Kushaba akiwaimbisha mashabiki wake!
Mose Kinanda akizipiga ala vilivyooooooo.
Tophy Bass akimuonesha Mary Lucos Jinsi anavyolicharaza Bass Gitaa lakeeee
Aneth Kushaba Mzuka Ukampandaa akaamua kwenda kucheza na mashabiki wake.

Mashabiki wakijirusha kwa rahaaa zaooo
Rahaaa kabisa kila unapokutana na burudani toka Skylight Band
Haya sasa wale wa mduaraaaa haoooo kwa rahaaa zaoo
Hapooo kati sasa ni viuonooooo viunoooooo
Blogger Hussein akiwa na wa ubani wake wakipata ukodak wa nguvuuuu,
--
Zainul A. Mzige,Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to
.
.
0 comments:
Post a Comment