Thursday 30 October 2014

[wanabidii] SKYLIGHT BAND INAKUKARIBISHA USIKU WA LEO THAI VILLAGE KWA BURUDANI YA KIPEKEE KABISA!

<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01591.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120896" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01591.jpg" alt="DSC_0159" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na waimbaji wenzake kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba pamoja na Sam Mapenzi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00071.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120897" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00071.jpg" alt="DSC_0007" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Aneth Kushaba sambamba na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wao (hawapo pichani) kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya ukumbi wa maraha wa Thai Village Masaki jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00123.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120898" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00123.jpg" alt="DSC_0012" width="427" height="640" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kifaa kipya cha Skylight Band Bela Kombo akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo ndani ya ukumbi wa Thai Village Ijumaa iliyopita.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00243.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120900" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00243.jpg" alt="DSC_0024" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kutoka kushoto Bela Kombo, Hashim Donode na Digna Mbepera wakiporomosha burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0057.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-120920" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0057.jpg" alt="DSC_0057" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Binti mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Digna Mbepera kwenye hisia kali za muziki wa Live kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00261.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120901" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00261.jpg" alt="DSC_0026" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Burudani ikiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01091.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120903" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01091.jpg" alt="DSC_0109" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na muziki safi kabisa wa ladha na vionjo vya kila aina ikiwemo Reggae, Kwaito, Naija Flava, R&amp;B, Zouk na zingine kibao bila kusahau sebene pale kati Joniko Flower anahusika sana sambamba na Sony Masamba njoo ufunge mwezi Oktoba na Skylight Band usiku wa leo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0105.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120904" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0105.jpg" alt="DSC_0105" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Anaitwa Sony Masamba akifanya yake jukwaani huku Sam Mapenzi na Joniko Flower wakipiga back vocal.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01213.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120905" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01213.jpg" alt="DSC_0121" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Oya shake body....Oya move body....Make you ring alarm o....Oya shake body....si mwingine ni Sam Mapenzi na Naija Flava njoo leo umshuhudie kwa macho yako...Skylight Band ndio kila kitu huna haja ya kwenda disco unapata kila kitu hapa hapa...!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01261.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120906" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01261.jpg" alt="DSC_0126" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Aaaah ni full raha wake kwa waume wakionekana kukunwa na uimbaji wa Sam Mapenzi mzee wa Naija Flava, unakosaje uhondo ndugu....Njoo tujumuike leo pamoja ndani ya Thai Village.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01322.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120907" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01322.jpg" alt="DSC_0132" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiyarudi mangoma ya ukweli yaliyoenda shule, tukutane pale kati kuanzia saa tatu usiku.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01371.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120908" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01371.jpg" alt="DSC_0137" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mpiga drum wa Skylight Band Baraka akifanya yake kuhakikisha mashabiki wanapata ladha nzuri ya ala hizo za muziki huku pale pembeni Amos Kinanda naye akisababisha.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01412.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120909" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01412.jpg" alt="DSC_0141" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Na hivi basi ndivyo wanavyochizika mashabiki wa Skylight Band kwa shangwe za aina yake mwenye kigelegele haya...mwenye mluzi haya....ni furaha si kingine.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0142.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120910" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0142.jpg" alt="DSC_0142" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01631.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120912" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01631.jpg" alt="DSC_0163" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkongwe wa muziki Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku waimbaji wenzake wakimpa sapoti.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0089.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-120916" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0089.jpg" alt="DSC_0089" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><span style="color: #000000;">Sam Mapenzi;</span>……Kuna Watu Hatari, Wenye Mapenzi Zenye Siri Kali,…Letu Nalo Lina Jua Kali, Penzi Letu Serikali,….Wajua Nakupenda, Malaika…..<span style="color: #000000;">Aneth Kushaba;</span>…..I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I, Love You, (Aiyayaaaaa)….I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I Love You,….(Aiyayaaaaa)...Hizi zote utazipata Skylight Band si kwingine bonge la colabo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0115.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-120918" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0115.jpg" alt="DSC_0115" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Nyomi la mashabiki wa ukweli wa Skylight Band likiwa limefurika Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0018.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120899" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0018.jpg" alt="DSC_0018" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Supermodel Neema Mbuya akionyesha upendo kwa mpiga picha na busu bashasha....Santeeee!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00451.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-120917" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00451.jpg" alt="DSC_0045" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>We are twin sisters......!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01171.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120914" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_01171.jpg" alt="DSC_0117" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Blogger King Kif (kushoto) akiwa na wadau wa Skylight Band ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00963.jpg"><span style="color: #000080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-120913" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_00963.jpg" alt="DSC_0096" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja Maneno na King Kif  wakimezea mate kuku choma ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

DSC_0159

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na waimbaji wenzake kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Joniko Flower a.k.a Baba lao, Sony Masamba pamoja na Sam Mapenzi.

DSC_0007

Aneth Kushaba sambamba na Digna Mbepera wakiwapa raha mashabiki wao (hawapo pichani) kwenye show zao za kila Ijumaa ndani ya ukumbi wa maraha wa Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0012

Kifaa kipya cha Skylight Band Bela Kombo akitoa burudani kwa mashabiki wa bendi hiyo ndani ya ukumbi wa Thai Village Ijumaa iliyopita.

DSC_0024

Kutoka kushoto Bela Kombo, Hashim Donode na Digna Mbepera wakiporomosha burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya uwanja wao wa nyumbani Thai Village.

DSC_0057

Binti mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Digna Mbepera kwenye hisia kali za muziki wa Live kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0026

Burudani ikiendelea.

DSC_0109

Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na muziki safi kabisa wa ladha na vionjo vya kila aina ikiwemo Reggae, Kwaito, Naija Flava, R&B, Zouk na zingine kibao bila kusahau sebene pale kati Joniko Flower anahusika sana sambamba na Sony Masamba njoo ufunge mwezi Oktoba na Skylight Band usiku wa leo.

DSC_0105

Anaitwa Sony Masamba akifanya yake jukwaani huku Sam Mapenzi na Joniko Flower wakipiga back vocal.

DSC_0121

Oya shake body....Oya move body....Make you ring alarm o....Oya shake body....si mwingine ni Sam Mapenzi na Naija Flava njoo leo umshuhudie kwa macho yako...Skylight Band ndio kila kitu huna haja ya kwenda disco unapata kila kitu hapa hapa...!

DSC_0126

Aaaah ni full raha wake kwa waume wakionekana kukunwa na uimbaji wa Sam Mapenzi mzee wa Naija Flava, unakosaje uhondo ndugu....Njoo tujumuike leo pamoja ndani ya Thai Village.

DSC_0132

Umati wa mashabiki wa Skylight Band wakiyarudi mangoma ya ukweli yaliyoenda shule, tukutane pale kati kuanzia saa tatu usiku.

DSC_0137

Mpiga drum wa Skylight Band Baraka akifanya yake kuhakikisha mashabiki wanapata ladha nzuri ya ala hizo za muziki huku pale pembeni Amos Kinanda naye akisababisha.

DSC_0141

Na hivi basi ndivyo wanavyochizika mashabiki wa Skylight Band kwa shangwe za aina yake mwenye kigelegele haya...mwenye mluzi haya....ni furaha si kingine.

DSC_0142

DSC_0163

Mkongwe wa muziki Joniko Flower akiwasebenesha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku waimbaji wenzake wakimpa sapoti.

DSC_0089

Sam Mapenzi;……Kuna Watu Hatari, Wenye Mapenzi Zenye Siri Kali,…Letu Nalo Lina Jua Kali, Penzi Letu Serikali,….Wajua Nakupenda, Malaika…..Aneth Kushaba;…..I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I, Love You, (Aiyayaaaaa)….I'm Going Koo Koo Koo, So Koo Koo Coz I, I Love You,….(Aiyayaaaaa)...Hizi zote utazipata Skylight Band si kwingine bonge la colabo.

DSC_0115

Nyomi la mashabiki wa ukweli wa Skylight Band likiwa limefurika Ijumaa iliyopita ndani ya Thai Village.

DSC_0018

Supermodel Neema Mbuya akionyesha upendo kwa mpiga picha na busu bashasha....Santeeee!

DSC_0045

We are twin sisters......!

DSC_0117

Blogger King Kif (kushoto) akiwa na wadau wa Skylight Band ndani ya ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.

DSC_0096

Meneja Maneno na King Kif kwenye kuku choma ndani ya kiota cha Thai Village Masaki.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment